Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Hii jinsia ina taabu sana imesababisha mzee wa watu kupoteza maisha yake kwa njia ya kikatili sana. Kweli ni mawakala wa shetani.

1 Pet 3:7 SUV​

Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
 
Kila mmoja ni mvumilivu kwa upande wake, tusiwe watu wa kuvutana. Vitu vingine ni nature ndiyo inayoamua. Hivyo wanawake mkitaka kufanya kila kitu kiende kwa usawa haiwezekani.
Hata hii ya petrol ni kongwe sana, subiri ya Minced meet inakuja!
Ndo ipi hii mkuu?
 
Hakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.

Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.
 
Mwanamke mwenyewe mbaya. Fikiria, hapo kapaka make up, kajipodoa balaa. Na umri upo mbioni.

Bado ni mbaya tu. Je, bila make up yupo vipi?

No doubt, aliona hakuna mwingine atakayemtaka.
Inaonekana alijitahidi kwa kila njia kujizurisha, ukiona mwanamke ametoboa masikio zaidi ya mara mbili, akaacha mlango wa restaurant ya mtoto wazi, ujue amehangaika sana kumvuta mwanaume
 
Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios

Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.

Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo

HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Yah mkuu ulichoandika hapa kinawezekana.

Inadaiwa walikuwa kwenye relationship zaidi ya miaka saba halafu mwanaume akamkataa bint alikubali ila hizi rabsha za kuchomana moto zilianza muda mrefu kuna siku alimfata kwao kabeba gallon ya petrol kilichosaidia akawa amesahau kiberiti wakamkimbiza sasa jana kamuita kampa offer ya bia kaenda kutekeleza kisasi chake
 
Usaliti unauma mkuu both sides
Lakini nature yetu wanaume ni kumiliki wanawake, ukisoma maandiko katika Uislam mwanaume ameruhusiwa kumiliki hadi wanne... Kama uko na mmoja lakini hataki umiliki mwingine unamweka pembeni unamiliki wenziwe wanaotaka kumilikiwa zaidi ya mmoja.... Lakini kwa upande wa mwanamke na natural mwanamke ni mama wa nyumba (sijamaanisha ni mama wa nyumbani) hivyo hawezi kumilikiwa na wawili kwa wakati mmoja lazima ataboronga tu!
Natural mwananume ni mtafutaji na hivyo hutumia muda kutafuta kwa ajili ya familia yake, je mwanamke akimilikiwa na wawili umefikiria ni wapi au ni vipi ataendesha familia yake? Katika hao aliowamiliki wakihitaji mtoto kwa wakati mmoja atabeba mimba ya yupi na kuacha yupi asimbebee??
 
Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.

Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.

Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.

Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu
View attachment 1855895View attachment 1855896
Mshaambiwa MSIOEEE hamuelewi....

Ngoja yawakute.

Mtajijua wenyewe.

#YNWA
 
Hakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.

Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.

Aiseee!!!

Huenda zungu alikuwa anatia chejo sana kunako 6*6, bibiye akaona isiwe tabu!
 
Hakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.

Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.
Hapo zungu akawa anawaza yale mawazo yetu ya kiume aah ex wangu yule kila nikitaka napiga hachomoi na bili analipa[emoji23]

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] mkuu tulia kwanza...ya magunia imexpire hiyo

Habari ya mjini ni petrol

Jokes aside....ukiona mpaka mwanamke kafikia hatua hiyo ujue yalimfika hapaa, huwa sisi ni wavumilivu sana sana
sio wote
 
Huyu dada namfahamu vizuri, na muda mrefu nilimuona ana matatizo fulani ya kisaikolijia isipokuwa inavyoonekana jamii inayomzunguka ilimchukulia kama mtu fulani mkorofi so akakosa tiba sahihi. Hata ulikuwa ukienda pale njia panda ya makabe alipokuwa anauza kongoro alikuwa ni mtu mkorofi mkorofi hivi, kidogo tu kagombana na mteja. Huyo zungu hakuwa mumewe bali hawala tu, kilichomuuzi nafikiri ni kugundua kwamba zungu alikuwa na mwanamke wake mwingine na mtoto.
Mkuu huyu ndiye yupo na Vicky pale njia panda kulia kama unaelekea Msakuzi?

Baba yake ni jirani yangu kabisa japo familia yake imemeguka vipande vipande sasa amehamia kibamba hata hiyo nyumba iliyoungua jana baba yake ana share na jamaa mmoja yupo kijijini kwa sasa
 
Tunaomba na picha ya mwendazake.
Fani yake alikuwa kinyozi.
FB_IMG_1626441847455.jpg

View attachment 1855995
 
Back
Top Bottom