Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..

Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
 
Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..

Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Mchawi ni Ufipa st
 
Najiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Mkuu, ukienda Hospitali ya Mzena utapata taarifa sahihi. Huku uraiani utapata majibu yenye kujaa hisia na mihemuko zaidi. Ila kwa wale wataalamu wa jadi kutoka Gamboshi mratibu wake mkuu alikuwa ni kipenzi chake.
 
Back
Top Bottom