Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Wame target wasafiri wanaoshuka na kuondoka pale Magufuli Bus Terminal ?
 
😆😆😆😆! Dah.
 
Wew kweli Dikteta usiye na maono.
 
Hivi we mwanamke umetumwa au? Yani we ni kushusha maandiko tu!
 
Kwa hiyo wana mpango wowote wa kubadilisha jina hilo la kwa God?
 
Utuleteage na ushabidi wa picha ..ili matomaso waamini
 
Kwani maandiko yanakuumiza Mjuni Lwambo?
Pole mwaya😂😂😂
Sasa yataniumiza vipi wakati hayo ni maneno tu.... Nilitaka nimalizie kama ya kwenye kanga nikajua utachukia kwamba nadharau maandiko.
 
Halafu mleta uzi anaomba serikali iingilie kati..aje asome hii comment ndio ajue serikali yenyewe ina mlengo gani kuhusu hao malaya.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Umalaya ni biashara kama zingine huwezi kuikwepa tunajidanganya kupambana nayo ukweli inawasaidia watu wengi TU iwekewe mazingira mazuri Ili pande zote zifaidike ulaya ni biashara halali na Kodi wanalipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…