witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kivip?[emoji849]Ni ufala.
Tatizo huwa mnapoteza ladha haraka[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivip?[emoji849]Ni ufala.
Tatizo huwa mnapoteza ladha haraka[emoji1]
Kumiliki mke zaidi ya mmoja ni uhuni PERIOD [emoji848]Lakini nature yetu wanaume ni kumiliki wanawake, ukisoma maandiko katika Uislam mwanaume ameruhusiwa kumiliki hadi wanne... Kama uko na mmoja lakini hataki umiliki mwingine unamweka pembeni unamiliki wenziwe wanaotaka kumilikiwa zaidi ya mmoja.... Lakini kwa upande wa mwanamke na natural mwanamke ni mama wa nyumba (sijamaanisha ni mama wa nyumbani) hivyo hawezi kumilikiwa na wawili kwa wakati mmoja lazima ataboronga tu!
Natural mwananume ni mtafutaji na hivyo hutumia muda kutafuta kwa ajili ya familia yake, je mwanamke akimilikiwa na wawili umefikiria ni wapi au ni vipi ataendesha familia yake? Katika hao aliowamiliki wakihitaji mtoto kwa wakati mmoja atabeba mimba ya yupi na kuacha yupi asimbebee??
[emoji1787][emoji1787][emoji14]Kisasi cha Malaya akipenda ni kibaya sana![emoji23][emoji23][emoji23]
Mauaji ya kutisha kama ya Kibwetele[emoji1787][emoji1787][emoji14]
Ni mwendo wa njiti tu [emoji1787][emoji16]Nakazia hapa, ni kuwasha kiberiti tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa udongo gani utameza mkuu? Unaambiwa katolewa humo ndani kama kuku wa kienyeji wa kubanikwa[emoji848]Mungu wangu!! Mwanaume ameumbika vilivyo, mweeeeh udongo unameza vizuri tyuuh [emoji24][emoji24][emoji24]
Anaitwa Neema Mushi. Wala hujakoseaHuyu dada kwa kumtazama tu kama sio Mrombo huyu basi Mpalestina...
Witness....😲😲😲😲😲Sikilizia povuuu la wanaume humu sasa[emoji1787][emoji1787][emoji14]
Wanawake sasa wameamka, huu ndo uanamke wa shoka, sio kuja kulia lia humu sijui napigwa, sijui nanyanyaswa! Piga petrol[emoji16][emoji16]
Uhuni aliuanza Solomon, lakini bado ni mtakatifu si ndio?!Kumiliki mke zaidi ya mmoja ni uhuni PERIOD [emoji848]
Nambie DavieWitness....[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
SubhanallahNoma sana mkuu reaction ya mwanamke mpumbavu ni disaster!
Alichoma nyumba ndani mna mpangaji kalala na mwanae,nje duka la spare za pikipiki ndani mna jamaa hiyo jana aliingiza pikipiki mpya na mlikuwa na store ya mtu kajaza mzigo wa dagaa vyote vimeteketea Mungu saidia huyu dada mpangaji alitoka salama ila huyu dogo akawa muhanga,mpaka sasa hivi panafuka moshi yote ni mal@ya mmoja kasababisha.
Naam nakubaliana na weweKisasi cha Malaya akipenda ni kibaya sana![emoji23][emoji23][emoji23]
Uovu hauna kabila mzee, nikiwa makini tu na binadamuGuess what, mrombo kweliii, kuna mdau anamfahamu ka confirm
Yupi huyoMie yule wa, mbezi aliyeuawa na majambazi had Leo siamini kwa kweli,
Noma sana mkuu reaction ya mwanamke mpumbavu ni disaster!
Alichoma nyumba ndani mna mpangaji kalala na mwanae,nje duka la spare za pikipiki ndani mna jamaa hiyo jana aliingiza pikipiki mpya na mlikuwa na store ya mtu kajaza mzigo wa dagaa vyote vimeteketea Mungu saidia huyu dada mpangaji alitoka salama ila huyu dogo akawa muhanga,mpaka sasa hivi panafuka moshi yote ni mal@ya mmoja kasababisha.
Mungu ni mwema alitoka na anasema alitoka nje ili akajisaidie haja ndogo kurudi akakuta chumba cha mtoto wa mwenye nyumba ndani mnafuka moshi huku mtu anagonga kwa ndani afunguliwe alichofanya akaenda kumwamsha mwanae wakatoka nje kuomba msaada kwa majirani kurudi corridor nzima imeshajaa moto.Subhanallah
Inamaana huyo dada mpangaji na mwanae wamepona?
AyseeeMungu ni mwema alitoka na anasema alitoka nje ili akajisaidie haja ndogo kurudi akakuta chumba cha mtoto wa mwenye nyumba ndani mnafuka moshi huku mtu anagonga kwa ndani afunguliwe alichofanya akaenda kumwamsha mwanae wakatoka nje kuomba msaada kwa majirani kurudi corridor nzima imeshajaa moto.
Hata huyu aliyefanya unyama huu aliungua miguuni akatoka nje mbio uchi,vitu vya ajabu sana.