Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pascal Mayalla U FM ya Bakhressa huwa inajiunga na DW Kiswahili saa saba mchana, sasa siku mbili DW wakizungumzia utekaji wa Nondo na wengine hukata matangazo hayo na kucheza muziki wa hovyo hovyo mpaka habari hiyo ipite.
Hata wakisoma magazeti habari za utekaji hawasomi hii Afadhali hata kwenye Uhuru media kwa uchawa.
Duh...!, hii ndio naisikia leo!。
P
 
Kila media inayo editorial policy yake na editorial independence yake ambayo haipaswi kuingiliwa!

Kuna habari inaweza kuwa ni kubwa kwako kustahili front page, lakini kwa mwingine isiwe habari kabisa!. Huu ndio Uhuru wa habari.

Mkuu Gulwa , ushahidi huu hauukidhi viwango vya ushahidi.
P
mara nyingi vichwa vikubwa huwa vinajaa maji
 
Kila media inayo editorial policy yake na editorial independence yake ambayo haipaswi kuingiliwa!

Kuna habari inaweza kuwa ni kubwa kwako kustahili front page, lakini kwa mwingine isiwe habari kabisa!. Huu ndio Uhuru wa habari.

Mkuu Gulwa , ushahidi huu hauukidhi viwango vya ushahidi.
P
Kwenu machawa sawa ila kwetu wenye elimu yetu ya kipekee, simanishi ya darasani, tunaona tofauti. Kazi ya media yoyote ni kutumikia na kuhabarisha jamii husika. Huwezi, kwa mfano, kutangaza habari za vichekesho kwenye kijiji kinachoomboleza. Waandishi wa habari wa kitanzania mna uelewa mdogo sana na nina mashaka na ubora wa vyuo vyenu kitaaluma, kwani kinazalisha wasomi wajinga
 
Kwenu machawa sawa ila kwetu wenye elimu yetu ya kipekee, simanishi ya darasani, tunaona tofauti. Kazi ya media yoyote ni kutumikia na kuhabarisha jamii husika. Huwezi, kwa mfano, kutangaza habari za vichekesho kwenye kijiji kinachoomboleza. Waandishi wa habari wa kitanzania mna uelewa mdogo sana na nina mashaka na ubora wa vyuo vyenu kitaaluma, kwani kinazalisha wasomi wajinga
Naomba kuheshimu mtazamo wako。
P
 
Tangu atekwe Nondo wa ACT Wazalendo, hakuna gazeti lolote la serikali, chama dola au vigazeti vinavyofadhiliwa na serikali lililoandika kuhusu habari hiyo. Kwa vyovyote vile ile ni habari kubwa iliyostahili kuwekwa kwenye kurasa za mbele za magazeti. Hata habari za utekaji mwingine uliofanyika huko nyuma haikupewa kabisa nafasi katika magazeti na media zote cha serikali, chama dola na vibaraka wao. Kwa wale wenye uwezo wa kusoma nyakati, Chronos, Kairos na Eschaton, hatuhitaji ushahidi zaidi ya huo wa wazi
Ahahah,na nyinyi akitekwa muandishi msimttee
 
Tangu atekwe Nondo wa ACT Wazalendo, hakuna gazeti lolote la serikali, chama dola au vigazeti vinavyofadhiliwa na serikali lililoandika kuhusu habari hiyo. Kwa vyovyote vile ile ni habari kubwa iliyostahili kuwekwa kwenye kurasa za mbele za magazeti. Hata habari za utekaji mwingine uliofanyika huko nyuma haikupewa kabisa nafasi katika magazeti na media zote cha serikali, chama dola na vibaraka wao. Kwa wale wenye uwezo wa kusoma nyakati, Chronos, Kairos na Eschaton, hatuhitaji ushahidi zaidi ya huo wa wazi
Hawa wahuni dawa yao inachemka,kwanza mpaka sasa wamefanya vyombo vyetu vya ulinzi chukiwa na wananchi, alafu wepesi mno that's ukimbilia mfunga mtu pingu ,kama wapo fit why wamtekapo mtu wasifike mahala mwachia ili zichapwe ?

