Umenifurahisha sana.....Hata ningekiwa mimi ndio daktari wake ningemuua haraka sana. Alikuwa mtu muovu na aliuwa na kutesa watu wengi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenifurahisha sana.....Hata ningekiwa mimi ndio daktari wake ningemuua haraka sana. Alikuwa mtu muovu na aliuwa na kutesa watu wengi sana.
MnachekeshaBado anaishi nasi[emoji123][emoji124]
Konyagi ikifunguliwa Lazima inywewe lakini wewe umeiacha wazi toka juzi umekuja kuinywa Leo.Mchawi ni Ufipa st
Kafa kwa uzembe wake mwenyeweKila kitu kitawekwa wazi mda bado ! Kifo cha JPM kitaibua maswali mengi kwa sasa NI ngumu kutoka hadharani na kusema waliofanya uovu huo hata nchi itapatanganyika tuombe Amani kwanza mtu Mmoja asisababishe tukaingia kwenye matatizo tupo Zaid ya milion 60
Uzembe wa via vya wazazi wako walioshindwa kukubana kama last inya, sasa uko huku kuponda watu wazuri kipenzi cha TaifaKafa kwa uzembe wake mwenyewe
Una point Mkuu.Mkuu, ukienda Hospitali ya Mzena utapata taarifa sahihi. Huku uraiani utapata majibu yenye kujaa hisia na mihemuko zaidi. Ila kwa wale wataalamu wa jadi kutoka Gamboshi mratibu wake mkuu alikuwa ni kipenzi chake.
Peponi.Kwa “wenzenu” wapi huko?
Dikteta alikuwa walking carcass wala msitafute mchawi wa kifo chake. Alikuwa kwanza amepandikizwa Pacemaker mwaka 1992, HIV, Herpes Zoster, Diabetes na Kichaa. Hata COVID-19 ilipompitia tayari alikuwa ni dhaifu.Najiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
👍👏🙏🆒Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..
Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
😂😂😂Mkuu, ukienda Hospitali ya Mzena utapata taarifa sahihi. Huku uraiani utapata majibu yenye kujaa hisia na mihemuko zaidi. Ila kwa wale wataalamu wa jadi kutoka Gamboshi mratibu wake mkuu alikuwa ni kipenzi chake.
👍👌👏🆒Dikteta alikuwa walking carcass wala msitafute mchawi wa kifo chake. Alikuwa kwanza amepandikizwa Pacemaker mwaka 1992, HIV, Herpes Zoster, Diabetes na Kichaa. Hata COVID-19 ilipompitia tayari alikuwa ni dhaifu.
Acheni madaktari wetu wachape kazi
🤔Hata ningekiwa mimi ndio daktari wake ningemuua haraka sana. Alikuwa mtu muovu na aliuwa na kutesa watu wengi sana.
🤔japo simjui lakini ningekuwa na uwezo kuna kitu ningemfanyia
Peponi ni imani za kishirikina😎😎😎Peponi.
👍👌👏🙏Achana na huyo marehemu, Mungu alitusaidia kumuwahisha kiongozi katili na sadist. Bahati mbaya sana baadhi ya watu wenye roho mbaya kama yeye walimuona shujaa kisa kuporomosha uchumi wa waliokuwa juu ili waishi kama mashetani
Mkuu tuambie ukweli, kama yeye kadanganya!Usidanganye mchana kweupe kila mtu anakutizama mkuu!
Nchi zote zinazotuzunguka zimewahi kufiwa na Rais akiwa madarakani isipokuwa Uganda pekee, what's so specialIngekuwa kuwa kwa wenzetu majibu tungekuwa nayo tayari, hata mhusika angelikuwa mahakamani.