Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa


Rama akaombe visa asepe zake utashangaa akienda Nje anaanza baba magauni kama Dayon
 
Sasa kilichomtanua tuzi nini???

Ila vitu vingine vinataka ujasiri, kumchunguza mkund* mwanaume mwenzio kama anaingiliwa yataka moyo😂😂😂😂😂.
 
Jamaa alijisikia raha sana wakati anapimwa na dokta.. Hasa dokta alipojaribu kupitisha vidole viwili maana kimoja kilipwaya [emoji23]
Ukute kipindi dokta anafanya vipimo alikuwa anarembua kabisa kama alivyorembua kwenye IST.

Ila katika hili sakata lote mbona sijasikia mshirika wake wa video akitajwa?? Kwahiyo kosa ni kwa mfanywaji tu na si mfanyaji??
 
Kuna hadi electronic evidence wakati akiingiliwa.
 
Naona unataka kumtetea 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…