Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Mradi wa SGR ni mkubwa sana. Hauwezi kukamilika wote ndani ya kipindi cha awamu hii. Kasi ndogo ya Yapi haina uhusiano na kuchelewa kwa lots zilizobaki. Pesa yake ya mwishi ilikuwa kwenye bajeti ya 2018/19.

Pia serikali ni kama ishajifunza kutoka lot 1 ndiyo sababu pengine lot 5 kapewa Mchina. Huenda lots nyingine wakapewa wengine pia. Mradi mzima wa reli ya kati ni takriban kilomita 2500 hivyo haiwezi kukamilika awamu hii.

Bali kwa kipande cha Dar - Mwanza itakuwa ajabu iwapo hakitakamilika by 2025.
Kumbuka Dom to Tabora hakuna mkandarasi, Tabora to Isaka?
 
We bichwa bumunda ndio watudanganye kuwa mradi upo tayari wakati bado?
Wewe mbweha kama una chuki na hiyo kampuni ukataka kuleta kampuni yako upate10% umenoa acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, usifikiri humu watu ni wapumbavu kama wewe kinyamkera, humu watu wapo wakini wanafuatilia kila kitu wanajua matatizo yapo upande gani
 
Hivi Mungu akiamua kufanya mapenzi yake, parapanda ikalia Dodoma, miradi yote itasimama? Hivi nchi hii inamilikiwa na binadamu mmoja tuu? Hivi ni yeye peke yake aliye na akili?
Mimi ikija suala kwa maendeleo naunga mkono nauhakika hii ni project nzuri kwa faida ya Taifa kama sio leo hata kesho, najuwa kutakuwa na changamoto lakini nadhani ni mradi utakuwa na faida kwa nchi ukija kusimamiwa vizuri kibiashara. Ikija kutokea mizigo bandarini inatolewa na kupakiwa kwenda kwenye bandari kavu labda maeneo ya kati ya nchi itapunguza gharama za usafirishaji kwa mikoa mingi na foleni Dar. Abiria pia watanufaika na huu usafiri. Tuunge mkono miradi ya kimkakati.
Hivi zile ndege 10 au zaidi za atcl mpaka sasa zimesha ingiza faida kiasi gani? Au zimesaidia kuongeza watalii kisi gani?
 
Wewe mbweha kama una chuki na hiyo kampuni ukataka kuleta kampuni yako upate10% umenoa acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, usifikiri humu watu ni wapumbavu kama wewe kinyamkera, humu watu wapo wakini wanafuatilia kila kitu wanajua matatizo yapo upande gani
Ahaaa! Tuliza minyooo acha panick,kama ni kampuni nzuri ndio Km 202 zijengwe miaka 4?
 
Kumbuka Dom to Tabora hakuna mkandarasi, Tabora to Isaka?
Wewe mbweha kavute Bangi huna unachokijua zaidi ya chuki fitna za kishamba pasipo kujua kuwa Serikali ndiyo Tatizo kwenye malipo, tumeshakuja kuwa una masilahi yako huko ndiyo maana umeanza fitna za kishetani
 
Mwisho wa siku hiyo SGR na STEIGLER'S wasije wakatujengea kwa viwango duni kama yale maghorofa ya wanachuo wa chuo kikuu.Na hao Waturuki tunawabebesha lawama wasizostahili.Hawako slow kama watu wanavyofikiri.tatizo hawalipwi kwa wakati ndio maana kazi inakwenda kwa kusuasua.
 
Hivi Mungu akiamua kufanya mapenzi yake, parapanda ikalia Dodoma, miradi yote itasimama? Hivi nchi hii inamilikiwa na binadamu mmoja tuu? Hivi ni yeye peke yake aliye na akili?

Hivi zile ndege 10 au zaidi za atcl mpaka sasa zimesha ingiza faida kiasi gani? Au zimesaidia kuongeza watalii kisi gani?
Nadhani tunachanganya mada. ukiniuliza mimi ndege au train muhimu nitakwambia train na sababu nyingi train inabeba mizigo kwa wingi. Mimi siungi mkono kununua ndege kubwa zile ndogo sawa za ndani ya nchi tu maana airport kubwa labda 3 tu. Yes ndege ya airbus haikuwa jambo sahihi kabisa lakini Train mimi naamini ni mradi mzuri. Ni lazima tuwe na miradi ya maendeleo sasa mradi upi una faida hiyo ni topic nyingine kujadili.
 
Ahaaa! Tuliza minyooo acha panick,kama ni kampuni nzuri ndio Km 202 zijengwe miaka 4?
Nilikuwa nakutegea nijue uwezo wako wa kufikiri upoje? Sasa nimegundua uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho kabsa, kipimo cha umbumbumbu juha zuzu kilaza humu JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani ndiyo maana ID yako ni ya kishamba kidwanzi lakini hakuna anayehangaika nayo wenye Akili timamu hukomaa na Mada, Hoja pekee, kama ulidhamilia kusaka uteuzi kupitia upumbavu wako huo sahau hakuna uteuzi mbele ya hoja zako za kijinga hivyo, humu watu wapo makini ukileta ushamba lazima upewe Ukweli wako.
 
Serikali ndiyo Tatizo Tatizo siyo kampuni ya ujenzi naomba mleta mada Tambua hilo maana inaelekea kichwa chako kimejaa moshi, nimekufafanulia kuwa Tatizo ni usumbufu wa malipo kuna ucheleweshaji mkubwa wa malipo ndiyo hupelekea ujenzi kusua sua, Wachina watajenga kwa kasi kwa sababu hawajengi kwa pesa za ndani kama waturuki.
 
Mradi una phase tatu, mleta mada anazungumzia phase1 Dar to Moro na ndiyo ameambiwa na msiri wake haitakamilika kwa kipindi cha awamu hii, wewe unazungumzia phase gani?

Moro-Makutopora, na kwa taarifa yako hiyo hela iliyokopwa ndio hiyo hiyo imeingizwa kipande cha Dar-Moro. Elewa hiyo porojo ya kuwa ni fedha za ndani sio kama unavyooambiwa.
 
Kampuni ingekuwa inajenga kwa pesa zao mkopo mda huu wangekuwa mbali sana lakini kwa kuwa wanajenga kwa pesa za ndani zenye usumbufu mkubwa kulipwa ndiyo maana ujenzi upo slow slow kama konokono.
 
Back
Top Bottom