Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki division one polisi wakabebe bunduki tunahitaji vilaza ili watulinde tuwanyonye vizuri. Wakiamrishwa wao Ni robot tu hata kuwaza kuwa Kuna mchunga ng'ombe akasaini mktaba wa 69bilioni kisa software tena Ni ya kukodi, na pia wale jamaa wanalipwa 300bilioni zao sijui symbion.Si waseme tu walimpelekea gereji kumminya mbupu ? Polisi wa nchi hii hawana historia ya kuexctract ushahidi kwa normal interrogation ya conversation , wao ni always ni kutorture mtu .Akili ya kufanya in-depth investigation physyco analysis kama polygraph tests na kufuatilia character na maelezo ya mshutumiwa / kucollect evidences na kuzi analyse hawana .
AhahahahaEti kabanwa na maswali ya polisi. Polisi wana maswali gani? Huyo amechomwa moto makende uyo.
Maafande 2 na yeye wa 3 kila mmoja anfekula 20 yake mapema.Alitakiwa ale na bwana afande ili apate privilege ya kutokua primary suspect awe victim and later milionea mwivi
Ukiwashwa moto mbele yako afu ukaambiwa t.o.m.b.a huu moto lazima useme kila kituHuyo shot za kwenye matako tu anasema kila kitu, yaani anapigwa virungu kwanza magotini na kwenye joint za mikono analegea hajiwezi, anamwagiwa maji huku anagongwa bapa za upanga mgongoni, akiinuliwa yuko uchi anatandikwa shoti za umeme matakoni lazima aseme tu
Shida hakuwaza kama afande , ukiwa mwiz unatakiwa uwaze kama afande maana afande akiwa ana deal na wewe anawaza kama mwiziMaafande 2 na yeye wa 3 kila mmoja anfekula 20 yake mapema.
Mwenye kampuni angeenda kituoni angewekwa ndani angetoa pesa ili kesi ifutwe.
Biashara imeisha
[emoji1787][emoji1787] daahShida hakuwaza kama afande , ukiwa mwiz unatakiwa uwaze kama afande maana afande akiwa ana deal na wewe anawaza kama mwizi
Collabo muhimu. Unataka ufanye single alone hutusui.Shida hakuwaza kama afande , ukiwa mwiz unatakiwa uwaze kama afande maana afande akiwa ana deal na wewe anawaza kama mwizi
Ubaya wa mbinu hii ni kwamba, askari wasio waaminifu wanaweza kuitumia katika kuwadhuru wabaya wao kama wale wanaowadai pesa au kutembea na wenza wao.Unadhani ushahidi dunia nzima unapatikana kwa maongezi? Au unadanganywa na watu wa haki za binadamu? Halafu polisi japo wana madhaifu lakini kwenye kudeal na wahalifu wao hua wana ushahidi kabisa, na ndio maana kipindi cha magu walitumia elimination method unafuatwa kwako unapotezwa kimyakimya kama sio jambazi na haufanyi uhalifu kamwe hao askari hutokutana nao,
Kabla ya kuwafanya hicho kitu hao waandamanaji, waliwasikiliza madai yao? Vp kama walikuwa wanadai kitu sahihi?Kuna afande huwa anasema hata vijana wa arusha walioshindikana waliokuwa wasumbufu kwa serikali na waandamanaji kuna jambo walofanywa ndo maana huwakuti tena barabarani wakiandamana
Na ndio njia inayotumiwa hata na askari wa mataifa makubwa!! Uliza mateso yaliyokuwa yakifanyika guantanamo bay! Wazungu ndio na specialists wa kutesa watu. Wanasomea kabisa hizo courses za kutesa watu ili kupata ushahidi na wakikupitisha kwenye hayo mateso ni lazima utasema tu isipokuwa kwa wachache ambao wamekula viapo vya kutokusema hata kama ikitokea wapoteze uhai wao.Si waseme tu walimpelekea gereji kumminya mbupu ? Polisi wa nchi hii hawana historia ya kuexctract ushahidi kwa normal interrogation ya conversation , wao ni always ni kutorture mtu .Akili ya kufanya in-depth investigation physyco analysis kama polygraph tests na kufuatilia character na maelezo ya mshutumiwa / kucollect evidences na kuzi analyse hawana .
Kama raia wa urusi wanaojikata na kujivunja miguu kisa kuingizwa vitani na PUTINKajiumiza bure.
Unaijua interpol inavyofanya kazi?Angeenda hata hapo Zambia atulie kidogo