witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Usaliti unauma mkuu both sidesKila mmoja ni mvumilivu kwa upande wake, tusiwe watu wa kuvutana. Vitu vingine ni nature ndiyo inayoamua. Hivyo wanawake mkitaka kufanya kila kitu kiende kwa usawa haiwezekani.
Hata hii ya petrol ni kongwe sana, subiri ya Minced meet inakuja!