Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Mungu atusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana,weighter leta WindhoekProfesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo
Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,
Dalili za ugonjwa wa Figo
1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" - P Jb
Vitu vyote ambavyo kiimani vimewekewa dosari Shetani kavipaisha sana kwa kuwa na wadau wazito kimafanikio na sababu ya mishahara na marupurupu kedekede.inafikieisha sana.
Sasa inasemekana kwenye pombe ndio kuna connection.
Wanywa juisi utawakuta KFC na vijimighahawa wapo na watoto, hakuna mazungumzo zaidi ya kupiga picha tu.
Ebo, kwani serikali ipige marufuku hizo 'spirit" wakati imejenga ma-hospitali ya kulaza wagonjwa wanaotokana na figo kufeli?Kama ni hivyo mbona serikali haijapigwa marufuku mvinywaji vikali kama ilivyopata marufuku bangi nk ?
Serikali imeiga na kunukuu mifumo ya kiuongozi na kiutawala toka kwa Mungu ndiyomaana unaambiwa "kila mamlaka iliyopo duniani imetokana na Mungu".Nakubaliana nawe kwenye mengineyo mkuu ila ndumu inanipa focus hasa ninapokuwa nawasiliana na Mungu wangu.Pia vyote ulivyotaja vimekatazwa kwenye Biblia ila ndumu wamekataza sirikali.
Wazee wa glass bado mnavutia upande wenu🤣🤣Pombe kali inatakiwa isindikizwe na mlo mzuri...
Tofauti na hapo ni kuchoma pafu tu
Nilidhani bapa ndiyo nyagi kumbe sivyo.Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo
Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,
Dalili za ugonjwa wa Figo
1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" - P Jb
Nilidhani bapa ndiyo nyagi kumbe sivyo.Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo
Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,
Dalili za ugonjwa wa Figo
1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" - P Jb
Kukutana na Mwanaume wa roho yako au mwanamke wa Roho yako inategemea na wewe unavyo, jipozisheni.Sionagi nyuzi za kudiss soda,enegy na mijuice juice,,,ina maana ngano inamadhara sana,,, tusifokeane bhana ukiona soda nzuri komaaa ukiona shayiri ni nzuri komaa ila siku ya saba nenda kuabudu
Mbona mi mdogo wangu alikufa baada ya figo kufeli akiwa na miaka 17 tu!? Tena hakuwahi kunywa pombe.Pombe kupita kiasi haiwezi kukuacha salama hata siku moja,unakuta mtu anamaliza bapa peke yake kila siku unategemea nini...
uzuri bia aliruhusu Bwana Janabi, nakumbuka alisema kuwa kunywa bia 2 kwa siku ni nzuri kwa afya,Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Unategemea atakushauri jambo ili kitengo cha figo pale MNH kifutwe?uzuri bia aliruhusu Bwana Janabi, nakumbuka alisema kuwa kunywa bia 2 kwa siku ni nzuri kwa afya,
Dah,we ni mjomba yake na mungu unajua hatma yako mwenzetu,hongera sanaProf jay ana skendo ya umeme.
Isije ikawa ndio sababu
Anziasha, usiwe wa kulishwa tu, lisha na wewe!Sionagi nyuzi za kudiss soda,enegy na mijuice juice,,,ina maana ngano inamadhara sana,,, tusifokeane bhana ukiona soda nzuri komaaa ukiona shayiri ni nzuri komaa ila siku ya saba nenda kuabudu
Bad o mtuwwkee na Daliliza HIVProfesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo
Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,
Dalili za ugonjwa wa Figo
1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" - P Jb