Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naona wengi tunalaumu kwa nini watu hawakuingilia na kuwazuia watekaji.
Niwe mkweli,zaidi ya kujaribu kurekodi nisingeweza kutokea Front kuwazuia watekaji.
Sio kwamba Sina ujasiri wa kufanya hivyo,la hasha!
Kila mtu apambane na hali yake.
Nimeamua kuishi kama Fala sio kwamba Mimi mjinga,sitaki kelele Wala ugomvi na mtu.
Kama yeye ameamua kuishi kwenye spotlight Mimi ni nani mpaka nihatarishe Maisha yangu na future ya wanangu kwa sababu ya "Abdul nondo"!
Uislam huo Mimi Sina.
Nakupita tu kichwa changu chini na mikono yangu nyuma.
Bora nibaki Fala nipite salama hapa Duniani kuliko kujitafutia tabu kwa vitu vya kupita tu.
 

Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.

Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu

====

UPDATE

JamiiForums imewasiliana na Naibu Katibu wa Habari na Uenezi wa ACT Wazalendo Shangwe Ayo ambapo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akieleza Nondo alikuwa ametokea Kigoma baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa kumalizika, ambapo wakati anashuka kwenye basi Stendi ya Magufuli watu wasiyojulikana watatu walimfuata kukawa na purukushani Nondo akijitahidi kujinasua lakini walifanikiwa kumchukua na kuangusha pingu walizokuwa wameenda nazo pamoja na begi alilokuwanalo Nondo

Matukio mengine ya utekaji kuwahi kufanyika nchini haya hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Shangwe ameeleza pia gari lililomteka Nondo ni Land Cruiser nyeupe yenye namba za usajili T 249 EMV. Taarifa za awali walizitoa kwa mashuhuda ambao walikuwa wanamfagamu Nondo, baada ya kufungua begi lake kulikuwa na note book ambayo nayo ilithibisha kumilikiwa na Abdul Nondo

Pia shuhuda aliyekuwa eneo la tukio amesema gari hilo lililokuja kumteka Abdul Nondo lilikuwa na watu 4, wawili wakiwa na bunduki na wawili wakiwa mikono mitupu, watu walipoenda kuangalia kuna nini na kujaribu kuhoji waliwanyooshea bastola na hivyo watu kubaki wanaangalia tukio hilo likitokea na Abdul Nondo akawa ametekwa! Katika purukushani hizo kwa maelezo ya shuhuda mbali na pingu na bengi la Nondo, ilianguka pia inadaiwa simu ya moja ya watekaji ambavyo vyote vilikabidhiwa kwa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.
Hii serikali kuna mtu hana akili tuu. Huwezi kufanya matukio ya kipumbavu namna hii kila mara bila aibu.
Ila faiza foxy alisema akifanya muislam tumefanya wote, ngoja ninyamaze tuu.
 
duh, utakuwa ni martyr wewe labda, what if they shot you dead? unajitolea kuingilia ugomvi usiokuhusu tena against “wasiojulikana” na haujui hata wanataka nini? yaani uko tayari kufa au kuumizwa kwa ajili ya mtu hata usiyemjua? labda huyo uliyejitolea kumtetea alikuwa criminal aliyekuwa anatafutwa mda mrefu, who knows?
Kama wangekuwa na chuma wangenidhuru ila sijui kama hawakuwa nayo maana wakati wawili wanapambana kumuingiza mchizi ndani kuna mmoja alikuwa kakaa mlangoni kwenye siti. Hawa jamaa wakija hawaogopi kabisa wanakuchukua katikati ya watu wanakuburuza wanasepa na wewe. Mimi nilikuja kutahamaki mchizi anapiga kelele huku anaburuzwa na mapingu wanakazana kumfunga. Sasa mimi niliwauliza nini shida? Hawanisemeshi wanakomaa tu na mchizi nikaona msinitanie maana najua mishe zenu. Nikaingia mzima tukawa wawili against wawili huku mmoja kakaa kwenye siti ya mlangoni. Baada ya kuona mambo yashakuwa mengi wakageuza gari haooo yan kama majizi kabisa huwezi amini eti ni watu wa usalama.
 
Naona wengi tunalaumu kwa nini watu hawakuingilia na kuwazuia watekaji.
Niwe mkweli,zaidi ya kujaribu kurekodi nisingeweza kutokea Front kuwazuia watekaji.
Sio kwamba Sina ujasiri wa kufanya hivyo,la hasha!
Kila mtu apambane na hali yake.
Nimeamua kuishi kama Fala sio kwamba Mimi mjinga,sitaki kelele Wala ugomvi na mtu.
Kama yeye ameamua kuishi kwenye spotlight Mimi ni nani mpaka nihatarishe Maisha yangu na future ya wanangu kwa sababu ya "Abdul nondo"!
Uislam huo Mimi Sina.
Nakupita tu kichwa changu chini na mikono yangu nyuma.
Bora nibaki Fala nipite salama hapa Duniani kuliko kujitafutia tabu kwa vitu vya kupita tu.
Ukifuatilia harakati za Abdul nondo na wote wa namna yake watakuambia wanawapigania watanzania!
Ukweli mchungu hizo harakati ni sehemu ya kazi zao za kuwapatia riziki kama alivyo fundi mjenzi dereva mwalimu na askari nk, sasa kila kutafuta riziki kuna changamoto zake ambazo mtu huzikabili na kusonga mbele.
Fundi umeme kuna wakati ana pigwa shoti na fundi bomba kuna wakati analowana maji na hakuna anaye jali kwa vile ni wajibu wake!
Sasa hao wasiasa na wanaharakati wanataka kila wanapo pata changamoto watanzania wote wasimame nao hali ni wajibu wao kuzikabili.
 
