Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Hayo ni mazingira waliyotengenezewa na yaliyoratibiwa vyema kwa manufaa ya tanaka fulani.Hii nchi imejaa wasomi waoga hawawezi kumwambia ukweli mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mazingira waliyotengenezewa na yaliyoratibiwa vyema kwa manufaa ya tanaka fulani.Hii nchi imejaa wasomi waoga hawawezi kumwambia ukweli mkuu.
Hiyo kitu haipo na haija tuathiri,ipo kwa jirani zetu.Kwaiyo unafurahi ujenzi kutokamilika kwa wakati, kwani hata usipokamilika we unapata faida gani?kwanza inabidi tumpongeze Magufuli kwa uthubutu pamoja na mdororo wa uchumi kwasababu ya corona, serikali ya Magufuli bado wanaendelea na miladi yote,nchi nyingi miladi mikubwa wamesimamisha, mpaka wanafikia kupunguza wafanyakazi.Maguri ni mwanaume wa shoka.
Nadhani Kalemi, kwenye mwambao ya Ziwa Tanganyika, halafu inabebwa na meli hadi upande wa pili wa DRC unaoitwa Kalemie port. Baadaye sgr ya umeme itajengwa kutoka Tabora hadi kule Kalemi. Lengo ni kuiunganisha nchi yetu na utajiri mkubwa wa maliasili wa nchi ya DRC. Pale Kalemi upande wa Tanzania kutakuwa na soko kubwa la kimataifa la madini mbali mbali.Hiyo reli ya Mpanda Hadi DRC itapitia wapi mkuu ?
Atakuwa hataki upekenyue mapungufu hata haliyo wazi kwa wasio wataalamu,angehoji zaidi huenda ungemfahamisha asichoelewa.Kilichokupa utata kuelewa ni nini? Maana sio mtalaamu sana wa civil works. Lakini ana uzoefu wa kazi za za kikandarasi. Hapo umeshindwa kuelewa nini? gt au...
Aache kukushambulia akitaka aje na utafiti wake hapa,vinginevyo anafanya utetezi kwa wengine usiokuwa na tija kwa taifa.Kwa jibu hili ulilopost ni dhahiri kuwe wewe uelewa wako ni duni. Sgr au narrow gauge zote zinatengenezwa kwa kujenga tuta kisha kutandaza reli. Kaa kimya maana unajiabisha.
Sio kwa kukurupuka kibongobongo hata Bila mikakati inayoeleweka.Hata usipokamilika ndani ya muda wake sisi hatuna shida watakuja kufaidi wajukuu zetu kwani shida iko wapi?Marekani anapanga mipango ya miaka 50 namna nchi yao itakuwaje sembuse sisi?
Tatizo ukomo....Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.
Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.
Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.
Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.
Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.
Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Bwasheeee johnthebaptist Bado analewaSubiri wanakuja
Mbege zinalewesha?Bwasheeee johnthebaptist Bado analewa
Nadhani Kalemi, kwenye mwambao ya Ziwa Tanganyika, halafu inabebwa na meli hadi upande wa pili wa DRC unaoitwa Kalemie port. Baadaye sgr ya umeme itajengwa kutoka Tabora hadi kule Kalemi. Lengo ni kuiunganisha nchi yetu na utajiri mkubwa wa maliasili wa nchi ya DRC. Pale Kalemi upande wa Tanzania kutakuwa na soko kubwa la kimataifa la madini mbali mbali.
Daniel Kahneman is an internationally renowned psychologist whose work spans cognitive psychology, behavioral economics, and the science of well-being. In recognition of his groundbreaking work on human judgment and decision-making, Kahneman received the 2002 Nobel Prize.
Kupenda vyetu,siishida shida nikutoambiwa hatauhalisia wachangamoto tulizonazo,kwa uhalisia,hata tusingekuwa tunazozana humu.Report ya mwezi DEC hawajaweka Yapi ndio nakwambia vimebaki vipande vidogo vidogo ndio wanamalizia nimekuorozeshea. Wanaonyesha njia zima toka Dar to Moro wanarekodi kwa drone.Sasa unataka majaribio wakati hawajamaliza.Tupende vya kwetu hata kama kuna upungufu kidogo.Suala la kuchelewa kumaliza lilitolewa ufafanuzi ni sababu ya mvua nyingi zilizonyesha 2019 mwishoni mpaka 2020 April zilichangia pia
Huwa anachanganya na pombe za kwenye vichupa Vya plastikiMbege zinalewesha?
Nimefika Istanbul, SGR yao walijengewa na Wachina na fedha walikopa Chinese Exim BankUchambuzi wako hauna facts,na bahati umeeleza kuwa wewe sio mtaalamu,sasa kumbuka huo ni ujwnzi wa reli ya mwendo kasi,una yjenzi tofauti na reli ya kawaida,pia hiyo kampuni ni kampuni kubwa sana na imwjenga reli kuliko hiyo huki kwao uturuki,nenda kaone waluvyojenga instambul
HII SASA INAASHIRIA KUWA LAZIMA AONGEZWE MIAKA ILI MIRADI YAKE IKAMILIKE.MPENDE MSIPENDE[emoji41]Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.
Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.
Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.
Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.
Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.
Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Siyo lazima amalizie yeye. Atakuja mwingine atamalizia kama jinsi yeye alivyomalizia Terminal III na Daraja la Nyerere la KigamboniAliyekwambia SGR inafika Tabora ndani ya awamu ya 5 ya miaka 10 nani?
SGR ndani ya awamu ya 5 inaishia Makutupora tu.
Ndio maana tunataka tumwongezee muda ili SGR ifike huko Tabora mpaka Isaka.
Umeelewa?
Mbona tumekuwa tunaenda vizurj mnataka kuharibu hapa Bandugu,imekuwaje mnagombania fito,Tz ni moja nasi ni wamoja.Wewe mbweha kavute Bangi huna unachokijua zaidi ya chuki fitna za kishamba pasipo kujua kuwa Serikali ndiyo Tatizo kwenye malipo, tumeshakuja kuwa una masilahi yako huko ndiyo maana umeanza fitna za kishetani
Kwa hiyo akifa kabla ya mradi ina maana na SGR nayo itakufa?Ndio maana tumeona tumuongezee muda ili akamilishe mradi wake
Huu ndiyo ukweli halisi kabsahakuna cha slow. pesa hakuna. na wafadhili mnawadhihaki na kuwakashifu kwa kuwaita mabeberu. mko against na dunia kuhusu korona afu mnataka kufanikisha miradi ya kiwango cha dunia? hata akiichezea Katiba kwa kuondoa ukomo hilo limradi halifanikiwi.
mnawataka wachina mtayaweza masharti yao au mnawachukulia poa?