Daktari wa Saikolojia Radio One: Mwanamke akisaliti anakosa Amani na Anajishtukia ndani ya Siku 92

Daktari wa Saikolojia Radio One: Mwanamke akisaliti anakosa Amani na Anajishtukia ndani ya Siku 92

Akiongea katika Kipindi kizuri na kinachoelimisha na ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima kiitwacho Mazungumzo ya Familia cha Radio One Daktari Bingwa wa Saikolojia Dk. Charity Xavier ametoa SIRI ya Kisaikolojia ya Usaliti wa Mwanamke.

"Mwanamke yoyote Akimsaliti ana Mpenzi au Mume wake hukosa Amani na Hujishtukia ndani ya Siku 92 na atakuwa anakuonyesha Upendo wa Ajabu, mkubwa huku muda mwingine akiwa anakuongelesha Mambo yasiyo na maana na ya Kitoto" amesema Daktari wa Saikolojia wa Radio One Kipindi cha Mazungumzo ya Familia Dk. Charity Xavier.

Mpaka hapa Dk. Charity Xavier ( Dokta wa Saikolojia Kipindi cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One ) ameshaniharibia Asubuhi yangu kwani kwa huu Ukweli wake wa Kiutaalam kuna Mtu namhisi kabisa kuwa Kanisaliti na huenda leo akawa yuko katika Siku ya 20 za Kujishtukia Kunisaliti na anasubiria Kuzimaliza hizo Siku 72 zilizobaki.

Wanawake tumewakoseeni nini nyie?
Naomba no yake
 
Akiongea katika Kipindi kizuri na kinachoelimisha na ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima kiitwacho Mazungumzo ya Familia cha Radio One Daktari Bingwa wa Saikolojia Dk. Charity Xavier ametoa SIRI ya Kisaikolojia ya Usaliti wa Mwanamke.

"Mwanamke yoyote Akimsaliti ana Mpenzi au Mume wake hukosa Amani na Hujishtukia ndani ya Siku 92 na atakuwa anakuonyesha Upendo wa Ajabu, mkubwa huku muda mwingine akiwa anakuongelesha Mambo yasiyo na maana na ya Kitoto" amesema Daktari wa Saikolojia wa Radio One Kipindi cha Mazungumzo ya Familia Dk. Charity Xavier.

Mpaka hapa Dk. Charity Xavier ( Dokta wa Saikolojia Kipindi cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One ) ameshaniharibia Asubuhi yangu kwani kwa huu Ukweli wake wa Kiutaalam kuna Mtu namhisi kabisa kuwa Kanisaliti na huenda leo akawa yuko katika Siku ya 20 za Kujishtukia Kunisaliti na anasubiria Kuzimaliza hizo Siku 72 zilizobaki.

Wanawake tumewakoseeni nini nyie?
Achepuke tu ila awahi kurudi nyumbani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mkuu GENTAMYCINE umefunga Inbox yako?
Una uhakika? Mbona Uongozi wa JamiiForums ulinipata huko huko na kunipa Taarifa Muhimu ya Kupokea Zawadi yangu ya Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums mwaka 2022? Wao wameingiaje huko na Kunipata na Wewe ushindwe?

Asante kwa Kunifolo nimeona na Kuniongezea idadi na Utajiri wa Followers hapa JamiiForums.
 
Iyo ni uongo!labda utafiti kafanya kwamkewe Tena uyomke nimsabato
Hatujui wanawake uyo,mwanamke anajichekesha anapohisi au kuona pesa tu,iwe mume au hawara nipesa tu ndo inatutoa akili nakuanza kuongea mambo yakitoto tofauti na apo bigNO
Mnaogongewa Wake zenu mna Hasira kweli kweli na hii Mada inawachomeni mno. Poleni.
 
Alikosa chakuongea,labda angesema dharau zinazidi apo sawa,coz mwanamke hawezi kubalance shobo za upendo apo lazma kunammoja atamuweka moyoni mwingine atawekwa miguuni,ukute wamoyoni ndo hawala sasa!apo mume akiongea chochote anaonekana kama katuni tu,akitaka hakiyake yamsingi mpka apigane coz Hana mvuto tena
Mnaogongewa Wake zenu mna Hasira kweli kweli na hii Mada inawachomeni mno. Poleni.
 
Akiongea katika Kipindi kizuri na kinachoelimisha na ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima kiitwacho Mazungumzo ya Familia cha Radio One Daktari Bingwa wa Saikolojia Dk. Charity Xavier ametoa SIRI ya Kisaikolojia ya Usaliti wa Mwanamke.

"Mwanamke yoyote Akimsaliti ana Mpenzi au Mume wake hukosa Amani na Hujishtukia ndani ya Siku 92 na atakuwa anakuonyesha Upendo wa Ajabu, mkubwa huku muda mwingine akiwa anakuongelesha Mambo yasiyo na maana na ya Kitoto" amesema Daktari wa Saikolojia wa Radio One Kipindi cha Mazungumzo ya Familia Dk. Charity Xavier.

Mpaka hapa Dk. Charity Xavier ( Dokta wa Saikolojia Kipindi cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One ) ameshaniharibia Asubuhi yangu kwani kwa huu Ukweli wake wa Kiutaalam kuna Mtu namhisi kabisa kuwa Kanisaliti na huenda leo akawa yuko katika Siku ya 20 za Kujishtukia Kunisaliti na anasubiria Kuzimaliza hizo Siku 72 zilizobaki.

