Hivi kulikuwa na ulazima wa kujenga vituo vya mwendokasi ambavyo vinakubali magari ya aina fulani tu?Wanaondesha usafiri katika jiji la Dar Ni vilaza kupitiliza. Wanarudisha mabasi bila kua na vituo.
Foleni zisizo za muhimu zinarudi Tena.
Hivi hapo jiji wanaona shida gani kuajiri watu wenye akili?
Wabunge wapo, wakuu wa wilaya wapo, mkuu wa mkoa yupo lkn wanashindwa kukaa na kuja na kitu chenye kuleta unafuu kwa maisha yetu.
Baada ya kukosa ubunifu wanawaandama dada utamu.
Ni kweli kazi yao ya asili fisiemu hiyoSisi tunachoweza ni wizi tu.
Bado kwa mtu mwenye akili atatumia mwendokasi. Maana hiyo daladala kwa muda itakayokaa foleni na kupiga debe, utatumia masaa hadi mawili. Ni bora usubiri tu mwendokasi.
Lilikuwa ni suala la muda tu na hatimaye unaweza kusema tumerudi nyuma au tumerudi kwenye maisha yetu ya kawaida au tuliyozoea.
Daladala za kutokea Mbezi mpaka Mnazi Mmoja kupitia Manzese, Magomeni, Fire hadi mnazi mmoja zimeanza kazi rasmi leo.
Hadi muda huu bado zipo chache sana, ila kwa sisi wazee kuliko kuendelea kukaa kusubiri mwendokasi masaa mawili ni nafuu.
Na ukiona una ubavu na unaweza kupanda basi unasogea hapo mnazi ukiwa umeshiba.
Tatizo tinaloenda kupambana nalo ni foleni kutokana na barabara kubana.
PIA SOMA
- Baada ya Serikali kushindwa ni muda sasa wa kurejesha Daladala za kusafirisha abiria Kariakoo-Kimara-Mbezi
Sio wote, ni pale tu inapokuja awamu ya waislam, angalia historia utagundua ukweli huu..Kagame aliposema viongozi wa Tanzania hawana akili, mlimtolea povu kwa kusema amewatukana
Acha kufichaficha, sema mwana mama MuislamMiaka mitatu ya rais mwana mama tumepata yafuatayo.1mwendokasi imekufa rasmi.
2.Shirika la ndege liko taabani.
3.Sgr imesimama.pesa hamna
4.vivuko vya kigamboni vimekufa na
5.kuongezeka Kwa watumishi wazembe,Wala rushwa,wasiozingatia miiko ya kazi na wawekezaji matapeli.
Mkuu, kuna jamaa mmoja si wa bara hili jeusi ni wa huko mbali huko.Jiwe aliwahi kutamka kuwa mtamkumbuka kwa mazuri yake. Karma ndiyo imeanza kujibu nini!?
Wazee wa Pwani wameshika mpini. Wao na familia zao wanajitengenezea fursa wao wenyewe na jamaa zao wa karibu. Kibaya zaidi itakuwa ngumu kumpata mrithi wa kiti cha utukufu nje ya wigo wao.
Uzalendo kwao maana yake kuwa chawa kwa kumaanisha kwa upande wao. Aione kwenye jalada Lucas Mwashambwa.
Ndiyo mabasi yote ya BRT height ya milango yake kutoka chini mpaka mlango unapoanzia ni universal.Hivi kulikuwa na ulazima wa kujenga vituo vya mwendokasi ambavyo vinakubali magari ya aina fulani tu?
Pia daladala ambazo sio za hiyo route, zingeruhusiwa kubeba abiria iwapo watapita kwenye hiyo njia wakiwa wanaenda huko kwenye shughuli iliyowafanya wapite kwenye hiyo njia.Kama mimi ningeruhusu zipite kwenye barabara za mwendokasi zote