Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..

Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Usidanganye mchana kweupe kila mtu anakutizama mkuu!
 
Ukinywa maji mengi sana kisha ukala ugali na samaki wa kukaangwa na pili pili, kuna uwezekano mkubwa sana wa kupasuka moyo vipande vipande.(huyo nae alikuwa)
 
Kwenye Royo Tuwa Mkojani anatoa sababu mbili za kifo Cha mtu Mmoja..... Covid then Moyo.
Je alisunbuliwa na kipi Kati ya hivyo na kipi kilimuuwa Kati ya hivyo ?
Magufuli alikuwa na hitilafu ya kwenye moyo wakamwekea kifaa kinachoitwa pacemaker. Wengi ya wagonjwa wenye hiyo hali wanaishi maisha ya kawaida na huwa hakuna tatizo. Tatizo lilikuja pale alipopata covid. Covid ni hatari sana ikimpata mtu ambaye ana condition ya moyo kama hiyo hasa kama hajachanjwa. Hivyo basi unaweza kusema kuwa alifariki kwa sababu ya covid.
 
Hivi Magufuli was immortal? hakupaswa kufa? baada ya kuwa amezaliwa alipaswa kuishi umri gani hapa duniani ndo afe???shiiish
Sijaelewa msingi wa maswali yako? Wewe una uelewa mzuri kweli? Nani amesema hakupaswa kufa au kapinga JPM kufa? Matatizo ya Lishe Dini.
 
Kila kitu kitawekwa wazi mda bado ! Kifo cha JPM kitaibua maswali mengi kwa sasa NI ngumu kutoka hadharani na kusema waliofanya uovu huo hata nchi itapatanganyika tuombe Amani kwanza mtu Mmoja asisababishe tukaingia kwenye matatizo tupo Zaid ya milion 60
 
..ukiacha Daktari wa Raisi, Magufuli alikuwa na Katibu Myeka / Private Secretary ambaye ni Daktari bingwa.

..Na kwasababu ya hali ya afya yake Magufuli alikuwa chini ya uangalizi wa Madaktari muda wote.

..Msafara wake ulikuwa na gari mahsusi la wagonjwa. Kila alipokaa kulikuwa na feni kubwa karibu yake kuhakikisha anapata hewa safi.

..Hata Covid-19 ilipoingia Magufuli alipelekwa Chato kujificha asije akapata maambukizi.

..Naamini kilichomponza Magufuli na kupelekea kifo chake ni kurudi Dsm na kuanza kuchangamana na makundi ya watu wenye maambukizi ya Covid-19.
 
Dr. Ngwale kweli JF ni maktaba :


1703606474535.png
 
Back
Top Bottom