Ukifuatilia harakati za Abdul nondo na wate wa namna yake watakuambia wanawapigania watanzania!
Ukweli mchungu hizo harakati ni sehemu ya kaxiy zao za kuwapatia riziki kama alivyo fundi mjenzi dereva mwalimu na askari nk, sasa kila kutafuta riziki kuna changamoto zake ambazo mtu huzikabili na kusonga mbele.
Fundi umeme kuna wakati ana pigwa shoti na fundi bomba kuna wakati analowana maji na hakuna anaye jali kwa vile ni wajibu wake!
Sasa hao wasiasa na wanaharakati wanataka kila wanapo pata changamoto watanzania wote wasimame nao hali ni wajibu wao kuzikabili.
Kimtindo nimeipenda hii.
 
Kama wangekuwa na chuma wangenidhuru ila sijui kama hawakuwa nayo maana wakati wawili wanapambana kumuingiza mchizi ndani kuna mmoja alikuwa kakaa mlangoni kwenye siti. Hawa jamaa wakija hawaogopi kabisa wanakuchukua katikati ya watu wanakuburuza wanasepa na wewe. Mimi nilikuja kutahamaki mchizi anapiga kelele huku anaburuzwa na mapingu wanakazana kumfunga. Sasa mimi niliwauliza nini shida? Hawanisemeshi wanakomaa tu na mchizi nikaona msinitanie maana najua mishe zenu. Nikaingia mzima tukawa wawili against wawili huku mmoja kakaa kwenye siti ya mlangoni. Baada ya kuona mambo yashakuwa mengi wakageuza gari haooo yan kama majizi kabisa huwezi amini eti ni watu wa usalama.

dah, hongera sana kwa ujasiri, binafsi siwezi risk maisha yangu kiasi hicho kwa ugomvi nisioujua sana sana kama kuna chochote ambacho ningefanya labda ningepiga picha au video tena kwa siri wasinione, lkn kama wanamfanyia hivyo mtu ninayemjua na kumpenda hapo nitajitolea liwalo na liwe lkn siyo kwa stranger kwa maana huo ugomvi siujui …
 

Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.

Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu

====

UPDATE

JamiiForums imewasiliana na Naibu Katibu wa Habari na Uenezi wa ACT Wazalendo Shangwe Ayo ambapo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akieleza Nondo alikuwa ametokea Kigoma baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa kumalizika, ambapo wakati anashuka kwenye basi Stendi ya Magufuli watu wasiyojulikana watatu walimfuata kukawa na purukushani Nondo akijitahidi kujinasua lakini walifanikiwa kumchukua na kuangusha pingu walizokuwa wameenda nazo pamoja na begi alilokuwanalo Nondo

Matukio mengine ya utekaji kuwahi kufanyika nchini haya hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Shangwe ameeleza pia gari lililomteka Nondo ni Land Cruiser nyeupe yenye namba za usajili T 249 EMV. Taarifa za awali walizitoa kwa mashuhuda ambao walikuwa wanamfagamu Nondo, baada ya kufungua begi lake kulikuwa na note book ambayo nayo ilithibisha kumilikiwa na Abdul Nondo

Pia shuhuda aliyekuwa eneo la tukio amesema gari hilo lililokuja kumteka Abdul Nondo lilikuwa na watu 4, wawili wakiwa na bunduki na wawili wakiwa mikono mitupu, watu walipoenda kuangalia kuna nini na kujaribu kuhoji waliwanyooshea bastola na hivyo watu kubaki wanaangalia tukio hilo likitokea na Abdul Nondo akawa ametekwa! Katika purukushani hizo kwa maelezo ya shuhuda mbali na pingu na bengi la Nondo, ilianguka pia inadaiwa simu ya moja ya watekaji ambavyo vyote vilikabidhiwa kwa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.
Kilichobaki ni wanafamilia kumteua mtu wa kupokea sh. Milioni tano.
 
Hivi utaratibu wa kumkamata mtuhumiwa si uko wazi Kwa mujibu wa Sheria?

Huyo Nondo ni Katibu wa Chama, ina maana ana address yake kwamba anaishi wapi

Mnafika Kwa mjumbe wa nyumba 10 kwenye Mtaa anaoishi kisha mnaenda kumchukua.