Wanawake tumewakoseeni nini nyie?
Usisumbuliwe na SHETANI
 
Yaani ni ukweli mtupu jamani sijui leo ni siku ya ngapi baada ya kuweka mtego wa kuinasa namba iliyokuwa ikimnyima raha ikipigwa kwenye simu yake akiwa na mimi wiki tatu zilizopita.

Kabla ya hapo wiki bili nyuma mpaka sasa amekuwa akiongea vitu mpaka najiuliza kwanini mbona kama anarudia utoto? Na nmekuwa nikimkrash kumbe ni kawaida?
IMG_20230326_173319_895.jpg
IMG_20230326_173319_895.jpg
 
Mwanamke akisaliti unajua mkuu kama umemzoea...... mwaka 2015 nilikuwa na manzi mmoja kama siku3 nyuma alikuwa akipatikana kwa machale sana, alivyo jileta kwangu nilihisi kunq kitu maana alikuwa haongei ananiangalia sana kama ananionea huruma..... nikamuuliza kulikoni? Kimya nikachukua simu yake ile gafla lakini sikuifungua ndani kuona kuna nini, alikuwa mkali mpaka nikaona hii jau yani alifoka kitu ambacho sio kawaida, nijua akili yake ilipo nikamwambia nimekusamehe najua kila kitu ulichofanya na yule boya nilisikia bonge la yoe[emoji23][emoji23][emoji23] nikaja tayari kauza mechi na hapo nilikuwa nachombeza tu, alilia sana akashuka kwenye gari anataka aende barabara kubwa agongwe afe[emoji23][emoji23][emoji23] maana tulikuwa tunaongea kwenye gari!! Niliumia kwasababu nilijua nimepiga kwenye mshono, nilimruhusi aondoke kwenda kwake alivyofika ndo kaanza kuomba msamaha..... aisee nilikuwa nampenda yule dada ile sana yani lakini alinibamiza adi sio poa, mpka sasa ni washakji fresh tu kila mtu alishika njia yake,

Nilikuja kuoa baadae lakini kuna siku nampigia simu wife hapokei, nikiwa natoka town nikamuona kwenye gari ya staff mwenzie wakiume, nikapiga hapokei baadae anakuja kunicheki anasema alikuwa floor y juu na simu aliaacha chini charge wakati nimemuona town na msela kwenye gari ya jamaa na yeye wife gari yake kaacha officen[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikajua kaliwa ile siku nilikuwa nasafiri sikusema kitu, nimerudi nikamwambia wewe ile siku nimekuona sehemu fulani alitoq macho alafu akawa mpole kama sio yule lakini nikamwambia nimekusamehe pia najua kila kitu alikaa kimya tuu hakujibu kitu wakati namjua ni mbishi, alibadilika sana akawa karibu na mimi kuliko kawaida, nilijua huyu anajistukia... ila nilipotezeaga ile issue kiume sana nilimuangalia binti yangu mdogo nikaona ngoja nivunge!!!! Ila mapenzi sio kuwa na pewa hawa watu yani kuwaelewa kwakweli ninkazi nyingine iyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unampa pesa nae anaenda kugawa pesa kwa bwana wake!!!!! Tumeambiwa tuishi nao kwaakili kwaiyo akili itumike zaidi kwenye kuishi na hawa viumbe usiamini mwanamke kw asilimia zote ishi nao kwa akili
Yess
DO NOT BELIEVE ANY WOMAN ESPECIALLY NAKED
kaa nayo hiyo mkuu!
 
Iyo ni uongo!labda utafiti kafanya kwamkewe Tena uyomke nimsabato
Hatujui wanawake uyo,mwanamke anajichekesha anapohisi au kuona pesa tu,iwe mume au hawara nipesa tu ndo inatutoa akili nakuanza kuongea mambo yakitoto tofauti na apo bigNO
Unatumia nguvu kubwa sana kujitetea kulikoni?
 
Yaani ni ukweli mtupu jamani sijui leo ni siku ya ngapi baada ya kuweka mtego wa kuinasa namba iliyokuwa ikimnyima raha ikipigwa kwenye simu yake akiwa na mimi wiki tatu zilizopita.

Kabla ya hapo wiki bili nyuma mpaka sasa amekuwa akiongea vitu mpaka najiuliza kwanini mbona kama anarudia utoto? Na nmekuwa nikimkrash kumbe ni kawaida?View attachment 2566769View attachment 2566769
Pole sana mkuu ,
Yashanikuta mwezi uliopita .
Hakuwa na Cha kuzungumza kenge yule.
Alikuwa anajifanya malaika ,nikawa na mchora tu.
Mapenzi yataka moyo.
 
Pole sana mkuu ,
Yashanikuta mwezi uliopita .
Hakuwa na Cha kuzungumza kenge yule.
Alikuwa anajifanya malaika ,nikawa na mchora tu.
Mapenzi yataka moyo.
Asante sana,,sasa mtu anamuita ndugu yake lakini namba yake hajaisave kwenye simu na kilichonifanya nione kama huy jamaa ni mchepuko wake ni pale akiwa na mimi simu ya huyo mwanaume hapokei na wakati mwingine anasema ni mtandao ndyo wanampigia kwahyo anakata.

Lakini cha kushangaza nilipoichungulia simu ya huyu mke nakuta mtu mwenye namba hyo hyo huwa kuna nyakati anampigia na wanaongea mpka nusu saa kila mara. Nipo kwenye nyakati ambazo ni ngum mno,yaani unafkiria unamuacha halafu mtoto atakuwa kweny mazingira gan
 
Back
Top Bottom