secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Mahusiano Yana mengiMie na mahusiano nakumbuka demu mmoja tuu nilimpenda sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahusiano Yana mengiMie na mahusiano nakumbuka demu mmoja tuu nilimpenda sana
Acha tuu wengine unadhani huyu naweza tulia naye mweee ukishakaa nae miezi miwili unaonanhapa hamna mkeMahusiano Yana mengi
Hahaha 🤣 kwa kweli mola utuongoze.Acha tuu wengine unadhani huyu naweza tulia naye mweee ukishakaa nae miezi miwili unaonanhapa hamna mke
Usirudie kugawa pipi hovyo.... kuna siku utajutraaaa.... shauri yakoKuna mmoja nilimpa pipi alambe kidogo baada ya goli la Kwanza, yeye badala ya kuilamba kistaarabu akaing'ata huku akijua kabisa sina pipi nyingine zaidi ya hiyo niliyompa, kimoyo Moyo nikajisemea "amepanga kunimaliza".
Cc realMamy majoto Al-mukheef.
Nimejifunza tayari, sitagawa pipi tena mkuu.Usirudie kugawa pipi hovyo.... kuna siku utajutraaaa.... shauri yako
Ilikuwaje, je alibadilika tabia, alipunguza mawasiliano, uligundua uaminifu hakuna au jambo gani lilitokea ukajua wewe na yeye hamna future na mtaachana.
View attachment 3243126
View attachment 3243130
"Nalivua pendo by Mwasiti" ikawaburudishe
View: https://youtu.be/izcxbUPTrUQ?si=hIdmOxxm9T1OTO0B
HeheheAlinyoa nywele za sehemu za Siri kwa mtindo wa kiduku na kuzipaka brichi, nakatambua kuwa kuna mtu amempa agizo lile.
Nilimtosa.
Duh mwaka niliozaliwa mimi!!!Hapana, last time I was single ilikua 2003 🙈
Utavuta vingapi?!Ukituma msg hajibu mpaka umtafute niliteseka miaka ile 2016 lkn siku hizi nimekua konki master mtoto wa mtu akizingua navuta chuma kipya
Mallerina alishaenda kutafuta😂Vijana fanyeni kazi
Mnawatoaga wapi wanaume hao wa ajabu ajabu nyie wanawake? Ebu na nyie jipeni thamani kwanza kha!Unatuma meseji asubuhi inajibiwa usiku saa mbili pamoja na kuagwa usiku mwema,ukipiga simu utasikia Subiri ntakupigia ndo hadi kesho hiyo tena nimtafute Mimi,,Ila akitaka mambo yake natafutwa vizuri kuanzia asubuh na maneno matam nikimpa mzigo nakua tena ghosted!!aisee niliteseka sana mahusiano ya upande mmoja,nikachomoka zangu fasta kabla sijajinyonga 😄
Daaah, niamkie mama yako kumbe naweza kukuzaa kabisa!Duh mwaka niliozaliwa mimi!!!
Una miaka mingapiDaaah, niamkie mama yako kumbe naweza kukuzaa kabisa!