Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Nadhani pia tatizo letu hatuna "National Vision and Mission" ndio maana kila rais anayekuja anaweza kuacha aliyo yakuta na kuanza michakato yake binafsi.

Umegusia suala la urasimu pia, kweli ni kikwazo sana. Kukamilisha jambo dogo tu kunakuhitaji upitie ngazi nyingi tofauti na tozo/kodi za kero kila unapopita. Hii inatupotezea muda na kukwamisha maendeleo.

Issue ya technology ndio naona kama tumeipa kisogo kabisa, hadi leo unaenda ofisi za umma eti unaambiwa subiri labda baada ya wiki 2 tunatuma taarifa makao makuu, seriously?!

Pia awamu hii inaua sekta binafsi kwa kutaka ifanye kila kitu, hilo haliwezi zaa matunda ni suala la muda tu.

Unakazana kuua sekta binafsi then unafanya miradi kama SGR, Hydro power, Ndege sasa unajiuliza serikali huwa ina mizigo gani ya kusafirisha? Serikali itafanyia nini huo umeme wote kama sio sekta binafsi? Ndege ni mtumishi gani wa umma anayemudu huo usafiri ukiacha wachache wa ngazi za kati na juu?
Mimi naamini kabisa Tanzania wakiwa serious wakaja na sera rafiki nchi hii itafika mbali. Nakumbuka walivyoondoa road licence na kuweka katika tozo ya mafuta watu walifurahia sio kwamba wanalipa less hapana wanalipa zaidi kila ukinunua mafuta lakini wamefurahi ufanisi. Hizi utitiri wa vibali ni changamoto kubwa sana watu wangelipa yote kwa furaha gharama hiyohiyo lakini one stop basi kibali kimoja kimebeba kila kitu. Kosa kubwa nadhani inabidi warekebishe haraka sana, serikali kazi yao sera na kukusanya kodi sio biashara, sasa kazi zote za ujenzi ukiwa unawapa jeshi sijui ulinzi JKT Suma wamekuwa kama group 4 wanafanya kazi ambazo zilitakiwa sector binafsi wafanye. Jeshi wako katika payrol hutengenezi ajira mpya bado unawapa kazi za ujenzi, pesa haiendi katika mzunguko kwa watu inabaki humohumo ndani mfuko wa kulia kwenda wa kushoto haya mazingira hakuna atakuja kuwekeza. Katika hili mimi napinga kabisa serikali ijikite katika kuweka sera, kusimamia na kuwezesha mwisho wa siku ajira nyingi na kodi itaongezeka.
 
Hata Jiwe mwenyewe analijua hilo ndio maana karuka vipande vyote toka Dodoma na kukimbilia kujenga kipande cha kwao kanda ya ziwa kwanza
Sijui kama haitapita Chatto ikitoka Shinyanga 😥
Tena amewapa Wachina wajenge kwa miaka mitatu tuu
 
Kwaiyo unafurahi ujenzi kutokamilika kwa wakati, kwani hata usipokamilika we unapata faida gani?kwanza inabidi tumpongeze Magufuli kwa uthubutu pamoja na mdororo wa uchumi kwasababu ya corona, serikali ya Magufuli bado wanaendelea na miladi yote,nchi nyingi miladi mikubwa wamesimamisha, mpaka wanafikia kupunguza wafanyakazi.Maguri ni mwanaume wa shoka.
sijawataja ni akina nani wanaokuja
 
Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Shida ni muamala umekata!
 
Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.
Facts about TAZARA


Line length: 1,860 km (1,160 mi)
Operator(s): Tanzania–Zambia Railway Authority
Track gauge: 1,067 mm (3 ft 6 in)‎
Status: Minimally operational

How it all begun
The idea to connect Central and Southern African States with the eastern coast through a rail link started as far back as 1947. Both Tanganyika (now Tanzania) and Northern Rhodesia (now Zambia) had for a long time wished to agriculturally develop their vast areas in the South West (of Tanganyika) and North East (of Northern Rhodesia), respectively. On the Tanganyika side, plans for this had been discussed for many years while on the Northern Rhodesian side the suggestion was beginning to receive prominence and support by 1963 through the advocacy of Dr Kenneth Kaunda. Earlier, the colonial settlers had undertaken a number of surveys into the project and nearly all had declared that the proposed line was economically unjustifiable. This was at the time of liberation agitations and it was apparent that these conclusions were laced with political thinking. The settlers feared that such a rail link would affect their interests in the region.

