GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuwa kama jeshi la iliyo kuwa serikali ya Afghanistan Marekani na Nato nzima wametumia zaidi ya $tirion 4 kupambana na Taliban,kuwapa mafunzo ,kuwa nunulia siraha alafu mwisho wa siku wanaenda kuikabidhi nchi kwa Taliban ndani ya siku mbili tu.Assad jeshi lake vipaumbele ilikuwa ni kusaidia biashara haramu ya drugs basi, yeye malengo yake makuu yalikuwa ni kuzuia jeshi lisimpindue.
Kila siku jeshi linafanya retreat alafu linadai linafanya strategic repositioning. Halipigani kutoa upinzani hata kidogo, linakimbia linaacha silaha. Yaani JW ikimbie Arusha, iikimbie Mwanza, ikimbie Tanga, ikimbie Dodoma, Morogoro alafu eti ije kupigania Bagamoyo na Kibaha kuilinda Dar, hii inawezekanaje. Jeshi la kivivu kabisa na maofisa vilaza watupu.
Kuliko kunipa hawa wendawazimu 100,000 wa Assad bora unipe Hezbollah 25,000 nijue moja. Iran imeweka hela, Urusi imeweka hela, Hezbollah damu zimemwagika, Wagner wamekufa, Wakurdi wamejitoa mhanga wote hao kumbe wanapigania mianajeshi mijinga kama mimarioo kila kitu ifanyiwe.
Jeshi la Syria walivyo ng'ombe watupu wao wanataka washinikizwe kupigana, wapewe uhakika wa air support, wapewe support ya Hezbollah, Iran, Russia, etc kwenye ground ndio waende kupigana. Wakishatwaa eneo waachwe walilinde, adui akija wakimbie mbio waache silaha (ambazo nyingine ni za mkopo au msaada) kisha wakiwa mafichoni uko washirika waje kutoa support ndio jeshi lipigane.
Maji yamekorogekaHuyo Assad si anaungwa mkono na Putin? Kulikoni tena? 🤣🤣
Bora Taliban walikuwa na nguvu kuliko jeshi la Afghanistan hiyo ilionekana wazi hata kabla na kila mwenye uelewa alijua Afghanistan itaanguka ila tu haikujulikana lini. Ikaja kuanguka kwa haraka.Wanakuwa kama jeshi la iliyo kuwa serikali ya Afghanistan Marekani na Nato nzima wametumia zaidi ya $tirion 4 kupambana na Taliban,kuwapa mafunzo ,kuwa nunulia siraha alafu mwisho wa siku wanaenda kuikabidhi nchi kwa Taliban ndani ya siku mbili tu.
Sawa kwa hio mnamleta kiongozi wa ISIS hapo Syria, nilikuwa nawambia Al Qaeda na ISIS wote ni Western Puppet wanaharibu jina la Uislam kwa amri ya USA.Assad atabaki kwenye Kichwa chako tu kama Raisi lakini huko Syria Wananchi wamemchoka.
Hujui kama Condom huwa inatumika kwa muda muafaka na wakati mwingine huwa inatupwa jalalani.Sawa kwa hio.mnamleta kiongozi wa ISIS hapo Syria nilikuwa nawambia Al Qaeda na ISIS wote ni Western Puppet wanaharibu jina la Uislam kwa amri ya USA.
IQ ya Wazuyuni ni level ya kunyweya Whisky, au labda IQ ya kumtundika Yesu msalabani hahaha, unawaongelea watu wenye kutingisha vichwa vyao kwenye ukuta kama mijusi na watu wanao tegemea kila kitu kutoka USA 😆 😂Hujui kama Condom huwa inatumika muda muafaka na wakati mwingine huwa inatupwa jalalani.
Nyie Jamaa mna IQ za kunywea Kahawa na kutukana Dini nyingine kuwa ni "Kafiri" Daima hamutawaweza Wazayuni.
Wazayuni ni sio level yenu ni IQ kubwa sana.