Tabia ya mtu ngozi we uoni anaendelea kuahidi ndege azungumzii maendeleo ya watu sio kipaumbele chakeCCM itatangazwa mshindi lakini hawatashinda Kura. Mfumo unawabeba
Pamoja na hayo mh Rais natumai atakuwa amejifunza mambo mengi sana muhimu kuhusu Tanzania na Watanzania.
Natumai miaka yake mi4 ya mwisho atayafanyia kazi bila hivyo atamweka mahali pagumu zaidi atakayegombea 2025.
Basi litakuwa ni sikio la kufa.Tabia ya mtu ngozi we uoni anaendelea kuahidi ndege azungumzii maendeleo ya watu sio kipaumbele chake
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM![emoji1542][emoji1542][emoji1542] Maono yenye uhalisia mwingiWahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM![emoji1542][emoji1542][emoji1542] Maono yenye uhalisia mwingi
Lowasa aliwaambia lakini hawakuelewaDah...suala la ajira ni kombora baya sana la kuipiga ccm. Hii hatari sana. Hela za hayo mabombadiya angekopesha vijana wajiajiri...
na safari hii hadi vyombo vya dola huu mzigo wakijaribu kuubeba wataanguka nao wananchi tumeamuaCCM inabebwa na vyombo vya dola, ccm bila kubebwa kwisha
Vipi anga bado limekataa au?Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Vipi uko maeneo gani nije nikusalimie mkuu?? Au umeshakufa na stress?na safari hii hadi vyombo vya dola huu mzigo wakijaribu kuubeba wataanguka nao wananchi tumeamua
Vipi habari za UK? Au bado uko Namtumbo?Wapiga kura hata huku Namtumbo wapo na bado wana hasira na soko la korosho.
Endelea kujipa moyo ili usije kufa na stress.Mmeona CCM hakushinda na hilo hamuwezi kulifuta, ushindi weni mnaojilabu nao mwisho wake ni ndani ya nyumba zenu ,humo humo ,ila uraiani subuuutu .Mtaelewa kama embe ni tunda,wananchi hawana haraka kabisa wamepowa tu,wanawaangalia mnavyohangaika na ushindi bandia,alieshinda hahangaiki namna mnayofanya.mara vikao,mara waboda boda mara wamachinga ,mara wauza ntlie,yote ya nini na nyinyi mmeshinda ?
Ushindi ni humohumo ndani ya nyumba yako ukitoka ujijue hukushinda na unatambuliwa kama looser.