Dar: Aliyedai kuporwa Tsh. Milioni 60 aonesha alipozificha

Dar: Aliyedai kuporwa Tsh. Milioni 60 aonesha alipozificha

Si waseme tu walimpelekea gereji kumminya mbupu ? Polisi wa nchi hii hawana historia ya kuexctract ushahidi kwa normal interrogation ya conversation , wao ni always ni kutorture mtu .Akili ya kufanya in-depth investigation physyco analysis kama polygraph tests na kufuatilia character na maelezo ya mshutumiwa / kucollect evidences na kuzi analyse hawana .
Hatutaki division one polisi wakabebe bunduki tunahitaji vilaza ili watulinde tuwanyonye vizuri. Wakiamrishwa wao Ni robot tu hata kuwaza kuwa Kuna mchunga ng'ombe akasaini mktaba wa 69bilioni kisa software tena Ni ya kukodi, na pia wale jamaa wanalipwa 300bilioni zao sijui symbion.
Ila kweli ilikuwa watu wote washushwe na aingizwe mtu wao awe anapitisha maagizo yao. Na yule mwamba aliwabana mno mpka akapigwa polonium.


Saivi wanachekelea tu mpaka siku wakimfuata huko huko udongoni. Yaani dili liliisha la symbion Ila linarudiishwa upya watu wanalipwa zao. Vipi na yule mzungu mkamata ndege hajalipwa zake.


Ila bana huu mfumo was nchi Ni wa kisngese mno Ni Bora tungebakia kimakabila tungekujaga kuungana huko mbeleni kwa maslahi ya kila kabila kuwa Cha hapa kinatumika hapahapa. Nchi Ni kushirikiana kibiashara na ulinzi.
Ila hapa Kuna kooo moja kuwa na nguvu Kama nchi. Steve
 
Hio 60M alitaka aishi nayo peke ake wakati angeuza Raman angekula 20M bila wenge
 
Alitakiwa ale na bwana afande ili apate privilege ya kutokua primary suspect awe victim and later milionea mwivi
 
Alitakiwa ale na bwana afande ili apate privilege ya kutokua primary suspect awe victim and later milionea mwivi
Maafande 2 na yeye wa 3 kila mmoja anfekula 20 yake mapema.
Mwenye kampuni angeenda kituoni angewekwa ndani angetoa pesa ili kesi ifutwe.
Biashara imeisha
 
Huyo shot za kwenye matako tu anasema kila kitu, yaani anapigwa virungu kwanza magotini na kwenye joint za mikono analegea hajiwezi, anamwagiwa maji huku anagongwa bapa za upanga mgongoni, akiinuliwa yuko uchi anatandikwa shoti za umeme matakoni lazima aseme tu
Ukiwashwa moto mbele yako afu ukaambiwa t.o.m.b.a huu moto lazima useme kila kitu
 
Kuna mjuba alikuwa anafanya kazi kwa wahindi aliiba mil 20 k/koo akaja hospital akaniambia nimkate kate na visu ajifanye amekabwa na wezi.bila ajizi nikachukua lignocaine nikaanza kufanya kazi yangu nimemaliza kanikatia mil 1 yangu kiroho safi...sijui ile kesi yake ilikuaje
 
Unadhani ushahidi dunia nzima unapatikana kwa maongezi? Au unadanganywa na watu wa haki za binadamu? Halafu polisi japo wana madhaifu lakini kwenye kudeal na wahalifu wao hua wana ushahidi kabisa, na ndio maana kipindi cha magu walitumia elimination method unafuatwa kwako unapotezwa kimyakimya kama sio jambazi na haufanyi uhalifu kamwe hao askari hutokutana nao,
Ubaya wa mbinu hii ni kwamba, askari wasio waaminifu wanaweza kuitumia katika kuwadhuru wabaya wao kama wale wanaowadai pesa au kutembea na wenza wao.
 
Kuna afande huwa anasema hata vijana wa arusha walioshindikana waliokuwa wasumbufu kwa serikali na waandamanaji kuna jambo walofanywa ndo maana huwakuti tena barabarani wakiandamana
Kabla ya kuwafanya hicho kitu hao waandamanaji, waliwasikiliza madai yao? Vp kama walikuwa wanadai kitu sahihi?
 
Kabla huja-fake tukio la jinai hakikisha kuwa unauwezo wa kuvumilia mateso hata kama utakatwa vidole au kutolewa kucha, kunyofolewa nywele au hata kulawitiwa!!!! Ukiweza kuvumilia hayo basi nenda kafanye hayo matukio ya kihalifu.

Linapotokea tukio lolote la kihalifu katika kampuni, polisi huwa wanaanza na wafanyakazi wa hiyo ofisi au kampuni. Wanaamini kuwa haiwezekani mtu wa mbali afahamu ishu hiyo ya pesa bila ya kupewa taarifa na mtu wa karibu wa hiyo ofisi/kampuni. Tukio lolote la kihalifu nyuma yake huwa linaacha alama za kuruhusu uchunguzi. Kitu kikubwa kinachowaponza wengi ni Simu. Mawasiliano yako ya karibuni yatatoa mstakabali mzima wa tukio la kihalifu. Majambazi wa nchi zilizoendelea huwa wanahakikisha kuwa hawaachi alama yoyote eneo la tukio na hata kama itatokea wakiwasiliana basi huwasiliana kwa lugha ya siri (codes) au ishara.
 
Si waseme tu walimpelekea gereji kumminya mbupu ? Polisi wa nchi hii hawana historia ya kuexctract ushahidi kwa normal interrogation ya conversation , wao ni always ni kutorture mtu .Akili ya kufanya in-depth investigation physyco analysis kama polygraph tests na kufuatilia character na maelezo ya mshutumiwa / kucollect evidences na kuzi analyse hawana .
Na ndio njia inayotumiwa hata na askari wa mataifa makubwa!! Uliza mateso yaliyokuwa yakifanyika guantanamo bay! Wazungu ndio na specialists wa kutesa watu. Wanasomea kabisa hizo courses za kutesa watu ili kupata ushahidi na wakikupitisha kwenye hayo mateso ni lazima utasema tu isipokuwa kwa wachache ambao wamekula viapo vya kutokusema hata kama ikitokea wapoteze uhai wao.

Katika karne hii ya mayai mayai , hao mashujaa ambao wanauwezo wa kufa na siri vifuani wamebaki wachache mno.
 
Kosa kubwa atakua alishirikisha mtu huyo mtu ndie akabadilisha mwelekeo wa upelelezi
 
Back
Top Bottom