Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais

Watu wanasema kuna ulinzi mkali ofisini kwa Prof. Janabi.
Watu wanauliza kwa nini ulinzi mkali namna hiyo wakati yule ni daktari tu?
Kwa hiyo yule sasa atapata cheo katika Chama ili wapate kisingizio cha kumlinda.

Jiridhishe kwanza unachosema, sio kuamini hearsay.
 
Ni unafiki mkubwa kujifanya kuhoji kifo Cha Magufuli, wakati akina Ben Saanane na Azory wanapotezwa au Lissu anapigwa Raisa mliwafanyia dhihaka kana kwamba hawastahili kuishi, mkimuona Magufuli Kama mtu atakaye ishi milele. Ila alipofariki mnaanza unafiki wa kujiuliza.

Kifo Cha Magufuli kilionesha picha halisi ya unafiki wa watanzania, na kwamba Kuna watu wanastahili kuishi na wengine hawastahili. Mtu anadai ukweli wa kifo Cha Magufuli lakini hapo hapo anadhihaki kuuawa kwa Ben Sanane. Tupunguze unafiki.
 
Najiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Kuna mwanamke anaitwa samia ..akisikia mada kama hizi tumbo linamuhuma na kutamani asitoke madarakani milele kwa hofu ya kesi ya uhaini
 
Nchi zote zinazotuzunguka zimewahi kufiwa na Rais akiwa madarakani isipokuwa Uganda pekee, what's so special

Jomo Kenyata, Habyarimana, Nkurunzinza, Mwanawasa, Bingu wa mutharika na Samora Machel wote hawa walifia madarakani kwa sababu tofauti tofauti

Serikali ilishatangaza kupitia Rais Samia kuwa Rais Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa Moyo uliogundulika kwa zaid ya miaka 10 kabla ya kifo chake

wanafamilia wake kuanzia Mama yake Mzazi hadi Dada zake walipata maradhi hayo kwa nyakati tofauti ikiashiria ni maradhi ya kurithi
lakin kwa kwenda mbali zaid Rais Samia alikaribisha watu wenye ushahidi tofauti na huo wajitokeze na wauweke hadharani, Karibu

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unamprove wrong yule jamaa yenu anaitwa Tumia Akili?
 
Ni unafiki mkubwa kujifanya kuhoji kifo Cha Magufuli, wakati akina Ben Saanane na Azory wanapotezwa au Lissu anapigwa Raisa mliwafanyia dhihaka kana kwamba hawastahili kuishi, mkimuona Magufuli Kama mtu atakaye ishi milele. Ila alipofariki mnaanza unafiki wa kujiuliza.

Kifo Cha Magufuli kilionesha picha halisi ya unafiki wa watanzania, na kwamba Kuna watu wanastahili kuishi na wengine hawastahili. Mtu anadai ukweli wa kifo Cha Magufuli lakini hapo hapo anadhihaki kuuawa kwa Ben Sanane. Tupunguze unafiki.
Kamanda sasa kweli unataka tupangiane hata vitu vya kuhoji? Wewe ukihoji ben saanane au azory inakuwa vizuri nami nikihoji kifo cha mtani wangu Kila mtu anahoji mtu anayemfahamu. But pia mimi sijahoji kifo cha magufuli. Mbona nimeandika kitu kipo wazi kabisa.
 
Uzembe wa via vya wazazi wako walioshindwa kukubana kama last inya, sasa uko huku kuponda watu wazuri kipenzi cha Taifa
Haisaidii, lile jitu katili lilijifia lenyewe kizembe pamoja na chuki zake
 
Kuna mwanamke anaitwa samia ..akisikia mada kama hizi tumbo linamuhuma na kutamani asitoke madarakani milele kwa hofu ya kesi ya uhaini
Hiyo haisaidii kulirudisha tena lile shetani lenu la Chattle.
Hata ikijulikana Samia ndo alihusika
 
Back
Top Bottom