Sisi hatunaga mambo mengi, ni machache tu, hatutoi pesa za matumizi na unaiona kabisa ninayo ila sikupi hata kidogo na ukiniomba unaona na kwambia kabisa sikupi ili uniache. Pili tunaringa kutoa mchezo yaani unaweza ukataka nikakujibu sijisikii poa kufanya leo.Aisee na mwanaume asiyekupenda anakuaje mkuu maana....[emoji848]
Daaa basi nilie nae kmmk zake nishamjua.Unapokuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi mwanamke ambaye hakupendi kwa dhati basi utamgundua kwa dalili zifuatazo;
- Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
- Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
- Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
- Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu.
- Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna!
- Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkimya na mshiwishi mkubwa wa kuachana kutoka kwenye matembezi yenu ya jioni. “Aaah, mi nimechoka narudi nyumbani”
- Anajaribu kukuunganisha na wanawake wengine na haoni vibaya anaposikia unamfukuzia mwingine badala yake anakutia moyo wa kuendelea na usaliti wako. Hana wivu kabisa.
- Hajuti anapokukosea, mwepesi wa kujitenga, kutokuzungumza nawe na mwingi wa kukusukumia makosa hata kama yeye ndiye aliyekukosea.
- Msambazaji wa habari za udhaifu wako na mtu asiyekusifia mbele za wenzake. Si balozi mwema kwa familia yake, haishi kukuponda mbele ya wazazi na ndugu zake.
- Mwepesi wa kupokea na si wa kutoa mmiliki wa mali zako na mkumbatiaji wa mali zake pia. Msiri wa mipango yake na mtu anayependa kujua zaidi ya kwako kuliko wewe kujua yake.
Akiwa na zote au mojawapoUnapokuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi mwanamke ambaye hakupendi kwa dhati basi utamgundua kwa dalili zifuatazo;
- Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
- Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
- Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
- Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu.
- Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna!
- Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkimya na mshiwishi mkubwa wa kuachana kutoka kwenye matembezi yenu ya jioni. “Aaah, mi nimechoka narudi nyumbani”
- Anajaribu kukuunganisha na wanawake wengine na haoni vibaya anaposikia unamfukuzia mwingine badala yake anakutia moyo wa kuendelea na usaliti wako. Hana wivu kabisa.
- Hajuti anapokukosea, mwepesi wa kujitenga, kutokuzungumza nawe na mwingi wa kukusukumia makosa hata kama yeye ndiye aliyekukosea.
- Msambazaji wa habari za udhaifu wako na mtu asiyekusifia mbele za wenzake. Si balozi mwema kwa familia yake, haishi kukuponda mbele ya wazazi na ndugu zake.
- Mwepesi wa kupokea na si wa kutoa mmiliki wa mali zako na mkumbatiaji wa mali zake pia. Msiri wa mipango yake na mtu anayependa kujua zaidi ya kwako kuliko wewe kujua yake.
[emoji3][emoji3][emoji3] sawausinisingizie ukiona nimeongea nini sijui hebu nikamate hapo hapo
mbona tukiwapenda humu jukwaani hamtakiUpo sahihi kabisaaaaa, waelimishe wenzio
kwanini source au reference ya mliko itoa hii nyingine hamzichukui mara zote mnai quote hii tu kwaniniUkizingatia kuwa jukumu la kupenda ni la mwanaume ila mwanamke anatakiwa akutii tu!
leo unaiamini bibliaNa kazi ya mke ni kutii. Biblia imesema ..enyi waume wapendeni wake zenu.
Hakuna mapenzi humu, tangu lini mtu akapenda avatar?mbona tukiwapenda humu jukwaani hamtaki
[emoji3][emoji3][emoji3] hapana. Nawakumbusha nyie mnaoiamini.leo unaiamini biblia
Kimeumana tayari..😂Ukiweka za mwanaume naomba unitag!
Duu hatariAtakupa hela ya kutoa mimba na kumeza P2 kila mnapokutana
Hakupi hela/msaada za kutimiza malengo yako, wala kukuhudumia kwa chochote
Hakutambulisha popote
akitoka na wewe basi ni bar, club ama lodge
Atakugongea kwenye gari vichakani na maghetto ya wana
Atakuomba ndogo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji28]AseeeAtakupa hela ya kutoa mimba na kumeza P2 kila mnapokutana
Hakupi hela/msaada za kutimiza malengo yako, wala kukuhudumia kwa chochote
Hakutambulisha popote
akitoka na wewe basi ni bar, club ama lodge
Atakugongea kwenye gari vichakani na maghetto ya wana
Atakuomba ndogo
DuuuuhSisi hatunaga mambo mengi, ni machache tu, hatutoi pesa za matumizi na unaiona kabisa ninayo ila sikupi hata kidogo na ukiniomba unaona na kwambia kabisa sikupi ili uniache. Pili tunaringa kutoa mchezo yaani unaweza ukataka nikakujibu sijisikii poa kufanya leo.
Hapana siyo Mimi kikojozi,huyo bibie financial services ndy kikojozi [emoji16][emoji16]..Ila usimwambie mwenyewe km nimekuambiaKwamba we ni kikojozi? Ama?
Sio kweli...nimeshaelewa baada ya kuendelea kusoma comment zenuHapana siyo Mimi kikojozi,huyo bibie financial services ndy kikojozi [emoji16][emoji16]..Ila usimwambie mwenyewe km nimekuambia
Mwanaume kuteswa na demu wanajitakia, Mademu wako kibao, wazuri na wanaojielewa, ukishaona dalili moja, unampotezea kiaina.Unapokuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi mwanamke ambaye hakupendi kwa dhati basi utamgundua kwa dalili zifuatazo;
- Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
- Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
- Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
- Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu.
- Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna!
- Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkimya na mshiwishi mkubwa wa kuachana kutoka kwenye matembezi yenu ya jioni. “Aaah, mi nimechoka narudi nyumbani”
- Anajaribu kukuunganisha na wanawake wengine na haoni vibaya anaposikia unamfukuzia mwingine badala yake anakutia moyo wa kuendelea na usaliti wako. Hana wivu kabisa.
- Hajuti anapokukosea, mwepesi wa kujitenga, kutokuzungumza nawe na mwingi wa kukusukumia makosa hata kama yeye ndiye aliyekukosea.
- Msambazaji wa habari za udhaifu wako na mtu asiyekusifia mbele za wenzake. Si balozi mwema kwa familia yake, haishi kukuponda mbele ya wazazi na ndugu zake.
- Mwepesi wa kupokea na si wa kutoa mmiliki wa mali zako na mkumbatiaji wa mali zake pia. Msiri wa mipango yake na mtu anayependa kujua zaidi ya kwako kuliko wewe kujua yake.
Hii kiboko zaidi ya Eve wa DMxNakutaka, una mtu?
Ni uzembe sana kwa kidume kuteswa na manzi hasa ukiwa rasilimali zote unazo! 😂😂😂Mwanaume kuteswa na demu wanajitakia, Mademu wako kibao, wazuri na wanaojielewa, ukishaona dalili moja, unampotezea kiaina.
Hapo kwenye gari ondoa mzee😄😄😄 maana ni amusement park ya mimi na shemeji yakoAtakupa hela ya kutoa mimba na kumeza P2 kila mnapokutana
Hakupi hela/msaada za kutimiza malengo yako, wala kukuhudumia kwa chochote
Hakutambulisha popote
akitoka na wewe basi ni bar, club ama lodge
Atakugongea kwenye gari vichakani na maghetto ya wana
Atakuomba ndogo