Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.

Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.

Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.

Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu
View attachment 1855895View attachment 1855896
Duh!
 
Sasa Neema nguvu za kumchoma mwanaume ambaye si mumewe anazitoa wapi?

Kama sio wanandoa basi huyu dada ni tatizo
Huyu dada namfahamu vizuri, na muda mrefu nilimuona ana matatizo fulani ya kisaikolijia isipokuwa inavyoonekana jamii inayomzunguka ilimchukulia kama mtu fulani mkorofi so akakosa tiba sahihi. Hata ulikuwa ukienda pale njia panda ya Makabe alipokuwa anauza kongoro alikuwa ni mtu mkorofi mkorofi hivi, kidogo tu kagombana na mteja. Huyo zungu hakuwa mumewe bali hawara tu, kilichomuuzi nafikiri ni kugundua kwamba Zungu alikuwa na mwanamke wake mwingine na mtoto.
 
Huyu dada namfahamu vizuri, na muda mrefu nilimuona ana matatizo fulani ya kisaikolijia isipokuwa inavyoonekana jamii inayomzunguka ilimchukulia kama mtu fulani mkorofi so akakosa tiba sahihi. Hata ulikuwa ukienda pale njia panda ya makabe alipokuwa anauza kongoro alikuwa ni mtu mkorofi mkorofi hivi, kidogo tu kagombana na mteja. Huyo zungu hakuwa mumewe bali hawala tu, kilichomuuzi nafikiri ni kugundua kwamba zungu alikuwa na mwanamke wake mwingine na mtoto.

Haya maumivu huwa ni makali usipofikiria kwa umakini unaweza chukua maamuzi ya kipumbavu
 
Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios

Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.

Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo

HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Maneno kuntu!
 
Sikilizia povuuu la wanaume humu sasa[emoji1787][emoji1787][emoji14]

Wanawake sasa wameamka, huu ndo uanamke wa shoka, sio kuja kulia lia humu sijui napigwa, sijui nanyanyaswa! Piga petrol[emoji16][emoji16]
Washauri ujinga! Kama ndio mnavyokaa na kushauriana hivi basi amini nawaambia mtakwisha, yale ya gunia mbili za mkaa kwasasa zitakuwa kuanzia gunia tano!
Mark my words!!
 
Washauri ujinga! Kama ndio mnavyokaa na kushauriana hivi basi amini nawaambia mtakwisha, yale ya gunia mbili za mkaa kwasasa zitakuwa kuanzia gunia tano!
Mark my words!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] mkuu tulia kwanza...ya magunia imexpire hiyo

Habari ya mjini ni petrol

Jokes aside....ukiona mpaka mwanamke kafikia hatua hiyo ujue yalimfika hapaa, huwa sisi ni wavumilivu sana sana
 
Huyu dada namfahamu vizuri, na muda mrefu nilimuona ana matatizo fulani ya kisaikolijia isipokuwa inavyoonekana jamii inayomzunguka ilimchukulia kama mtu fulani mkorofi so akakosa tiba sahihi. Hata ulikuwa ukienda pale njia panda ya makabe alipokuwa anauza kongoro alikuwa ni mtu mkorofi mkorofi hivi, kidogo tu kagombana na mteja. Huyo zungu hakuwa mumewe bali hawala tu, kilichomuuzi nafikiri ni kugundua kwamba zungu alikuwa na mwanamke wake mwingine na mtoto.
Basi tatizo ni kubwa anamuoneaje wivu mzazi mwenzie mwanaume? Acha apumzike magereza.

Nyumba iliyochomwa ni ya Zungu au ya Neema au walipanga tu?
 
Kwa hiyo wanaume tunawindana na wanawake ?!! [emoji1787]
Hatuwindani, kawaida wanaume ni watu wa kushtuka mapema, tukiona mmoja wetu amefanyiwa hivi basi amini sisi wengine tuliobaki hucheza na hisia za wenza wetu mapema!! Tukiona viashiria tu hatujiulizi mara mbili.... Hakuna anaependa kutangulizwa!
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] mkuu tulia kwanza...ya magunia imexpire hiyo

Habari ya mjini ni petrol

Jokes aside....ukiona mpaka mwanamke kafikia hatua hiyo ujue yalimfika hapaa, huwa sisi ni wavumilivu sana sana
Kila mmoja ni mvumilivu kwa upande wake, tusiwe watu wa kuvutana. Vitu vingine ni nature ndiyo inayoamua. Hivyo wanawake mkitaka kufanya kila kitu kiende kwa usawa haiwezekani.
Hata hii ya petrol ni kongwe sana, subiri ya Minced meet inakuja!
 
Hatuwindani, kawaida wanaume ni watu wa kushtuka mapema, tukiona mmoja wetu amefanyiwa hivi basi amini sisi wengine tuliobaki hucheza na hisia za wenza wetu mapema!! Tukiona viashiria tu hatujiulizi mara mbili.... Hakuna anaependa kutangulizwa!
Mkuu umeogopa sanaa sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Back
Top Bottom