Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kazi ya k
KAZI ya kiongozi aliyeko madarakani ni kulinda raia wake.
Bibi amefeli kabisa
Kama wananchi wenyewe hawajijali nani awajali zaidi? Uchaguzi umeporwa kwa mtutu na watu kuuawa lakini bado kuna makundi ya watu wamejitokeza na kusifia kuwa ulikuwa mzuri. Raia hao hao ndiyo walikuwa mbele kwenye kusaidia hujuma. Acha nchi ivune ilichopanda.
 
stendi yote hamna aliye record? mkewe hakuja kumpokea stand?
 
Ndio maana watu wanasema katekwa...

Lakini haya yote lawama ni kwa jeshi la Polisi, haya mautaratibu ya kunyakua watu wameyavumisha wao wenyewe...
Ni sahihi, nimeona hata taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi nao kutojua nani hasa aliyemchukua huyo Abdul Nondo.

Kwa mujibu wa aliyetoa taarifa, wanasema Pingu zilianguka wakati wa Purukushani na hao wakamataji(watekaji).

Kwa mujibu wa Sheria, wanaoruhusiwa kutumia Pingu ni Askari Polisi, Magereza na Takukuru Kwa Uchache.

Kwahiyo ni obviously waliohusika katika utekaji huu ni Vyombo vya Usalama

Kwahiyo ndani ya Nchi moja lakini Vyombo vya Usalama havina mawasiliano.

Huu ni utekaji kama utekaji mwingine unaofanyika kwenye hii Nchi.

Tukifanya mchezo tutatekwa wote tuishe πŸ™Œ
 
Amechukuliwa na police au watu wasiojulikana???
Kuna watu hawajulikani dunia hii??
Hawajulikani hawana ndugu???
Hawajulikani hawajazaliwa na mama???
Nani anawalipa mishahara ilihali hawajulikani????
 
Amechukuliwa na police au watu wasiojulikana???
Kuna watu hawajulikani dunia hii??
Hawajulikani hawana ndugu???
Hawajulikani hawajazaliwa na mama???
Nani anawalipa mishahara ilihali hawajulikani????
Watu ambao hawajitambulishi wanaweza kukupeleka kusiko julikana pia
 
Mmmm! Haya Bhana Wajinga Ndio Wataendelea Kuumiza Kichwa Ngoja Kijana Atengeneze Umaarufu Ila Ni Mtu Wao
 
Watu ambao hawajitambulishi wanaweza kukupeleka kusiko julikana pia
Kama ni hivyo usemavyo basi nchi yetu tupo kwenye tatizo kubwa. Kwamba pembele ya polisi watu wasiojulikana wanawasaka tu wenye maoni pinzani na kuwapeleka kusikojulikana ambako wanateswa na kudhulumiwa uhai.
Kwamba mbele ya polisi watu wanakimbizwa na kumiminiwa risasi za moto na kuawa!
Sikiliza! Huo ujasiri hata waasi wa Congo DRC hawana!
Fikirisha akili yako
 
Hali tete,polisi nao hawajui Nondo amechukuliwa na nani?Tuombe Mungu arudishwe salama.
 
Hivi watanzania kwa umoja wetu tumeshindwaje kuunganisha nguvu zetu kuyaondoa haya majambazi madarakani?
 
Watu wasiojulikana ni taasisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…