Jirani yangu kabisa katenda unyama huu. Yaani binadamu nyamamu.
[emoji23][emoji23][emoji23] 2-2.Ngoma inogile, ngapi ngapi huko jamani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] 2-2.
Hamiwezi jua alipitia mateso kiasi gani hadi kufanya hivyo. Kuna wanaume wanajua kutesa wanawake kisaikolojia hadi ujiulize kama alizaliwa au aliokotwaHii jinsia ina taabu sana imesababisha mzee wa watu kupoteza maisha yake kwa njia ya kikatili sana. Kweli ni mawakala wa shetani.
Huyo mwanaume alikuwa mlemavu au mtu wa mitungi au kikongwe?Jirani yangu kabisa katenda unyama huu. Yaani binadamu nyamamu.
Hamiwezi jua alipitia mateso kiasi gani hadi kufanya hivyo. Kuna wanaume wanajua kutesa wanawake kisaikolojia hadi ujiulize kama alizaliwa au aliokotwa
Hakuna kinacho justify huo ujinga wake huyo keSiku zote huwa nawaambia watu maneno haya ila wanaona kama utani. Asante mshana umeliona kwa jicho lingine. Kifupi majeruhi wa moyo sio wa kucheza nae. Kama unaigiza bora usepe mapemaaa