Mfumo sio mda utawakataa , watawashwa kama mbwa koko , hawa sio wa kucheka nao vinginevyo ipo siku wanaweza fanya jambo ambalo dunia ikabaki mdomo wazi.
 
Kila media inayo editorial policy yake na editorial independence yake ambayo haipaswi kuingiliwa!

Kuna habari inaweza kuwa ni kubwa kwako kustahili front page, lakini kwa mwingine isiwe habari kabisa!. Huu ndio Uhuru wa habari.

Mkuu Gulwa , ushahidi huu hauukidhi viwango vya ushahidi.
P
Pasikali mambo mengine ujue unaongea na watu wa uelewa gani? Usishangae ukaambiwa unashabikia utekaji.
 
Kila media inayo editorial policy yake na editorial independence yake ambayo haipaswi kuingiliwa!

Kuna habari inaweza kuwa ni kubwa kwako kustahili front page, lakini kwa mwingine isiwe habari kabisa!. Huu ndio Uhuru wa habari.

Mkuu Gulwa , ushahidi huu hauukidhi viwango vya ushahidi.
P
Kaka Paskali,
Huku uswahili tunasema, HAPA UMECHOCHORA..!! I did not expect this from you...!!! Naomba unijibu maswali haya ambayo nitauliza kwa kurudia ulichosea kama ifuatavyo;

1. Umesema, kila media inayo editorial policy yake na editorial independence yake ambayo haipaswi kuingiliwa!
Sawa, lakini kuiambia media fulani kwa nini haikuandika kuhusu utekwaji huu ndo kuingilia hizo policy na independence? Wazitaje basi hizo policy zinazofanya wasiiandike habari hii..!!
Tuna akina Azory, Ben Saanane na wengine, hadi leo hatujui waliko, hakuifanya habari hii kuwa ya kuandikwa? Achia mbali kuandikwa front page with bolded herufi, ingeandikwa hata katikati ya gazeti. Au mpaka atekwe anayekuhusu habari hii ndo itakuwa kubwa?? AU mpaka CLOUDS wavamiwe, au mpaka gazeti la Mwananchi wavamiwe ndo mtaona habari ni kubwa?? UMENISIKITISHA

2. Umesema, kuna habari inaweza kuwa ni kubwa kwako kustahili front page, lakini kwa mwingine isiwe habari kabisa!. Huu ndio Uhuru wa habari.

Kaka P, hapa ndo umenisikitisha sana, na hasa ukizingatia wewe ni mwanahabari mbobevu..!! Mtoa mada, kataja matukio kadhaa ambayo hayo magazeti yanayoambiwa hajaandika popote ndani ya magazeti hayo.
  • Hivi kwa hali ya utekaji ya sasa, unadhani hii si habari kubwa???
  • Hivi unadhani habari kuwa kubwa ni kwa sababu ya maamuzi ya mtu fulani kuiona kuwa kubwa au habari yenyewe..!!???
  • Hivi, kwenye huo uanahabari wako, HOW DO YOU DECIDE kwamba habari hii ni kubwa au ndogo?

Vile vile, habari kuwa kubwa kwa huyu lakini ndogo kwa mwingine, hilo si kigezo. habari zote zipo hivyo, inategemeana tu na interest ya mtu unayempelekea habari au impact ya habari hiyo kwa jamii au habari hiyo ina public inetrest kwa kiasi gani. Mfano, kuna wale wa 51mba na Yanga, ukianza kuwaambia habari za vitasa, wengine hawakuelewi. Kuna watu unavyoviandika wewe kwao havina maana, etc. Hivyo kuamua habari kama ni kubwa ua la, likiachwa kwa mtu binafsi badala ya impact ya habari husika kwa jamii, HAKUTAKUWA NA HABARI KUBWA WALA NDOGO.

