Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
WeweyaaaHalooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
polisi wafanye nini.Jamii ifunze maadili.Wakuu
Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro
Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu
Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba
Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu
Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu
Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Mbezi imechangamka sana kwenye ufuska toka tunapata viajira 2013.polisi wafanye nini.Jamii ifunze maadili.
kama watu wa kuwanunua hawatoenda,hakuna mtu atakaa hapo kuuza nyapu.Kwahiyo wanaume wasinunue maku.
Hata ukienda kuwafurusha hapo watarudi tena,demand ni kubwa tatizo halipo kwao tu.
hiyo ni biashara kongwe toka enzi za manabii mpaka sasa!
Pa kawaida mnoooo, nishaenda sana. We' unaonekana ni mshamba wa haya mamboMhhh piga ua garagaza kimboka buguruni chaaa hatari sana watu uchi saa mojaa asee🥸 pale Kuna matusi balaa sio ya nchi hii na usiende kama una roho
Kajala, Wema Sepetu, Irene Uwoya, Vicky Kamata, nk...orodha ni ndefu wanajua kusoma na kuandika tu?Yani hapo ndio umetangaza Biashara kaka, umewafumgulia njia.
Du!!!!
Tuwape watoto wetu Elimu.
Unazaa mtoto unashindwa kumlea anakuwa kahaba jamani Dahhhh inauma sana
Asee hujaingia Kule ndani ndaniPa kawaida mnoooo, nishaenda sana. We' unaonekana ni mshamba wa haya mambo
mkuu, tafuta pesa, jenga nyumba. kupewa notisi kufukuzwa na mwenye nyumba naona umekuja mojakwamoja. hata hivyo, sitetei ukahaba.Wakuu
Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro
Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu
Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba
Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya Lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu.
Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu
Serikali na Jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Wewe utakuwa ni mpangaji ambaye ulikuwa unatembelea kitonga cha kuishi sehemi ambapo huna uwezo wa kulipa kodi.Wakuu
Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro
Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu
Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba
Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya Lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu.
Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu
Serikali na Jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Usiende kuzini bwashee, wapelekee tu msaada wa tuhela kidogo utabarikiwaleo nitapatafuta