Huku kwetu nderemo na vifijo vilitamalaki jana. Japo hakuna aliyeona habari za Lissu kwenye TV lakini watu walirushiana clips kwenye simu.
Bia zilikwisha grocery ilitulazimu kulala saa saba usiku.
Labda anga la wajinga..Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Vijijini ndio wamekamia kumgoa pombe katika Ziara yangu huko mikoa yakanda ya ziwa nimeshtushwa kaburi la CCM limo waziHaya ndio matokeo ya kufanya research kupitia coment za hapa jf na kwenye magroup ya chadema!
Tz ni kubwa jamani hawa walioko huku mitandaoni ni tone tu!
Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
I love you SkyZingechapishwa fomu mbili labda ile ya pili ingeokoa chama.
I love you tooI love you Sky
teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!!Huku kwetu nderemo na vifijo vilitamalaki jana. Japo hakuna aliyeona habari za Lissu kwenye TV lakini watu walirushiana clips kwenye simu.
Bia zilikwisha grocery ilitulazimu kulala saa saba usiku.
Hizi nyuzi zenu bana kabla ya uchaguzi [emoji41]....yaani unaiona ikulu hii hapa ...matokeo yakianza kutangazwa sasa [emoji848] ndio unajua kumbe ikulu si magogoni tena ni chamwino [emoji57]Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
uchi wa ubongo ni mbaya kuliko wa binaadam.Bado mtoto ndo maana huwezi elewa chochote hapa
Sasa hapa ut wafanya Ccm wampitishe Sharif Majini. Maana hiki chama kwa wataalam wa giza wako daraja la kwanzaWahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Tukutane oktobaVijijini ndio wamekamia kumgoa pombe katika Ziara yangu huko mikoa yakanda ya ziwa nimeshtushwa kaburi la CCM limo wazi
Mkuu wangu vipi ulishaunga juhudi? Vipi wajumbe huko wamekufanyia ihsani?Hizi nyuzi zenu bana kabla ya uchaguzi [emoji41]....yaani unaiona ikulu hii hapa ...matokeo yakianza kutangazwa sasa [emoji848] ndio unajua kumbe ikulu si magogoni tena ni chamwino [emoji57]