Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Pale tu Kamata daraja lilishaporomoka
 
Wewe mleta uzi ni kiazi kweli kweli. Unasema ni Kazi ya kujaza udongo na kutandika leli. Yaani informer wako ni kibarua wa mjini, ndio maana kakudanganya. Kuna sehemu nilipiga nikakuta wanapasua molina kweli kweli.

Tembea unionee dio unaambia na wabeba mchanga wa dar wewe unakurupuka kuleta uzi
Kwani unadhani kukata na kujaza udongo wanatumia majembe ya mkono?
 
Kulikuwa na umuhimu gani kutoa kipaumbele kwa mradi unaohitaji pesa nyingi na haukamiliki karibuni wakati sekta nyingine muhimu kama kilimo, elimu, afya, maji, umeme, biashara, ajira nk zinazorota?
Pana point hapa. Unadidimiza sekta nyingine zaidi ya kumi kwa miaka zaidi ya kumi kwa ajili ya mradi mmoja
 
Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Tatizo waarabu sio watu wa kazi ni watu wa bata soft people yaan kuna kampuni nyingi tu zilikuwa sub contractor kama mortal engine hawa wareno walikuja na vifaa balaa then. Walikuwa wanalipa poa lakini walishindwana malipo na yepi
 
Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Tuanzie kwenye civil works ulizosema. Ni wapi amekwambia civil works zimebaki yaani hazijakamilika?
Kwa taarifa yako civil works (earthworks - cut & fill, structures) kutoka Gongolamboto (km 14+800) hadi Morogoro km 201+819 zimekamilika kwa 100%.
 
Mtikisiko wa uchumi tokana na covid19 utayumbisha vingi. Siyo kwetu tu, hata kwao.
Kwani hapa kuna madhara yoyote ya kiuchumi yaliyosababishwa na COVID 19!!wakati mapato toka covid imeanza yenyewe yanapaa tu??!!kulingana na TRA?!!Tuna mapesaa mengi mnooo!!huku wastafu wanahangaika pesa zao zote zimekombwaa!!!
 
Mtanzania anaweza kuchomelea IC ya umeme kwenye board ya PC mbovu na PC ikapona unahisi atashindwa kupanga mataruma ya saruji?

hahaha daaah ingekua ni ivi shule tupa kule nataka tenda za kujenga flyover na reli, kumbe professionalism ni easy ivi
 
hakuna cha slow. pesa hakuna. na wafadhili mnawadhihaki na kuwakashifu kwa kuwaita mabeberu. mko against na dunia kuhusu korona afu mnataka kufanikisha miradi ya kiwango cha dunia? hata akiichezea Katiba kwa kuondoa ukomo hilo limradi halifanikiwi.

mnawataka wachina mtayaweza masharti yao au mnawachukulia poa?
 
Watu kama huyu msemaji mkuu wa serikali wanaoongea bila kutoa data na ushahidi halafu haruhusu maswali magumu kama ya wanaJF, ndiyo wanaoeneza propaganda sisizo na mashiko kuwa mradi wa vipande vya reli vya SGR ikiwemo wa Dar Moro utakamilika kwa "wakati"

January 31 , 2021
MSEMAJI MKUU WA SERIKALI : KIPANDE SGR RELI DAR - MORO CHANOGA

Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Hassan Abbasi amesema ujenzi wa reli ya kisasa inayojulikana kama SGR kipande cha Dar- Moro kimekamilika kwa asilimia 95 na ndani ya mwaka huu wananchi wataanza kutumia reli hiyo itakayokuwa ikitumia dak90 kutoka Dar kwenda Moro.

 
Aliyekwambia SGR inafika Tabora ndani ya awamu ya 5 ya miaka 10 nani?
SGR ndani ya awamu ya 5 inaishia Makutupora tu.
Ndio maana tunataka tumwongezee muda ili SGR ifike huko Tabora mpaka Isaka.
Umeelewa?
Kwani anajenga yeye?
 
Back
Top Bottom