abdulatif himid
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 326
- 814
Naona wengi tunalaumu kwa nini watu hawakuingilia na kuwazuia watekaji.
Niwe mkweli,zaidi ya kujaribu kurekodi nisingeweza kutokea Front kuwazuia watekaji.
Sio kwamba Sina ujasiri wa kufanya hivyo,la hasha!
Kila mtu apambane na hali yake.
Nimeamua kuishi kama Fala sio kwamba Mimi mjinga,sitaki kelele Wala ugomvi na mtu.
Kama yeye ameamua kuishi kwenye spotlight Mimi ni nani mpaka nihatarishe Maisha yangu na future ya wanangu kwa sababu ya "Abdul nondo"!
Uislam huo Mimi Sina.
Nakupita tu kichwa changu chini na mikono yangu nyuma.
Bora nibaki Fala nipite salama hapa Duniani kuliko kujitafutia tabu kwa vitu vya kupita tu.
Niwe mkweli,zaidi ya kujaribu kurekodi nisingeweza kutokea Front kuwazuia watekaji.
Sio kwamba Sina ujasiri wa kufanya hivyo,la hasha!
Kila mtu apambane na hali yake.
Nimeamua kuishi kama Fala sio kwamba Mimi mjinga,sitaki kelele Wala ugomvi na mtu.
Kama yeye ameamua kuishi kwenye spotlight Mimi ni nani mpaka nihatarishe Maisha yangu na future ya wanangu kwa sababu ya "Abdul nondo"!
Uislam huo Mimi Sina.
Nakupita tu kichwa changu chini na mikono yangu nyuma.
Bora nibaki Fala nipite salama hapa Duniani kuliko kujitafutia tabu kwa vitu vya kupita tu.