GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unaendelea kunilisha maneno ambayo sijasema hakuna sehemu nimewachukulia poa waturuki ila nimekwambia ukweli kule juu ulisemea tb2 drone ghafla naona umebadilika hizo tb2 kama bora sana kwanini kwa sasa hazitumiki tofauti na wale Shaheed wa Iran licha ya Ukraine kujazwa AD karibu zote za west Shaheed zimekua zikilenga malengo na kuyatwanga kila leo tb2 baada ya kufeli kule Ukraine wakaamua kuzikimbiza kama zingekua zina sifa kama unavyo dai zisingetelekezwa na Ukraine mwisho sijailinganisha Iran na uturuki popote zaidi ya kwenye drone za Shaheed na tb2 baasi mpaka sasa dunia nzima imeona ubora wa Shaheed over hizo tb2 na AD za western bisha kwa hoja achana na drone iloona ndege ya rais raisi mie wala sijagusia hiloNaongelea drones za kijeshi za Uturuki.
Drones zilizoiona Moskva ili izamishwe ni TB2, zilizopiga Pantsir air defense systems kule Libya na Syria ni TBT. Drone iliyoona ndege ya Rais ilipoanguka ni Akinci ambayo ina roles kadhaa na silaha inabeba silaha hizi
• Mini Smart Munition MAM-L
• Mini Smart Munition MAM-C
• Cirit Missile
• L-UMTAS Missile
• Mini Smart Munition Bozok
• MK-81, MK-82, MK-83 Guided Bombs (JDAM)
• Wing Assisted Guided Bomb MK-82
• Air-to-Air Missile Gokdogan and Bozdogan
• Cruise and anti-ship missile SOM-A
View attachment 3171458
Bado hao Waturuki walidungua Su-25 ya Urusi bila hofu. Waturuki hao wamewazidi kete Iran na Urusi kwenye suala la Syria. Unawachukulia Waturuki wepesi ila vitendo vyao vinakukatalia.
AiseeTuliwaambia 2025/2026 Ayatolah anatolewa Madarakani Iran na Islamic Regime yake inaondolewa na Wanawake wa Iran wataanza kuvaa Bikini.
Kuna mtu aliwahi kusema: "If you must choose between two evils, pick the one you've never tried before."Terrorists vs terrorists let us enjoy the show
Assad jeshi lake vipaumbele ilikuwa ni kusaidia biashara haramu ya drugs basi, yeye malengo yake makuu yalikuwa ni kuzuia jeshi lisimpindue.😃😃😃 Ni kweli kabisa nadhani hata washirika wamekatishwa tamaa na morali ndogo ya wanajeshi wa Syria.
Urusi na Iran wametumia mabilion ya$ kukukombolea ardhi yako alafu leo hii unakuja kuyaachia tena kirahisi kabisa,kwakweli hata kama ni ww ni lazima upate hasira.
Jana mashambulizi ya drone ya Iran kwa kiasi fulani yali waliwapunguzia sipidi ya kuiteka Homs ila bado majamaa yako ngangali na Homs ikianguka kuoteka Dumasikas ni kama kunywa maji.
Hahahahaa leo nakuunga mkono umeongea uhalisia. Achana na jews jombaa. Wamemlia timing wakati mrusi yuko bize na Ukraine na hezbollah kachapika wakajua jamaa hana wa kumsaidia. Iran kaja na mikwara wapi.Uwanja umeinama naungana na ITR Assad asipotoka mara hii hatakaa atoke tena na waasi wakimshindwa mara hii hawatakaa wamuweze tena ila mpaka sasa sijatupa taulo kwa Assad ingawaje kimsingi yupo na hali tete
Shaheed zinatumika kwa wingi kwa sababu Urusi ilipewa licence production yake na Iran, na kabla ya hapo Urusi ilizinunua nyingi sana. Ukraine haina hela nyingi kununua TB2 nyingi.Naona unaendelea kunilisha maneno ambayo sijasema hakuna sehemu nimewachukulia poa waturuki ila nimekwambia ukweli kule juu ulisemea tb2 drone ghafla naona umebadilika hizo tb2 kama bora sana kwanini kwa sasa hazitumiki tofauti na wale Shaheed wa Iran
TB2 nimekuelezea na matumizi yakelicha ya Ukraine kujazwa AD karibu zote za west Shaheed zimekua zikilenga malengo na kuyatwanga kila leo tb2 baada ya kufeli kule Ukraine wakaamua kuzikimbiza kama zingekua zina sifa kama unavyo dai zisingetelekezwa na Ukraine
Shaheed na TB2 haviendani hizo sio drones sawa. Ila overral kwenye drone tech Iran ni mtoto mdogo sana mbele ya Uturuki, ndio maana Iran ilikaa siku mbili bila kumuona Rais wao kaanguka wapi, Uturuki ikatumia masaa mawili. Iran hana drone ambayo Uturuki hana, Uturuki ina drones ambazo Iran hana.mwisho sijailinganisha Iran na uturuki popote zaidi ya kwenye drone za Shaheed na tb2 baasi mpaka sasa dunia nzima imeona ubora wa Shaheed over hizo tb2 na AD za western bisha kwa hoja achana na drone iloona ndege ya rais raisi mie wala sijagusia hilo