How Ian Smith triggered action
On 11th November 1965, the administration of Ian Smith in Rhodesia (Zimbabwe) whose Rhodesian Front party opposed an immediate transfer of power to black majority rule in the self-governing British colony, unilaterally declared independence from the United Kingdom. The Unilateral Declaration of Independence (UDI), as it were, triggered various effects on the scene. First, UDI had the effect of intensifying the liberation struggle in which Zambia played an active role as a frontline state. Being landlocked, the Smith regime tried to intimidate Zambia out of her support for the liberation struggle by cutting her only outlet to the sea – the road and rail trunks from Zambia to the sea ports in South Africa, passing through Rhodesia. The leaders of Tanzania (the late Mwalimu Julius Nyerere) and Zambia (Dr. Kenneth Kaunda) who were aware of Zambia’s dependence on the southern route and its implications visualized that the North East Rail Link was the only other way for Zambia to maintain economic and political independence. In a significant way, therefore, Ian Smith’s UDI spurred the proponents and even quickened the pace at which the TAZARA project was implemented.

How China rescued the situation
Tanzania and Zambia clearly had the motive to construct TAZARA. But it was also very clear from the beginning that this mammoth project would require huge amounts of funds to take off. The Western countries were first approached for assistance to build the line but as expected they rebuffed the idea, insisting that “the project was economically not viable.” This view, which was equally supported by the World Bank, meant that assistance from that quarter was not possible. The Government of the People’s Republic of China, under the wise leadership of the late Chairman Mao Tse-Tung were approached and readily accepted to support the project. The Chinese leadership saw the wider necessity of the line and thus offered to finance it as a turnkey project. The Chinese offered to provide the finances for construction, expertise and equipment, including buildings, workshops, training school and related infrastructure.

Agreement is signed
On 5th September 1967, an Agreement for the construction of TAZARA was concluded in Beijing, China, between the three Governments of China, Tanzania and Zambia. The initial idea was for the railway line to start from Kidatu in Tanzania to Kampoyo in Zambia.

TAZARA is established
The Tanzania-Zambia Railway Authority was established in March 1968 and the survey and design work commenced in October 1968 and finished in May 1970. The surveys by the Chinese produced favourable recommendations, which completely disregarded all conclusions of earlier surveys. By now it had been decided that the line would start from Dar es Salaam and end at Kapiri Mposhi.

China offers an interest-free loan
In July 1970, China agreed to give Tanzania and Zambia an interest free loan repayable in thirty years totaling Yuan 988 million to cover costs of constructing the line and supporting infrastructure of Stations and the Training School as well as the supply of motive power and rolling stock.
Construction begins
Construction of the line started in October 1970. The then Presidents Dr. Kenneth Kaunda of Zambia and late Mwalimu Julius Nyerere of Tanzania officially inaugurated the commencement at Dar es Salaam in Tanzania and Kapiri Mposhi in Zambia, respectively. This was the beginning of the most awe-inspiring engineering feats ever performed by China in Africa.

Meandering through inhospitable terrain
Within a year track-laying reached Mlimba which is 502 kilometres from Dar es Salaam. Thereafter, for the next one year, construction entered through the most inhospitable terrain of the line. This is the 158-kilometre Mlimba/Makambako section, which is characterized by complicated topographical features. The works in this section alone included excavation of 20 million cubic metres of earth works (about a quarter accounted for the whole line), construction of 46 bridges with total linear length of 4,100 metres, 18 tunnels aggregating 8,253 metres and 362 culverts totaling 11,710 metres.

