Labda kama wewe ni mwanaume na ulipopewa hii ID na password hapo lumumba hukupewa descriptions z mtumiaji wa kwanza alikua akijitambulishaje hapa!Wewe unaniita mimi dada unanifahamu?
Sasa huoni kama wewe ndio mpumbavu?
Hatukubali ajitoe! Wao ndo waliyataka kwa nini walimpiga ma risasi yote hayo.Jiwe na kundi lake wana hali ngumu Sana. Jiwe anaweza akajitoa kwenye kinyang'anyiro.
Ndio Ubaya wa siasa za kutishia watu.watu kimya unashanga ghafla kura hazitoshi unagomea kuachia madaraka,maji yaliyo tulia ya kinaHaya ndio matokeo ya kufanya research kupitia coment za hapa jf na kwenye magroup ya chadema!
Tz ni kubwa jamani hawa walioko huku mitandaoni ni tone tu!
Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
Kwa tume ipi?Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Hahahahahhahahahhahahahahhahuhuhuhuhuhuuhuhuhihihihihihihiihihihihihiihihihih!!!!!Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Labda kama wewe ni mwanaume na ulipopewa hii ID na password hapo lumumba hukupewa descriptions z mtumiaji wa kwanza alikua akijitambulishaje hapa!
Hili ndo tatizo la hapo Lumumba unapewa tu password bila kujua aliyewahi itumia hyo ID alikuwaje.
Crimea niliyezoea kumsoma ni mwanamke tena wa daraja ya Chini aliyejaa wivu, husda, chuki na hila ya hali ya juu. Cheki hata avatar inatambulisha Crimea ni mwanamke wa namna gani.
Sorry najua umechukua zamu mpya na mwajiri hajakupa wajihi wa Crimea.
CCM iko ICU imewekewa ventilator na vyombo vya dolaDada unaonekana umepanic sana!
Namba zimeikataa CCM! Kama huamini suburi utajionea.
Hapo leo CCM wapo busy kuangalia ilani ya Chadema ili wadandie ideas. Kama ile idea ya elimu bure 2015 na wakafanya mpaka Secondary.Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Hivi wewe Mzee Yusuph umeanza lini kuleta taarabu zako humu?Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
......ni BOMU LA ATOMIKIDah...suala la ajira ni kombora baya sana la kuipiga ccm. Hii hatari sana. Hela za hayo mabombadiya angekopesha vijana wajiajiri...
Mkuu, hata mfanya mazingaombwe huwa anaishiwa tricks ... na hapo ndipo panakuwa mwisho wa maonyesho.
Ubeti vemaWahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Hata JK ambaye walikuwa wamtegemee, kauli za kule Masasi zinadhibitisha kuwa amewachoka na particularly Jiwe.
JK ni mtu mzima bado hajasahau ile kejeli kuwa wastaafu wengine wanawashwa.
Pia mteule wa Chadema ameanza kutambuliwa na wazee wa CCMView attachment 1526877
Wakilazimisha ushindi mwaka huu tunaingia barabarani wote. Kama vipi watupige risasi wote jumuiya ya kimataifa iamue kama ilivyoamua Ivory Coast.Mkuu, hata mfanya mazingaombwe huwa anaishiwa tricks ... na hapo ndipo panakuwa mwisho wa maonyesho.
Kwa kweli CCM is running out of tricks. New tricks are required for them to survive in this game. This time around naamini watashinda kwa ubabe ... lakini by 2025 haitawezekana. I can imagine wagombea wa CCM 2025 ..... Mwigulu, Kigwa, January, Makonda, Tulia, Polepole, Bashiru, Kabudi .... Tuombee Corona isituchafulie hewa!!