Hiyo kumvizia stendi na kumkamata kama jambazi inazua taharuki kwamba huenda ni Wasiojulikana

Hebu Viongozi wa hayo makundi sijui ni Usalama ama Polisi Idara ya Usalama, warudie kusoma miongozo ya kazi zao.

Najua mnatekeleza majukumu yenu, lakini fuateni Sheria na taratibu za kazi zenu
Cha ajabu ni kwamba wamesoma na hiyo miongozo wanaijua vilivyo. Labda ni majambazi, yaani si watu wa usalama wa raia.
 
Pole sana ndugu yetu Abdul, mwenyezi Mungu akupiganie wakuachilie salama.

Lakini Abdul kwa level aliyofikia, alitakiwa awe hata na ka vitz jamani, sass watu wanakuja kukutekea stand, tena stendi ya mbezi shamba.
Kwani Bonge hakuwa na gari?
 
Sasa kama ukifika Stendi unakuta " Wajomba" wanakusubiri na Wahudumu wa Bus hawatoi Msaada wowote ya Nini kuendelea kupanda hizo mbaula?

Binafsi niliziamini sana Scandinavian Buses enzi zile ikitokea purukushani inapigwa radio call faster

Dominica njema 😃
Inaonesha mole alipanda nae basi tangu wanatoka kigoma na walipokaribia stend mole aliwatonya kuwa ndio wanaingia stend hivyo watekaji wakajiandaa kumpokea nondo kwa bashasha, mole alipomaliza kazi yake huyo akashuka kwenye basi na kwenda kuendelea na majukumu yake stakishari.
 

Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.

Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu

====

UPDATE

JamiiForums imewasiliana na Naibu Katibu wa Habari na Uenezi wa ACT Wazalendo Shangwe Ayo ambapo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akieleza Nondo alikuwa ametokea Kigoma baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa kumalizika, ambapo wakati anashuka kwenye basi Stendi ya Magufuli watu wasiyojulikana watatu walimfuata kukawa na purukushani Nondo akijitahidi kujinasua lakini walifanikiwa kumchukua na kuangusha pingu walizokuwa wameenda nazo pamoja na begi alilokuwanalo Nondo

Matukio mengine ya utekaji kuwahi kufanyika nchini haya hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Shangwe ameeleza pia gari lililomteka Nondo ni Land Cruiser nyeupe yenye namba za usajili T 249 EMV. Taarifa za awali walizitoa kwa mashuhuda ambao walikuwa wanamfagamu Nondo, baada ya kufungua begi lake kulikuwa na note book ambayo nayo ilithibisha kumilikiwa na Abdul Nondo

Pia shuhuda aliyekuwa eneo la tukio amesema gari hilo lililokuja kumteka Abdul Nondo lilikuwa na watu 4, wawili wakiwa na bunduki na wawili wakiwa mikono mitupu, watu walipoenda kuangalia kuna nini na kujaribu kuhoji waliwanyooshea bastola na hivyo watu kubaki wanaangalia tukio hilo likitokea na Abdul Nondo akawa ametekwa! Katika purukushani hizo kwa maelezo ya shuhuda mbali na pingu na bengi la Nondo, ilianguka pia inadaiwa simu ya moja ya watekaji ambavyo vyote vilikabidhiwa kwa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.
ACT ni sehemu ya serikali Zanzibar ambayo ndiye mtawala wa Tanganyika. Naamini watamrudisha salama.
 

Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.

Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu

====

UPDATE

JamiiForums imewasiliana na Naibu Katibu wa Habari na Uenezi wa ACT Wazalendo Shangwe Ayo ambapo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akieleza Nondo alikuwa ametokea Kigoma baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa kumalizika, ambapo wakati anashuka kwenye basi Stendi ya Magufuli watu wasiyojulikana watatu walimfuata kukawa na purukushani Nondo akijitahidi kujinasua lakini walifanikiwa kumchukua na kuangusha pingu walizokuwa wameenda nazo pamoja na begi alilokuwanalo Nondo

Matukio mengine ya utekaji kuwahi kufanyika nchini haya hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Shangwe ameeleza pia gari lililomteka Nondo ni Land Cruiser nyeupe yenye namba za usajili T 249 EMV. Taarifa za awali walizitoa kwa mashuhuda ambao walikuwa wanamfagamu Nondo, baada ya kufungua begi lake kulikuwa na note book ambayo nayo ilithibisha kumilikiwa na Abdul Nondo

Pia shuhuda aliyekuwa eneo la tukio amesema gari hilo lililokuja kumteka Abdul Nondo lilikuwa na watu 4, wawili wakiwa na bunduki na wawili wakiwa mikono mitupu, watu walipoenda kuangalia kuna nini na kujaribu kuhoji waliwanyooshea bastola na hivyo watu kubaki wanaangalia tukio hilo likitokea na Abdul Nondo akawa ametekwa! Katika purukushani hizo kwa maelezo ya shuhuda mbali na pingu na bengi la Nondo, ilianguka pia inadaiwa simu ya moja ya watekaji ambavyo vyote vilikabidhiwa kwa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.
Mtu anatekwa watu waangalia tu
 
Back
Top Bottom