Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanya tafiti na kupata wangapi wanaopenda mpira na mambo ya kuigiza kuwa na kwenye masuala ya nchi hawako makini?!!!shida n kwamba wenye nchi tuko tunakimbizana na mechi za mpira, mambo ya kuigiza tu bila kujua kuwa tunaliwa huku tuko kimya tubaki kuwa waoga wa nchi yetu yaani mambo mparaganyiko tu
Kwani Kuna tatizo mahala? Au kavunja Sheria?Hawa wanaweza kuwa ndio wale wafadhili wa Royol tour ambao tulifichwa , sasa wanapewa mapande ya aridhi, na wana binasifisha, fikiria Mzungu ana binasifisha Aridhi ya Umma.
View attachment 2610183
Tunataka Tanganyika yetu kwanza , zanzibar ikijitenga na Tanganyika sio shida kabisa , serikali tatu au 1 hazikwepeki kama tunataka kwenda sawa , vinginevyo kila nchi ibebe hamsini zakeZanzibar ipo Kenya?
Kama hutaki wazanzibar hama nchi
Tutolee chuki zako zilizo katika DNA yako.....Yanejirudia ya Mwinyi.
Marais toka Zanzibar na Pwani ni wadhaifu sana
Waswahili walisema kua uyaoneNever again Rais wa Jamhuri atoke Zanzibar.
Hao hawana uzalendo kabisa.
Wanagawa mali za Tanganyika kama pipi.
Hawana madini Wala wanyama.
Tuwe makini nao.
Sio rahisi kama unavodhani ,usisahau tumezaana watanganyika na wazanzibar kwa miaka mingi sana,ngumu na ndo maana kero za muungano zipo na zitaendelea kuwepoTunataka Tanganyika yetu kwanza , zanzibar ikijitenga na Tanganyika sio shida kabisa , serikali tatu au 1 hazikwepeki kama tunataka kwenda sawa , vinginevyo kila nchi ibebe hamsini zake
Umeambiwa kumbe sio kweli?hivi inchi wewe umekosa kabisa ardhiNchi inauzwa balaa, kule Arusha nimeambiwa Rizi 1 anawavua Wazungu Mashamba balaa, sasa jiulize,
Sawa.....Ni unafiki kuukata uraia pacha ilhali tunaruhusu mgeni kuja kumiliki ardhi ambayo tunajua kikatiba haruhusiwi
Na siku tutakapouacha huo unafiki wa kukataa uraia pacha Nina uhakika kuna sehemu nzuri nchi itafikia kimaendeleo
Umena haswaTutolee chuki zako zilizo katika DNA yako.....
Ukikariri wewe si lazima sote tukariri upupu ulio nao wewe.....
Mkuki wa moto jikazeTutolee chuki zako zilizo katika DNA yako.....
Ukikariri wewe si lazima sote tukariri upupu ulio nao wewe.....
Pole sana kaka....Nchi inaongozwa na Mapaka[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2610649View attachment 2610650View attachment 2610652View attachment 2610653
[emoji1787][emoji1787]Mkuki wa moto jikaze
Handsome boy CBE umerudi tena??Hakufuata utaratibu ?!!!
Tuache kupayuka hovyo......hata raia hawezi tu kujimilikisha/kumilikishwa ardhi kubwa kinyume na utaratibu.....akifuata utaratibu huwa hakuna KOSA.....
Nchi yetu iko makini mno katika mambo yahusuyo ardhi......
#SiempreJMT[emoji120]
YODA unajichanganya sana kamarada....Handsome boy CBE umerudi tena??
Elewa pia hizi nchi za Afrika mashariki hasa tulizo pakana nazo tumezaana miaka mingi, ila hatujaunganaSio rahisi kama unavodhani ,usisahau tumezaana watanganyika na wazanzibar kwa miaka mingi sana,ngumu na ndo maana kero za muungano zipo
Kwani yupi anayemng’ang’ania mwenzie 😅😅🙏🙏. ??!!Never again Rais wa Jamhuri atoke Zanzibar.
Hao hawana uzalendo kabisa.
Wanagawa mali za Tanganyika kama pipi.
Hawana madini Wala wanyama.
Tuwe makini nao.
Ni kama nusu ya nchi ya Rwanda. Za kwake binafsi ni ekari 125,000 siyo ekari 25,000. Hizo milioni sita ndio amekodi.Heka milion 6? si wilaya kabisa au typ error
Faida anaipata tena haraka tu chumba dollar elfu moja kwa siku. Cha chini sana dollar 550. Hujaweka mapato mengine mengine kama kukodisha helicopter, silaha, magari kupelekwa kuwaona Wamasai, Wadzabe nk.Wa Tanzania hawana mitaji, na jingine wenye mitaji Tanzania wanapenda kuwekeza kwenye short term projects, kama kununua ma basi kujenga guest, kijenga bar malori nk. Ila huyu anawekeza faida anaipata baada ya miaka 50 au 100.