Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Kila kitu kitawekwa wazi mda bado ! Kifo cha JPM kitaibua maswali mengi kwa sasa NI ngumu kutoka hadharani na kusema waliofanya uovu huo hata nchi itapatanganyika tuombe Amani kwanza mtu Mmoja asisababishe tukaingia kwenye matatizo tupo Zaid ya milion 60
Mkuu wengi wanasubiri kujua sio jinsi Magufuli alivyokufa, bali jinsi wapendwa wao walivyokufa mikononi mwake! Usione watu wapo kimya!
 
Magufuli alikuwa na hitilafu ya kwenye moyo wakamwekea kifaa kinachoitwa pacemaker. Wengi ya wagonjwa wenye hiyo hali wanaishi maisha ya kawaida na huwa hakuna tatizo. Tatizo lilikuja pale alipopata covid. Covid ni hatari sana ikimpata mtu ambaye ana condition ya moyo kama hiyo hasa kama hajachanjwa. Hivyo basi unaweza kusema kuwa alifariki kwa sababu ya covid.
Nyakati tofauti kutaja sababu tofauti zikiwa separate Kama chanzo Cha kifo inaleta ukakasi.
 
Jamaa anapiga jaramba kiaina sana yaani na matamko yake ya kiprofeshinari usile kuku, kula mayai.

Soon anapewa wizara, tupo hapa maana dunia inazunguka hii tusije shangaa mara paap huyu hapa kapewa kijiti!.
 
Nchi zote zinazotuzunguka zimewahi kufiwa na Rais akiwa madarakani isipokuwa Uganda pekee, what's so special

Jomo Kenyata, Habyarimana, Nkurunzinza, Mwanawasa, Bingu wa mutharika na Samora Machel wote hawa walifia madarakani kwa sababu tofauti tofauti

Serikali ilishatangaza kupitia Rais Samia kuwa Rais Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa Moyo uliogundulika kwa zaid ya miaka 10 kabla ya kifo chake

wanafamilia wake kuanzia Mama yake Mzazi hadi Dada zake walipata maradhi hayo kwa nyakati tofauti ikiashiria ni maradhi ya kurithi
lakin kwa kwenda mbali zaid Rais Samia alikaribisha watu wenye ushahidi tofauti na huo wajitokeze na wauweke hadharani, Karibu

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Wacha weeeeeeh.... 😃
 
Watu wanasema kuna ulinzi mkali ofisini kwa Prof. Janabi.
Watu wanauliza kwa nini ulinzi mkali namna hiyo wakati yule ni daktari tu?
Kwa hiyo yule sasa atapata cheo katika Chama ili wapate kisingizio cha kumlinda.
 
Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..

Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Nimejifunza kwamba swala la kushindwa kuhoji huanzia ngazi ya familia kuna mambo kwenye ngazi ya familia hutakiwi kuhoji ukihoji unaweza sababisha ufukuzwe
 
Nchi zote zinazotuzunguka zimewahi kufiwa na Rais akiwa madarakani isipokuwa Uganda pekee, what's so special

Jomo Kenyata, Habyarimana, Nkurunzinza, Mwanawasa, Bingu wa mutharika na Samora Machel wote hawa walifia madarakani kwa sababu tofauti tofauti

Serikali ilishatangaza kupitia Rais Samia kuwa Rais Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa Moyo uliogundulika kwa zaid ya miaka 10 kabla ya kifo chake

wanafamilia wake kuanzia Mama yake Mzazi hadi Dada zake walipata maradhi hayo kwa nyakati tofauti ikiashiria ni maradhi ya kurithi
lakin kwa kwenda mbali zaid Rais Samia alikaribisha watu wenye ushahidi tofauti na huo wajitokeze na wauweke hadharani, Karibu

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Wasaidizi wake wote wa karibu walikufa kwa covid ila ni yeye tu aliyeuliwa!.

Wanaompenda sana JPM wanakataa ukweli kuwa aliongoza nchi akiwa anaumwa moyo.
 
Kila kitu kitawekwa wazi mda bado ! Kifo cha JPM kitaibua maswali mengi kwa sasa NI ngumu kutoka hadharani na kusema waliofanya uovu huo hata nchi itapatanganyika tuombe Amani kwanza mtu Mmoja asisababishe tukaingia kwenye matatizo tupo Zaid ya milion 60

Kweli kabisa, hata kifo Cha Ben Saanane na Azory Gwanda vitwekwa wazi, pamoja na aliyempinga Lissu risasi.
 
Back
Top Bottom