Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Achaneni na wanawake,zaeni tu Kama wanyama,Mambo ya kuoana na kuishi wote ndo matokeo yake
 
Nakufaaaaa neemaa nakufaaaaa nisameeheenakufaaaaaa jamaninsaidieeni kelelezamwisho.alisikika jamaaaaa kumbe neeme ashampitia visuvyamaana gaflanamoshii ukamchanganyakabisaaa
Kumbe Pdidy jirani yangu kabisa wewe. Kweli JF unaweza kumtusi baba yako bila kujua
 
Huyo mwanaume alikuwa mlemavu au mtu wa mitungi au kikongwe?

Mwanaume mwenye utimilifu wa mwili na akili, huwezi chomwa ndani ya nyumba na usitafute means za kutoka nje hata kwa kupitia kwenye dari, kisha kutoka kupitia roof
Tatizo mtu anamuacha analala usingizi kwanza. Kisha ndo anawasha moto.wa petrol akiwa ashafunga mlango kwa.nje. Ni ngumu mtu kujiokoa. Rejea vifo vya morogoro ilipochomolewa betri wakati watu wanachota mafuta. Siyo rahisi kama unavyofikria. Kumbuka hawa wa Morogoro hapakuwepo ukuta wala dirisha, ni sehemu ya wazi. Sembuse huyu aliyefungiwa ndani!
 
Muuza supu ya kongoro kawa maarufu
 
Zungu mteremko umemponza unanunuliwaje bia
 
Huyo mwanaume alikuwa mlemavu au mtu wa mitungi au kikongwe?

Mwanaume mwenye utimilifu wa mwili na akili, huwezi chomwa ndani ya nyumba na usitafute means za kutoka nje hata kwa kupitia kwenye dari, kisha kutoka kupitia roof
Umewaza kama mimi, unachomajwe kizembe hivyo
 
Polen sana
 
Inawezekana Neema hajahusika , Kuna mkakati wa kutusumbia Wachaga, maana mara kachoma moto, mara kamtapeli Waziri mara kapigwa risasi bar wote Wachaga
 
Amekufa kifo cha aibu
Kwanini kifo cha aibu?
Alipochomwa mwanamke mwenzenu mlilaani ila sasa mmepindua meza.
Tumeshtuka nikiona mwanamke anaenda kununua petrol natoka nduki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…