Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hakuna sekta ambayo haijaguswa awamu hii.Pole sana Mkuu. Hauko peke yako kwani wako wengi wakiwemo Kampuni za Ulinzi wameporwa malindo na kupewa SUMA JKT. Cha kusikitisha ni kwamba nado wanasakamwa na Serikali hii hii wakati walishawapora Wateja.
Sekta binafsi huzalisha ajira mara dufu kuliko Serikali ifanyavyo.
Sasa sekta binafsi imekufa ndiyo sasa unasikia kilio cha ukosefu wa ajira kila kona