uujn
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 666
- 851
Aisee kijana mdogo kabisa, haya mambo ya mahusiano basi tuFani yake alikuwa kinyozi.View attachment 1855967
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kijana mdogo kabisa, haya mambo ya mahusiano basi tuFani yake alikuwa kinyozi.View attachment 1855967
Noma sana mkuu reaction ya mwanamke mpumbavu ni disaster!Hapo zungu akawa anawaza yale mawazo yetu ya kiume aah ex wangu yule kila nikitaka napiga hachomoi na bili analipa[emoji23]
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Hao mahawara wewe sio wanandoaMshaambiwa MSIOEEE hamuelewi....
Ngoja yawakute.
Mtajijua wenyewe.
#YNWA
Ila lilikuwa Zuri dahh udongo unajua kulamba vituFani yake alikuwa kinyozi.View attachment 1855967
Ndo mana shoga kila akifikiria zabibu zinaliwa na mwingine anachanganyikiwa...Ila lilikuwa Zuri dahh udongo unajua kulamba vitu
Kisasi cha Malaya akipenda ni kibaya sana!😂😂😂Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.
Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.
Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.
Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu
View attachment 1855895View attachment 1855896
Lakini mjomba wako ni mzuri zaidi ya huyo ati?Ila lilikuwa Zuri dahh udongo unajua kulamba vitu
Wanaume tumetofautiana pakubwa jinsi ya kuangalia wanawake na kuwathamanisha, mimi ukiniambia ubaya wa sura ya huyo mwanamke siuoni ninamuona mrembo tu sana!Mwanamke mwenyewe mbaya. Fikiria, hapo kapaka make up, kajipodoa balaa. Na umri upo mbioni.
Bado ni mbaya tu. Je, bila make up yupo vipi?
No doubt, aliona hakuna mwingine atakayemtaka.
Ombea wanao wawe na sura ngumu ngumu itakuwa defense mechanism yao kwenye mahusiano huko tuendako watoto wa kiume dizain hii watapata tabu sana.Ndo mana shoga kila akifikiria zabibu zinaliwa na mwingine anachanganyikiwa...
Akikukuta na mchepuko guest house anaweza kuiwasha moto bila kufikiria kuna wengine ndaniKisasi cha Malaya akipenda ni kibaya sana!😂😂😂
Duuh.Huyu Neema huyo Zungu hakuwa mume wake. Hawa walikuwa wapenzi tu, Neema alipata hasira baada ya kujua Zungu ana mwanamke mwingine na amezaa nae. Kwa hiyo mleta mada hapo kwenye mahusiano naona umechanganya kidogo, hawa hawakuwa mke na mume na kila mtu alikuwa anaishi kivyake.
Neema alimrubuni jamaa akalale kwake, jamaa alivyoenda kwa huyo dada ndipo dada akamchoma visu na kisha kumwaga petrol kuchoma nyumba akiwa amemfungia jamaa ndani.
Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.
Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.
Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.
Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu
View attachment 1856008
Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010
Wapalestina hawana sura nzito hata hao warombo unawasingiziaHuyu dada kwa kumtazama tu kama sio Mrombo huyu basi Mpalestina...
[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoma inogile, ngapi ngapi huko jamani?