Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

2015 waasi walishika mpaka baadhi mitaa ya Dumasikas lakini bado wakashindwa.
Jeshi la Syria lilikuwa limelilax kwa sababu waliamini vita inaelekea kuisha kwa sababu ya makubaliano ya Astana Kazakhstan yaliyo sainiwa na Urusi Uturuki,na Iran hivyo hili shambulizi hawakulitegea kabisa.

Sasa Uturuki amewazunguka Urusi na Iran na kuwaamuru waasi kuanzisha mashambulizi kinyume na makubaliano.
Syria ni eneo muhimu sana kimkakati kwa Urusi na Iran watafanya kila aina ya mbinu kuhakikisha inabaki mikononi mwao.
 
Nimefuatilia comments zako nyingi inaonekana hii offensive ya waasi imekutouch sana aisee! Sometimes unajaribu kuleta habari za kujifariji hata za kupotosha lakini mwisho wa siku mambo kwa ground ndio hivo

Kwa nini umeumia hivi mkuu!?
Ww mbona Ukraine akipigwaga huwa unaumia wakati ww ni mmatumbi?
 
Tatizo la hao rebels IDF wanaweza kuwa wanawasaidia ila wakifanikiwa kumtoa Assad watamgeuka mu Israel
Huo muda hawatakuwa nao kwasababu wataanza kupigana wao kwa wao kwa muda mrefu, ndani ya hilo kundi la Waasi kuna wengine hawaelewani kuhusu misimamo.

Hilo Kundi ni Kokolo limejaza kila aina ya Wahuni.

Lakini Israel na US zitakuwa zimefanikisha kukata Line ya Ayatolah kwenda kwa Hezbola na Hamas.
 
Kwani akina Ritz na yule bibi kule zenji wako wapi
 
Silaha za Assad ni za Kale kama hichi kifaru cha Kirussi aina ya T50 kilichotekwa leo Mjini Hama.
 
Israel ndio dawa ya magaidi.
 
Uturuki ipo vizuri kijeshi. Kumbuka kuwa jeshi la Uturuki lilikuwa jeshi la pili Duniani, baada ya Marekani, kuwa na uwezo wa ku-refuel ndege zao za kivita zikiwa angani.

Uturuki ndiyo nchi pekee ambayo wananchi wake wengi ( 98%l).ni waislam, ni nchi mwanachama wa NATO. Na kukubaliwa kwa Uturuki kuwa mwanachama wa NATO, haikuwa ni kutokana na upendo wa nchi za Magharibi, bali ni kutomana na uwezowakewa kivita.


The Turkish Armed Forces is the second largest standing military force in NATO, after the U.S. Armed Forces. Turkey is one of five NATO member states which are part of the nuclear sharing policy of the alliance, together with Belgium, Germany, Italy, and the Netherlands.
Edorgan leo anaipiga mkwara Iran na Russia? Kweli nimeamini middle East ni wehu.
Ki
 
TV za Nchi za Kiarabu za Kisunni zinashangilia kukombolewa kwa Mji wa Hama wa Syria Arab Republic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…