Dalili za kuonesha tayari una ugonjwa wa Figo: Wanywa Pombe Kali Mnasalimiwa!

Dalili za kuonesha tayari una ugonjwa wa Figo: Wanywa Pombe Kali Mnasalimiwa!

Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo

Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,

Dalili za ugonjwa wa Figo

1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" - P Jb
Asante sana,weighter leta Windhoek
 
inafikieisha sana.
Sasa inasemekana kwenye pombe ndio kuna connection.
Wanywa juisi utawakuta KFC na vijimighahawa wapo na watoto, hakuna mazungumzo zaidi ya kupiga picha tu.
Vitu vyote ambavyo kiimani vimewekewa dosari Shetani kavipaisha sana kwa kuwa na wadau wazito kimafanikio na sababu ya mishahara na marupurupu kedekede.

TBL + TTCL wana mawe balaa sasa jumuisha na wauza vitimoto, unadhani wewe mnywa juisi za kutengeneza, soda n.k utawakuta kirahisi hao Watu?
 
Kama ni hivyo mbona serikali haijapigwa marufuku mvinywaji vikali kama ilivyopata marufuku bangi nk ?
Ebo, kwani serikali ipige marufuku hizo 'spirit" wakati imejenga ma-hospitali ya kulaza wagonjwa wanaotokana na figo kufeli?

Hospitali inapata fedha nyingi za kununua magari na safari za nje za kikazi za viongozi kwa wagonjwa wanaolipa mamilioni kutibiwa, fedha za safari lazma walipe wagonjwa.
 
Nakubaliana nawe kwenye mengineyo mkuu ila ndumu inanipa focus hasa ninapokuwa nawasiliana na Mungu wangu.Pia vyote ulivyotaja vimekatazwa kwenye Biblia ila ndumu wamekataza sirikali.
Serikali imeiga na kunukuu mifumo ya kiuongozi na kiutawala toka kwa Mungu ndiyomaana unaambiwa "kila mamlaka iliyopo duniani imetokana na Mungu".
 
Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo

Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,

Dalili za ugonjwa wa Figo

1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" - P Jb
Nilidhani bapa ndiyo nyagi kumbe sivyo.
 
Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo

Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,

Dalili za ugonjwa wa Figo

1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" - P Jb
Nilidhani bapa ndiyo nyagi kumbe sivyo.
 
Sionagi nyuzi za kudiss soda,enegy na mijuice juice,,,ina maana ngano inamadhara sana,,, tusifokeane bhana ukiona soda nzuri komaaa ukiona shayiri ni nzuri komaa ila siku ya saba nenda kuabudu
 
Sionagi nyuzi za kudiss soda,enegy na mijuice juice,,,ina maana ngano inamadhara sana,,, tusifokeane bhana ukiona soda nzuri komaaa ukiona shayiri ni nzuri komaa ila siku ya saba nenda kuabudu
Kukutana na Mwanaume wa roho yako au mwanamke wa Roho yako inategemea na wewe unavyo, jipozisheni.
Kama unatembelea Meeda, Kitambaa cheupe , Matako Bar unategemea ukutane na hizi elimu zinaztolewa tena kwa malipo Kempisky na mahospitalini?
 
Pombe kupita kiasi haiwezi kukuacha salama hata siku moja,unakuta mtu anamaliza bapa peke yake kila siku unategemea nini...
Mbona mi mdogo wangu alikufa baada ya figo kufeli akiwa na miaka 17 tu!? Tena hakuwahi kunywa pombe.

Mi nadhani sababu ni nyingi zinazosababisha ugonjwa wa figo sip pombe pekee yake

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
uzuri bia aliruhusu Bwana Janabi, nakumbuka alisema kuwa kunywa bia 2 kwa siku ni nzuri kwa afya,
Unategemea atakushauri jambo ili kitengo cha figo pale MNH kifutwe?

Za kuambiwa changanya na zako mjomba.

TTC[sigara inaongoza kwa mapato], inaongoza soko la hisa ila huwezi ona zikikatazwa, isipo kuwa kwa watoto, hazina madhara?
Tumbaku si inalimwa na inapewa ruzuku? kwenye mashamba ya tumbaku si ndio tungelima mahindo na viazi? kwanin hatulimi chakula tunalima kiburudisho cha wakoloni?
 
Sionagi nyuzi za kudiss soda,enegy na mijuice juice,,,ina maana ngano inamadhara sana,,, tusifokeane bhana ukiona soda nzuri komaaa ukiona shayiri ni nzuri komaa ila siku ya saba nenda kuabudu
Anziasha, usiwe wa kulishwa tu, lisha na wewe!
 
Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo

Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,

Dalili za ugonjwa wa Figo

1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" - P Jb
Bad o mtuwwkee na Daliliza HIV
 
Serikali inataka kodi Prof akumbuke hilo.

Na magonjwa ya binadamu ni biashara kubwa sana.

Hapo wenye madawa watauza, mashine za kusafisha Figo,

Wenye bima za afya,

Madaktari nao watakua kazini.

Sasa watu wasipokunywa pombe wakaugua figo angalia hiyo cycle yote itakavyoanguka kimapato.
 
Back
Top Bottom