Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Kwaiyo unafurahi ujenzi kutokamilika kwa wakati, kwani hata usipokamilika we unapata faida gani?kwanza inabidi tumpongeze Magufuli kwa uthubutu pamoja na mdororo wa uchumi kwasababu ya corona, serikali ya Magufuli bado wanaendelea na miladi yote,nchi nyingi miladi mikubwa wamesimamisha, mpaka wanafikia kupunguza wafanyakazi.Maguri ni mwanaume wa shoka.
Ndio namshangaa mleta mada inaonekana anafurahia,sasa sijui itamsaidia nini.Kipande cha MORO 95 % stesheni zote zimekamilika.Sehemu ambayo walikuwa wanamalizia ni daraja pale Buguruni na Nkurumah. Pia kipande cha PUGU kuja Town,na ngerengere to Moro kuna vipande vidogo wanamalizia kutandika reli.Kama mambo yatakwenda vizuri mwezi wa 4 wataanza testing.
 
Ndio namshangaa mleta mada inaonekana anafurahia,sasa sijui itamsaidia nini.Kipande cha MORO 95 % stesheni zote zimekamilika.Sehemu ambayo walikuwa wanamalizia ni daraja pale Buguruni na Nkurumah. Pia kipande cha PUGU kuja Town,na ngerengere to Moro kuna vipande vidogo wanamalizia kutandika reli.Kama mambo yatakwenda vizuri mwezi wa 4 wataanza testing.
Nifurahi ili iweje? Mimi ninaongea na kijana mpampanaji ambae yupo Soga ananiambia bado sana maana mnahubiri uongo kuliko uhalisia. 95% ya mradi tungeanza kuona majaribio ya vichwa vya treni.
 
Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Tutamuongezea muda mpaka haikamilishe
 
Eleza muktadha wa dondoo hili. Bainisha tamathali ya usemi iliyotumika katika dondoo hili. Ushauri uliotolewa na msemaji baadaye kama njia ...
 
Uko sahihi sana, Sasa ukipata nafasi kapitie deni la taifa baina ya hao marais wengine na huyu, kisha uje na mrejesho.
Nafikiri kama angekopa alafu akajenga reli ndani ya miaka miwili na ikaanza kuzalisha ilikuwa ni jambo jema. Sasa kama km 202 zinajengwa kwa miaka minne je hizo zilizobaki?
 
Nifurahi ili iweje? Mimi ninaongea na kijana mpampanaji ambae yupo Soga ananiambia bado sana maana mnahubiri uongo kuliko uhalisia. 95% ya mradi tungeanza kuona majaribio ya vichwa vya treni.
Report ya mwezi DEC hawajaweka Yapi ndio nakwambia vimebaki vipande vidogo vidogo ndio wanamalizia nimekuorozeshea. Wanaonyesha njia zima toka Dar to Moro wanarekodi kwa drone.Sasa unataka majaribio wakati hawajamaliza.Tupende vya kwetu hata kama kuna upungufu kidogo.Suala la kuchelewa kumaliza lilitolewa ufafanuzi ni sababu ya mvua nyingi zilizonyesha 2019 mwishoni mpaka 2020 April zilichangia pia
 
Report ya mwezi DEC hawajaweka Yapi ndio nakwambia vimebaki vipande vidogo vidogo ndio wanamalizia nimekuorozeshea. Wanaonyesha njia zima toka Dar to Moro wanarekodi kwa drone.Sasa unataka majaribio wakati hawajamaliza.Tupende vya kwetu hata kama kuna upungufu kidogo.Suala la kuchelewa kumaliza lilitolewa ufafanuzi ni sababu ya mvua nyingi zilizonyesha 2019 mwishoni mpaka 2020 April zilichangia pia
Mvua nyingi ndio ziongeze miaka mbili mbele? Njia nzima Dar to Moro unaweza kurekodi kwa drone?
 
Mvua nyingi ndio ziongeze miaka mbili mbele? Njia nzima Dar to Moro unaweza kurekodi kwa drone?
Unashangaa nini sasa ingia Youtube utakuta report zote zipo njia nzima inarekodiwa kwa drone toka stesheni ya Dar to Moro.Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa ujenzi wa SGR.Report zote zipo hata kipande cha pili Moro to Makutupolo zipo.Weka bando la maana uone.Ndio maana nimekwambia report ya Dar to Moro kwa DEC hawajaweka,ila kipande cha Moro to Makutupola ipo report yake Youtube
 
Unashangaa nini sasa ingia Youtube utakuta report zote zipo njia nzima inarekodiwa kwa drone toka stesheni ya Dar to Moro.Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa ujenzi wa SGR.Report zote zipo hata kipande cha pili Moro to Makutupolo zipo.Weka bando la maana uone.Ndio maana nimekwambia report ya Dar to Moro kwa DEC hawajaweka,ila kipande cha Moro to Makutupola ipo report yake Youtube
Youtube? Huna hata aibu.
 
Mvua nyingi ndio ziongeze miaka mbili mbele? Njia nzima Dar to Moro unaweza kurekodi kwa drone?
Unaonekana ata hufatilii, kwenye page ya youtube ya yapi markenzi wanaweka report za kila mwezi za progress ya miradi hio, wanatumia drone kuonesha njia nzima ya dar to moro. So mwenyewe unaweza kukadiria kama bado mpaka miaka mitano au tusibiri mwezi wa nne mwaka huu waanze testing ya train
 
Youtube? Huna hata aibu.
Aibu ya nini sasa, kwani wote unataka tufike site.Wakati unarahisishiwa kwa technolojia.Weka bando angalia acha maneno maneno.Stesheni ya DAR NA Moro zimeshamalizika.Ingia TRC ReliTV utaona huko kwenye Youtube.
 
Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Serikali hawalipi kwa wakati kama ulikuwa hujui kuwa kuna Ukata mkubwa wafanyakazi wanadai mishahara makandarasi wana madai yao wadhabuni wanadai na Serikali huchelewesha malipo, Tatizo ni Serikali kusuasua kulipa tatizo siyo kampuni hiyo ya Uturuki
 
Unaonekana ata hufatilii, kwenye page ya youtube ya yapi markenzi wanaweka report za kila mwezi za progress ya miradi hio, wanatumia drone kuonesha njia nzima ya dar to moro. So mwenyewe unaweza kukadiria kama bado mpaka miaka mitano au tusibiri mwezi wa nne mwaka huu waanze testing ya train
Hafuatili ana shangaa drone kurekodi njia nzima.Nimwemwambia weka bando la data aone
 
Kulikuwa na umuhimu gani kutoa kipaumbele kwa mradi unaohitaji pesa nyingi na haukamiliki karibuni wakati sekta nyingine muhimu kama kilimo, elimu, afya, maji, umeme, biashara, ajira nk zinazorota?
Serikali walijinadi kujenga kwa pesa za ndani, Tatizo kubwa ni Serikali kuwalipa kwa wakati yapo malalamiko mengi kwenye ucheleweshaji malipo
 
Back
Top Bottom