Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..

Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Vijiwe vya kahawa vinasema wanasiasa njaa walitumiwa kumtupia TOPE Mwamba baada ya kuona matokeo hasi ya nchi na kukwamisha mradi wa CON19 huku bajeti ya nchi tunakopa kwao.
 
Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..

Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Huwa sisahau miandiko ya vipenyo

Ahsante Mungu
 
Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..

Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Hahaha
 
Najiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Achana na huyo marehemu, Mungu alitusaidia kumuwahisha kiongozi katili na sadist. Bahati mbaya sana baadhi ya watu wenye roho mbaya kama yeye walimuona shujaa kisa kuporomosha uchumi wa waliokuwa juu ili waishi kama mashetani
 
Najiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Wazee wa Legasi

Katika_Historia:%0APamoja_na_kwamba_ALIZIMIA_baada_ya_kuuona_mwili_wa_mpendwa_wetu_MFUKO_hakuu...jpg
 
Achana na huyo marehemu, Mungu alitusaidia kumuwahisha kiongozi katili na sadist. Bahati mbaya sana baadhi ya watu wenye roho mbaya kama yeye walimuona shujaa kisa kuporomosha uchumi wa waliokuwa juu ili waishi kama mashetani
Ningekuona umeanza kupona ule ugonjwa wako,kama leo ungemkubali jpm,ila kwa sababu wewe bado ni mgonjwa,huwezi mkubali.
 
Back
Top Bottom