Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Labda hiyo ndio njia ya kupimwa ushoga
Kwahiyo alichokolewa duh so sad[emoji24][emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo alichokolewa duh so sad[emoji24][emoji24][emoji24]
Vp ni tamu au?ᵐᵇ.... ʸᵃ ᵐᵏ...ᵐˢⁱᶠᵃⁿʸᵉ ᵐᶜʰᵉᶻᵒ
najaribu kukuDM nashindwa Bantu Lady ,nichekiNimekwambia hivyo sababu nimepitisha mtoto, but huwezi amini hata ambayo si kubwa imenichubua na kuingia tabu. Natumaini umelewa.
Hiyo ya bwawa ni maumbile tu, kama ilivyo wanaume wana kubwa na ndogo. Nasisi ni hivyo. Ukifanya utafiti, unipe feedback... Basi Nenda
Wakili yupo kazini sawa na Mkunga wa kiume anazalisha ila yeye hazai. Watu wanatakiwa kufahamu kuwa kama wakili akikataa kumwakilisha mteja Mahakamani kwa sababu za kibaguzi anaweza kufutiwa hadi leseni yake.Wakili wake nae Lazima vinapita vidole vitatu....si bure
Mbovu pm yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haifunguki kabisa best.najaribu kukuDM nashindwa Bantu Lady ,nicheki
Mvua zinazonyesha mwanza hapa ni za USAGAJI ama?Pambaneni na hali zenu msituchoshe na habari za upunga kila siku hata mvua hazinyeshi...[emoji35]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tabia mbaya tu😔,nime mund sana😌Mbovu pm yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haifunguki kabisa best.
Pole yaani sina jinsi best. Usimind bana tutachat humu kwenye comment 😅😅😅😅Tabia mbaya tu😔,nime mund sana😌
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Naona maswali muhimu sana ambayo sina hakika kama yameulizwa ni;
1. Shihidi aieleze Mahakama kama yeye ni mtaalamu wa mfumo wa chakula wa mwanadamu na kama ametoa ushahidi kuthibitisha hilo
2. Shahid, upo uwezekano wa puru/m.kundu wa mwanadamu kuwa wazi kutokana.na maradhi kama bawasiri?
3. Shahidi mlimpima mshtakiwa kama anaugonjwa wa bawasiri?
4. Shahidi, ieleze Mahakama bawasiri zipo ya aina ngapi na huwa inaathiri sehemu gani ya mwili wa mwanadamu
5. Je, upo uwezekano mtuhumiwa kuwa na ugonjwa wa bawasiri
6. Shahidi kama mtaalamu wa afya je, wapo watu wanaozaliwa na uwazi kama alionao mtuhumiwa?
7. Je, na wao wameupata kwa kuingiliwa na vitu vigumu kwa nje?
8. Vitu vigumu unavyovitaja ni vitu gani hivyo, shahidi?
Alafu inavutwa pumzi maana maswali yanayofuata yataharibu swaumu za waja.
Uwazi sio hitimisho kuwa mtu analiwa tako.
Lazma upigwe vidole then wanachek ugumu ama urahis wakat wa kuingizaKwahiyo daktari alizamisha vidole Ili kumpima mshitakiwa!?
yani sijui "utanitongoza" vipi hadi tuchat, ntakua sura ya mbuzi😌Pole yaani sina jinsi best. Usimind bana tutachat humu kwenye comment 😅😅😅😅
huku michoresho,nilikuwa nakuja kujiachia huko PM nifunguke stories weeh😂Pole yaani sina jinsi best. Usimind bana tutachat humu kwenye comment 😅😅😅😅
Pole best hakuna namna tena 😛😛😛huku michoresho,nilikuwa nakuja kujiachia huko PM nifunguke stories weeh😂
Kwa mfano ndio wewe umepandishwa kizimbani na kidhibiti ukasomewa mashtaka kwa mara ya kwanza utakubali au utakana?,nijibu plsZile video inamaanisha kasingiziwa, mm niliona zote mbili na ile ya video call nikatapika balaa. Anakataa nn sasa. Mwizi ukimsikiliza anashinda kesi
Nimekaa mahali,nliposoma hii habar nikajisemea hii kesi wameletewa wanajamiiforum wator hukumu mmh[emoji848]baada ya kuanza kusoma comments sasa sina mbavu[emoji2][emoji2][emoji2]