Dalili za mwanamke asiyekupenda kwa dhati

kwanini source au reference ya mliko itoa hii nyingine hamzichukui mara zote mnai quote hii tu kwanini
Wakolosai 3:18-19

Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
 
Duh mkuu huu ni mkuki moyoni,hizi sifa zote mbaya anazo yeye😒😒
 
Hizo sifa zote alikuaga nazi Manzi moja niliyekuaga nae. Niliachanaga nae.
 
Nafikiri la muhimu hakikisha sikio lake la tatu linasikia vizuri maana lisipo sikia vizuri hilo broo yaani mchana kweupe anakumwaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…