Damas Ndumbaro: Marufuku kuvaa jezi ya Mamelodi au Al Ahly kwa Mkapa kwenye michezo ya Simba na Yanga
Hivi nani alivujisha ile barua ya TFF na mbona wahusika wame mute kuhusu suala hili kama vile barua inaongea na mashabiki wa Tanzania moja kwa moja wakati ni mawasiliano kati ya TFF na CAF?
 
Nitaingia kifua wazi nyny wenyewe mtajua nashangilia team gan
 
Kuvaa jezi ya timu ya nje na kwenda kuishangilia hiyo timu, kwa lengo tu la kuikomoa timu ya ndani; kwangu mimi naona ni uwendawazimu/uzwazwa.

Ifikie wakati Watanzania tujitambue ili hata hao wageni nao watuheshimu, badala ya kuendelea kutudharau na kutuona hatuna tofauti na nyumbu.
kwaiyo kwako mkuu messi na kibu kibu anajua? hakuna mtu anashabikia kitu kibaya mzee kama kweli yanga inacheza vizuri kuliko mamelod nani atashabikia mamelodi ? au al ahly ? wawekeze kwenye mpira huwezi nunua wachezaji wa bure mwenzio anachukua vifaa eti ushabikie vya bure uache kushabikia soka la ukweli hiyo haipo ndugu. kuna watanzania hawafatilii hata ligi ya home ila waulize kubus arsenal man u man city barca madrid watakupa story za tim hizo kanakwamba wanaishi huko kumbe wako kariakoo ilipo simba na yanga
 
Wasomi wengine bhan, wanaacha kutumia Akili kabisa wanaanza kutumia vingine kufikiria
 
Back
Top Bottom