CC Kadhi Mkuu 1
 
Kaka Paskali,
Huku uswahili tunasema, HAPA UMECHOCHORA..!! I did not expect this from you...!!!
Mkuu Ngali, Ngalikihinja, kwanza nikupe pole for missing my point, asante kwa msamiati mpya wa kuchochora.
Naomba unijibu maswali haya ambayo nitauliza kwa kurudia ulichosema kama ifuatavyo;
Asante kuuliza, nitajibu maswali yako yote.
1. Umesema, kila media inayo editorial policy yake na editorial independence yake ambayo haipaswi kuingiliwa!
Yes hivi ndivyo ilivyo
Sawa, lakini kuiambia media fulani kwa nini haikuandika kuhusu utekwaji huu ndo kuingilia hizo policy na independence? Wazitaje basi hizo policy zinazofanya wasiiandike habari hii..!!
Kila media imeandika editorial policy yake na kila mwandishi wa media hiyo anapaswa kujua, ila sio document ya nje, ni internal policy.

Sababu inayofanya habari fulani isipewe kipaumbele na media fulani fulani, zinatokana na kitu kinachoitwa pressures shaping the news, mfano wakati wa janga la corona, Tanzania iliamua isitangaze idadi ya vifo, na media zote zilinyamaza isipokuwa jf Hoja ya kuficha idadi vifo tuzipuuze, tuiaminie Serikali yetu. Idadi ya 16 waliokufa kwa Corona ni idadi ya ukweli na halisi, ila...
Tuna akina Azory, Ben Saanane na wengine, hadi leo hatujui waliko, hakuifanya habari hii kuwa ya kuandikwa?
Mbona iliandikwa sana, ila sio lazima kila media kuandika, media nyingine, kwake sio habari kubwa kivile!.
Achia mbali kuandikwa front page with bolded herufi, ingeandikwa hata katikati ya gazeti. Au mpaka atekwe anayekuhusu habari hii ndo itakuwa kubwa??
Hapana, watu kupotea ni ordinary news, ila watu kupotezwa is big news ila sio kwa media zote
AU mpaka CLOUDS wavamiwe, au mpaka gazeti la Mwananchi wavamiwe ndo mtaona habari ni kubwa?? UMENISIKITISHA

2. Umesema, kuna habari inaweza kuwa ni kubwa kwako kustahili front page, lakini kwa mwingine isiwe habari kabisa!. Huu ndio Uhuru wa habari.

Kaka P, hapa ndo umenisikitisha sana, na hasa ukizingatia wewe ni mwanahabari mbobevu..!! Mtoa mada, kataja matukio kadhaa ambayo hayo magazeti yanayoambiwa hajaandika popote ndani ya magazeti hayo.
  • Hivi kwa hali ya utekaji ya sasa, unadhani hii si habari kubwa???
  • Hivi unadhani habari kuwa kubwa ni kwa sababu ya maamuzi ya mtu fulani kuiona kuwa kubwa au habari yenyewe..!!???
  • Hivi, kwenye huo uanahabari wako, HOW DO YOU DECIDE kwamba habari hii ni kubwa au ndogo?

Vile vile, habari kuwa kubwa kwa huyu lakini ndogo kwa mwingine, hilo si kigezo. habari zote zipo hivyo, inategemeana tu na interest ya mtu unayempelekea habari au impact ya habari hiyo kwa jamii au habari hiyo ina public inetrest kwa kiasi gani. Mfano, kuna wale wa 51mba na Yanga, ukianza kuwaambia habari za vitasa, wengine hawakuelewi. Kuna watu unavyoviandika wewe kwao havina maana, etc. Hivyo kuamua habari kama ni kubwa ua la, likiachwa kwa mtu binafsi badala ya impact ya habari husika kwa jamii, HAKUTAKUWA NA HABARI KUBWA WALA NDOGO.

CC Kadhi Mkuu 1
P
 
Kila media inayo editorial policy yake na editorial independence yake ambayo haipaswi kuingiliwa!

Kuna habari inaweza kuwa ni kubwa kwako kustahili front page, lakini kwa mwingine isiwe habari kabisa!. Huu ndio Uhuru wa habari.

Mkuu Gulwa , ushahidi huu hauukidhi viwango vya ushahidi.
P
Hazipaswi kuingiliwa na nani?

Vyombo vya habaru vingi vimepitia misukosuko kwa kutoa taarifa sahihi lkn serikali kwao ni mwiba.
 
Back
Top Bottom