Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Ndoto za mchana
 
No. You are wrong. They have every instrument to forcefully remain in power. The entire electoral commission is comprised of CCM zealots. The security system including the police force, and the judiciary are all out to protect them. Refer Dr. Bashilu's statement.
 
Yahya Jammeh licha ya kujaza ndugu zake kwenye tume bado alichinjiwa baharini.
 
Avatar yako tu inazungumza yote usingepoteza muda wako kuandika huu utopolo

avatar haina shida maana mm ni fun wa magufuli ndio ila mpaka sasa kwenye kutembea tembea kwangu sjaona mtu yoyote anaeikubali cdm, ata ukipitia comments youtube yaaani hakuna mtu ana imani na cdm ni uku tu mmejazana
 
Zaidi naona CCM inaelekea kuungana, kurudisha Wahenga (Strategists), Lakini yote yatategemea ZANUPF kama itaangushwa au La.
 
Mbele ya Lissu hawakatizi hata mtaa, watabanwa hatari
 
Halafu maccm yajifanye kufanya ule mchezo wa Jecha kitanuka walai mwaka huu
Aaah wewe, CCM inashinda kwa aslimia 85 kwenda juu. Mimi nazunguka sana kuhojiana na watu hasa bodaboda, mamantilie, washona viatu, mafundi cherehani n.k. Magufuli ametubeba Sana kwa Utekelezaji mzuri wa ilani ya chama.

Nyie andikeni tuubhumu usiku mnalala. Sisi wenzenu tunaandika na tunai gia Mtaani kumwaga sera. Tukikutana na mambo yasiyoeleweka tunatoa ufafanuzi wananchi wanaelewa. Nyie kaeni mseme tuu mtaibiwa kura
 
Piga chini chama cha mboga mboga ,tushachoka nacho sera zile zile umaskni uko pale pale.
Hawana jipya,kwa ujumla washakwama.
 
halafu baadae mje mseme nchi toka uhuru haina ndege zake zenyewe. Kijana unaamka unaenda kukaa kijiweni au kucheza pool halafu unataka ukopeshwe na Serikali. mkopo wa chuo hujalipa unataka ukopeshwe mwingine
Wanaokubali chadema ni wale ambao wanakaa vijiweni na wasiopenda maendeleo chanya .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…