Daktari wa Magufuli akiwa Kiongozi na uhusika wake katika afya ya Rais


Ubishi wa mwendazake kukataa kufuata kiwingu cha watu maalum kinachomuangalia rais muda wote kuhusu usalama wa afya yake n.k n.k
 
Hivi Magufuli was immortal? hakupaswa kufa? baada ya kuwa amezaliwa alipaswa kuishi umri gani hapa duniani ndo afe???shiiish
hakutakiwa kufa yeye Mungu ndio alitakiwa amshukuru JPM kwa kufanya kazi vizuri na JPM ndo apange lini ana exit hii dunia
 
Kumbe alipata UVIKO !
Yule jamaa alikuwa haamini habari za COVID 19.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…