Construction crosses the border
The track crossed the Tanzanian border at Tunduma into Zambia at Nakonde in August 1973. After the experience of the Mlimba/Makambako section, construction in Zambia with fairly uncomplicated features was fast such that by June 1975, the line reached Kapiri-Mposhi, two years ahead of schedule. Trial operations continued for a year until 14 July 1976 when full operations commenced, after the Government of the Peoples’ Republic of China formerly handed over TAZARA to Tanzania and Zambia.

Engineering challenges
The engineering difficulties involved in building the 1,860 kilometre long railway were immense. It is not easy to fathom the extent of heroism and ingenuity displayed by both the Chinese people, represented by their great engineers and workers and the Tanzanian and Zambian people, who joined the Chinese for the construction of this unique railway. The hostile environment, through which the line often had to pass, did not deter them. When the line was finally completed, almost 89 million cubic metres of earth and rock had to be moved, 320 bridges, 22 tunnels and 2,225 culverts were built.

Heroic workforce
At the height of construction, the workforce rose to 38,000 Tanzanian and Zambian workers and 13,500 Chinese technical and engineering personnel. Over 160 workers, among them 64 Chinese, died during the construction of the railway.
 
Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Shida ni pesa!!kama mkandarasi mwenyewe hapewi pesa kwa wakati utamlaumu vipi??kuna kijiji huko pwani kinadai bilioni 8, za tozo za kuchimba kokoto, hadi walitishia kuzuia malori ya kampuni!!kwani si kulikuwa na kampuni nyingine ya kireno, iko wapi?licha ya kukopa kila leo ili kuokoa jahazi bado hali tete!!yaani awamu ijayo atakuwa na kazi kubwa sana, ila endapo tu katiba haitachokonolewa!!!kwani haya maneno ya kina jaah people!!
 
Mimi naamini kabisa Tanzania wakiwa serious wakaja na sera rafiki nchi hii itafika mbali. Nakumbuka walivyoondoa road licence na kuweka katika tozo ya mafuta watu walifurahia sio kwamba wanalipa less hapana wanalipa zaidi kila ukinunua mafuta lakini wamefurahi ufanisi. Hizi utitiri wa vibali ni changamoto kubwa sana watu wangelipa yote kwa furaha gharama hiyohiyo lakini one stop basi kibali kimoja kimebeba kila kitu. Kosa kubwa nadhani inabidi warekebishe haraka sana, serikali kazi yao sera na kukusanya kodi sio biashara, sasa kazi zote za ujenzi ukiwa unawapa jeshi sijui ulinzi JKT Suma wamekuwa kama group 4 wanafanya kazi ambazo zilitakiwa sector binafsi wafanye. Jeshi wako katika payrol hutengenezi ajira mpya bado unawapa kazi za ujenzi, pesa haiendi katika mzunguko kwa watu inabaki humohumo ndani mfuko wa kulia kwenda wa kushoto haya mazingira hakuna atakuja kuwekeza. Katika hili mimi napinga kabisa serikali ijikite katika kuweka sera, kusimamia na kuwezesha mwisho wa siku ajira nyingi na kodi itaongezeka.
Uko sahihi, umeshauri vitu vingi vya msingi. Ukisoma michango mingi ya wadau wanatoa mawazo ambayo yakichukuliwa positively na kuboreshwa kisha kufanyiwa utekelezaji unaona kabisa tungesogea kule tunataka kufika kama taifa.

Labda tatizo moja la viongozi wetu ni kudhani wale wanao wamwagia sifa hata za kijinga ndio wanawatakia mema.

Kimsingi me napenda mtu anayenisifia kwa mema/mazuri lakini napenda zaidi mtu ambaye ananikosoa nikifanya vibaya, huyo hunipa nafasi ya kujirekebisha na kujijenga vyema, kimsingi huyu hunitakia mema kuliko hata yule anaye nisifia.

Rais angebadili mtazamo na kuyachukua mapungufu yake na kupokea ushauri/ukosoaji kwa mtazamo chanya, nchi hii ikiharibika hakuna atayesalimika labda tu kwa kuwa wengine watakuwa wa mwisho kufikwa na madhara ndio maana hawajali.
 
Back
Top Bottom