Kuvaa jezi ya timu ya nje na kwenda kuishangilia hiyo timu, kwa lengo tu la kuikomoa timu ya ndani; kwangu mimi naona ni uwendawazimu/uzwazwa.
Ifikie wakati Watanzania tujitambue ili hata hao wageni nao watuheshimu, badala ya kuendelea kutudharau na kutuona hatuna tofauti na nyumbu.