Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Wewe ndo marketing manager wa Hilo danguro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wenye familia hili ni janga, Kuna siku nilikutana na muhanga kutoka Sinza aliekuwa analea familia yake katika maeneo ya madangurokipande Cha Sinza Tena yeye Hilo eneo lilikuwa na Hadi mashoga though alifanikiwa kujenga na kuondoka huko ila ukipata full story ya hayo mazingira ni mbaya sana.
 
Acheni kuwanunua, wachukueni mkae nao ndani muendeshe maisha
Waoeni kabisaaa
Mkuu malaya ni kunguru asiye fugika.

Hata ungelikuwa na ukwasi wa kiasi gani, hauwezi kumkidhi malaya, malaya ni bahari lisilotosheka kupokea chochote usiku na mchana bila kujaa milele.

Ndiyo maana, ukimpenda ukakomaza fuvu kumuoa, labda Mungu akuue mapema ndiyo utaepuka kujuta.

Vinginevyo ni ubatili na kusaga meno tu mbele ya safari ya maisha yako.
 
Wewe jamaa uko nyuma ya wakati sana sana... Ukiyaona ya mitandaoni ndiyo utastaajabu mara 1000.

IMG_20220804_152552.jpg
 
Hapana,sijawahi rukwa na haitokuja tokea kurukwa.Dhambi nilizonazo zinanitosha
Well that's beautiful.
Sababu nilitaka kukuuliza kama unakubaliana na kila mtu kufanya atakavyo then ungekubali kuona watu wakisex hadharani.

Lucky you.
 
Na hawa huwa wanalipa kwa wakati kuliko hata waajiriwa.
Huwa wanalipa kabla kabisa ya kodi kuisha au wanalipia miezi mingi zaidi ili wasipewe notisi. Kuna jamaa yangu anakaa nyumba aliyokuwa anakaa Asha nani sijui yule aliyetafutwa na polisi miezi kama miwili iliyopita, yule mwenye tattoo ya ua mgongoni. Asha na wenzake walikuwa wanalipa kodi mapema kiasi kwamba mwenye nyumba mzee Msabato alipojua wanatafutwa na polisi kwa kesi hiyo akawa hana hela ya kuwarudishia awahamishe. Mzee alisaidiwa na mtu mwingine kuwarudishia hela
 
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Ndo umeamua kutangaza biashara yako boss?
 
Back
Top Bottom