Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Japo amekosea ila tujiulize.....

Imekuwaje hadi amefikia kumchoma mumewe aliyemchagua mwenyewe moto.

Wanaume "baadhi" epukeni kuwaumiza wanawake na Kisha kupuuza kumaliza migogoro, kwa kudhani huo ndio uanaume.

Mnawajaza hasira na hawana kwa kutemea nyongo. Mwisho wa siku wanafanya maamuzi ya kustaajabisha.

Wanandoa na nyie mkiona vurugu ni nyingi kuliko amani achaneni kila mtu aendelee na maisha yake. Acheni kuvumilia mnavyoona hamuwezi kuhimili.

Hakuna kaburi linaloandikwa "Aliolewa" au "Alioa" ni alizaliwa tarehe.... Na kafariki tarehe.....

Acheni upuuzi wa kuwaza jamii itauonaje tukiachana anzeni kuwaza tukiendelea kuishi kwa kuumizana mwisho wake nini!?

Ona sasa watoto wanakosa malezi ya baba na mama.

Wakati wangeachana watoto wangeweza kuendelea kuwaona wazazi wao hata kama ni kwa utaratibu maalum.
 
Japo amekosea ila tujiulize.....

Imekuwaje hadi amefikia kumchoma mumewe aliyemchagua mwenyewe moto.

Wanaume "baadhi" epukeni kuwaumiza wanawake na Kisha kupuuza kumaliza migogoro, kwa kudhani huo ndio uanaume.

Mnawajaza hasira na hawana kwa kutemea nyongo. Mwisho wa siku wanafanya maamuzi ya kustaajabisha.

Wanandoa na nyie mkiona vurugu ni nyingi kuliko amani achaneni kila mtu aendelee na maisha yake. Acheni kuvumilia mnavyoona hamuwezi kuhimili.

Hakuna kaburi linaloandikwa "Aliolewa" au "Alioa" ni alizaliwa tarehe.... Na kafariki tarehe.....

Acheni upuuzi wa kuwaza jamii itauonaje tukiachana anzeni kuwaza tukiendelea kuishi kwa kuumizana mwisho wake nini!?

Ona sasa watoto wanakosa malezi ya baba na mama.

Wakati wangeachana watoto wangeweza kuendelea kuwaona wazazi wao hata kama ni kwa utaratibu maalum.
Hata kama alikuwa anapitia magumu kiasi gani hakutakiwa kutenda alichotenda bali alikuwa na nafasi ya kuondoka akaishi maisha yake.
 
Japo amekosea ila tujiulize.....

Imekuwaje hadi amefikia kumchoma mumewe aliyemchagua mwenyewe moto.

Wanaume "baadhi" epukeni kuwaumiza wanawake na Kisha kupuuza kumaliza migogoro, kwa kudhani huo ndio uanaume.

Mnawajaza hasira na hawana kwa kutemea nyongo. Mwisho wa siku wanafanya maamuzi ya kustaajabisha.

Wanandoa na nyie mkiona vurugu ni nyingi kuliko amani achaneni kila mtu aendelee na maisha yake. Acheni kuvumilia mnavyoona hamuwezi kuhimili.

Hakuna kaburi linaloandikwa "Aliolewa" au "Alioa" ni alizaliwa tarehe.... Na kafariki tarehe.....

Acheni upuuzi wa kuwaza jamii itauonaje tukiachana anzeni kuwaza tukiendelea kuishi kwa kuumizana mwisho wake nini!?

Ona sasa watoto wanakosa malezi ya baba na mama.

Wakati wangeachana watoto wangeweza kuendelea kuwaona wazazi wao hata kama ni kwa utaratibu maalum.
Huo unyama angekua kafanya mwanaume hakuna ambae angemtetea ila kwa kuwa ni mwnamke tukio linapunguzwa punguzwa ukubwa kwa utetezi kama huu
 
Huyu Neema huyo Zungu hakuwa mume wake. Hawa walikuwa wapenzi tu, Neema alipata hasira baada ya kujua Zungu ana mwanamke mwingine na amezaa nae. Kwa hiyo mleta mada hapo kwenye mahusiano naona umechanganya kidogo, hawa hawakuwa mke na mume na kila mtu alikuwa anaishi kivyake.

Neema alimrubuni jamaa akalale kwake, jamaa alivyoenda kwa huyo dada ndipo dada akamchoma visu na kisha kumwaga petrol kuchoma nyumba akiwa amemfungia jamaa ndani.
 
Huyu Neema huyo Zungu hakuwa mume wake. Hawa walikuwa wapenzi tu, Neema alipata hasira baada ya kujua Zungu ana mwanamke mwingine na amezaa nae. Kwa hiyo mleta mada hapo kwenye mahusiano naona umechanganya kidogo, hawa hawakuwa mke na mume na kila mtu alikuwa anaishi kivyake.

Neema alimrubuni jamaa akalale kwake, jamaa alivyoenda kwa huyo dada ndipo dada akamchoma visu na kisha kumwaga petrol kuchoma nyumba akiwa amemfungia jamaa ndani.
Sasa Neema nguvu za kumchoma mwanaume ambaye si mumewe anazitoa wapi?

Kama sio wanandoa basi huyu dada ni tatizo
 
Back
Top Bottom