Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Itakusaidia nini?Najiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakusaidia nini?Najiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Watu wanasema kuna ulinzi mkali ofisini kwa Prof. Janabi.
Watu wanauliza kwa nini ulinzi mkali namna hiyo wakati yule ni daktari tu?
Kwa hiyo yule sasa atapata cheo katika Chama ili wapate kisingizio cha kumlinda.
Watu watambue kwamba kuhoji ni sehemu ya maisha na majibu ya kweli yatolewe bila kujiumauma wala jaziba kuanzia mtu binafsi, ngazi ya familia na kitaifa
Huna akiliHata ningekiwa mimi ndio daktari wake ningemuua haraka sana. Alikuwa mtu muovu na aliuwa na kutesa watu wengi sana.
Ulitakajr?
Sasa hivi jiwe anateseka kwenye ziwa la motoMchawi ni Ufipa st
Wewe unatesekea duniani 😂Sasa hivi jiwe anateseka kwenye ziwa la moto
Hahaha......God is our saviour
Ndio ulidanganywa kuwa kuna ziwa la moto? Lipo maeneo gan mkuu tukapige selfie?Sasa hivi jiwe anateseka kwenye ziwa la moto
Kuna mwanamke anaitwa samia ..akisikia mada kama hizi tumbo linamuhuma na kutamani asitoke madarakani milele kwa hofu ya kesi ya uhainiNajiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Acha utani wewe.Jiridhishe kwanza unachosema, sio kuamini hearsay.
Kwahiyo unamprove wrong yule jamaa yenu anaitwa Tumia Akili?Nchi zote zinazotuzunguka zimewahi kufiwa na Rais akiwa madarakani isipokuwa Uganda pekee, what's so special
Jomo Kenyata, Habyarimana, Nkurunzinza, Mwanawasa, Bingu wa mutharika na Samora Machel wote hawa walifia madarakani kwa sababu tofauti tofauti
Serikali ilishatangaza kupitia Rais Samia kuwa Rais Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa Moyo uliogundulika kwa zaid ya miaka 10 kabla ya kifo chake
wanafamilia wake kuanzia Mama yake Mzazi hadi Dada zake walipata maradhi hayo kwa nyakati tofauti ikiashiria ni maradhi ya kurithi
lakin kwa kwenda mbali zaid Rais Samia alikaribisha watu wenye ushahidi tofauti na huo wajitokeze na wauweke hadharani, Karibu
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Wewe kutokujua imekusaidia nini? Ili nami nione faida yake.Itakusaidia nini?
Kamanda sasa kweli unataka tupangiane hata vitu vya kuhoji? Wewe ukihoji ben saanane au azory inakuwa vizuri nami nikihoji kifo cha mtani wangu Kila mtu anahoji mtu anayemfahamu. But pia mimi sijahoji kifo cha magufuli. Mbona nimeandika kitu kipo wazi kabisa.Ni unafiki mkubwa kujifanya kuhoji kifo Cha Magufuli, wakati akina Ben Saanane na Azory wanapotezwa au Lissu anapigwa Raisa mliwafanyia dhihaka kana kwamba hawastahili kuishi, mkimuona Magufuli Kama mtu atakaye ishi milele. Ila alipofariki mnaanza unafiki wa kujiuliza.
Kifo Cha Magufuli kilionesha picha halisi ya unafiki wa watanzania, na kwamba Kuna watu wanastahili kuishi na wengine hawastahili. Mtu anadai ukweli wa kifo Cha Magufuli lakini hapo hapo anadhihaki kuuawa kwa Ben Sanane. Tupunguze unafiki.
Haisaidii, lile jitu katili lilijifia lenyewe kizembe pamoja na chuki zakeUzembe wa via vya wazazi wako walioshindwa kukubana kama last inya, sasa uko huku kuponda watu wazuri kipenzi cha Taifa
Hiyo haisaidii kulirudisha tena lile shetani lenu la Chattle.Kuna mwanamke anaitwa samia ..akisikia mada kama hizi tumbo linamuhuma na kutamani asitoke madarakani milele kwa hofu ya kesi ya uhaini
Mdomo komaMkuu tuambie ukweli, kama yeye kadanganya!