Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nakutaka, una mtu?inategemea ntu na ntu
kwani we unaulizia ntu gani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakutaka, una mtu?inategemea ntu na ntu
kwani we unaulizia ntu gani ?
Mwanaume kazi yake si kupenda bali kujali na kutamani basiUpo sahihi kabisaaaaa, waelimishe wenzio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama anatoa papuchi mengine sio kipaombele sana maana kipao mbele changu uwe unatoa papuchi mara 4 kwa wiki kwa hivyo kama unanipenda ama hunipendi utajua mwenyewe
Kama anatoa papuchi mengine sio kipaombele sana maana kipao mbele changu uwe unatoa papuchi mara 4 kwa wiki kwa hivyo kama unanipenda ama hunipendi utajua mwenyewe
Akikutag naomba unitag shost!Ukiweka za mwanaume naomba unitag!
Ukizingatia kuwa jukumu la kupenda ni la mwanaume ila mwanamke anatakiwa akutii tu!nikimpenda mimi tu inatosha
Na kazi ya mke ni kutii. Biblia imesema ..enyi waume wapendeni wake zenu.Mwanaume kazi yake si kupenda bali kujali na kutamani basi
aahh kumbe ushajuaUkizingatia kuwa jukumu la kupenda ni la mwanaume ila mwanamke anatakiwa akutii tu!
sawa sawaNa kazi ya mke ni kutii. Biblia imesema ..enyi waume wapendeni wake zenu.
Had mwezi wa 8Ukiweka za mwanaume naomba unitag!
mimi kila siku naongea vya maana wewe tu hunielewiWewe sasa ndo uneongea la maana. Kupenda ni jukumu la mwanaume
Atakupa hela ya kutoa mimba na kumeza P2 kila mnapokutanaAisee na mwanaume asiyekupenda anakuaje mkuu maana....[emoji848]
Unabadilisha neno mwanamke unaweka mwanaume,maelezo ni hayohayo!!Aisee na mwanaume asiyekupenda anakuaje mkuu maana....[emoji848]