cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu dada kwa kumtazama tu kama sio Mrombo huyu basi Mpalestina...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu dada kwa kumtazama tu kama sio Mrombo huyu basi Mpalestina...
Hakika kabisaaa babuuuh.Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.
Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo
HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu nyie khaaaahIna kama anakasura kauchachuchachu dah
Zinaa huwa mbaya Sana watu tu huwa hawaskii.Huyu Neema huyo Zungu hakuwa mume wake. Hawa walikuwa wapenzi tu, Neema alipata hasira baada ya kujua Zungu ana mwanamke mwingine na amezaa nae. Kwa hiyo mleta mada hapo kwenye mahusiano naona umechanganya kidogo, hawa hawakuwa mke na mume na kila mtu alikuwa anaishi kivyake.
Neema alimrubuni jamaa akalale kwake, jamaa alivyoenda kwa huyo dada ndipo dada akamchoma visu na kisha kumwaga petrol kuchoma nyumba akiwa amemfungia jamaa ndani.
Duuuuh basi kuna kitu kikubwa zaidi, mmmmh ilaHuyu Neema huyo Zungu hakuwa mume wake. Hawa walikuwa wapenzi tu, Neema alipata hasira baada ya kujua Zungu ana mwanamke mwingine na amezaa nae. Kwa hiyo mleta mada hapo kwenye mahusiano naona umechanganya kidogo, hawa hawakuwa mke na mume na kila mtu alikuwa anaishi kivyake.
Neema alimrubuni jamaa akalale kwake, jamaa alivyoenda kwa huyo dada ndipo dada akamchoma visu na kisha kumwaga petrol kuchoma nyumba akiwa amemfungia jamaa ndani.
Makubwa haya tena khaaaaahHuyu dada namfahamu vizuri, na muda mrefu nilimuona ana matatizo fulani ya kisaikolijia isipokuwa inavyoonekana jamii inayomzunguka ilimchukulia kama mtu fulani mkorofi so akakosa tiba sahihi. Hata ulikuwa ukienda pale njia panda ya makabe alipokuwa anauza kongoro alikuwa ni mtu mkorofi mkorofi hivi, kidogo tu kagombana na mteja. Huyo zungu hakuwa mumewe bali hawala tu, kilichomuuzi nafikiri ni kugundua kwamba zungu alikuwa na mwanamke wake mwingine na mtoto.
Nakazia hapa, ni kuwasha kiberiti tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23]Sikilizia povuuu la wanaume humu sasa[emoji1787][emoji1787][emoji14]
Wanawake sasa wameamka, huu ndo uanamke wa shoka, sio kuja kulia lia humu sijui napigwa, sijui nanyanyaswa! Piga petrol[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] mkuu tulia kwanza...ya magunia imexpire hiyo
Habari ya mjini ni petrol
Jokes aside....ukiona mpaka mwanamke kafikia hatua hiyo ujue yalimfika hapaa, huwa sisi ni wavumilivu sana sana
Duuuuh inaogopesha sana.Hakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.
Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mshaambiwa MSIOEEE hamuelewi....
Ngoja yawakute.
Mtajijua wenyewe.
#YNWA
Duuuh vijana wanapenda dezo sana, poleeeh yake.
Hata kama aliteswa siyo kibali cha kumuua mzee wa watu. Mama hakufikiria hata kuhusu watoto. Yeye naona alikuwa anatumia akili za kojoleo lake kutenda hilo tukio. Mwisho wa siku attendance kuwa chakula cha bwana jela.Hamiwezi jua alipitia mateso kiasi gani hadi kufanya hivyo. Kuna wanaume wanajua kutesa wanawake kisaikolojia hadi ujiulize kama alizaliwa au aliokotwa
Mie yule wa, mbezi aliyeuawa na majambazi had Leo siamini kwa kweli,Ila lilikuwa Zuri dahh udongo unajua kulamba vitu
Mungu wangu!! Mwanaume ameumbika vilivyo, mweeeeh udongo unameza vizuri tyuuh [emoji24][emoji24][emoji24]Ombea wanao wawe na sura ngumu ngumu itakuwa defense mechanism yao kwenye mahusiano huko tuendako watoto wa kiume dizain hii watapata tabu sana.View attachment 1855999
Hahaa we dada unazijua sura nzuri lakiniSura nzuri roho ya simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mommy nimecheka khaaaahHahaa we dada unazijua sura nzuri lakini
Mkuu wewe ni mpuuuuuuuuuzzzzz kabisa hahahaa
Guess what, mrombo kweliii, kuna mdau anamfahamu ka confirmWapalestina hawana sura nzito hata hao warombo unawasingizia