Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Demu lenyewe BAYA
 
Sahihi kabisa kaka. Hawa wenzetu ni wavumilivu sana ukiwa nao fair, ila ukimzingua, huwa wana maamuzi ya ajabu sana. Binafsi hata katika maisha ya kawaida, huwa sipendi quarrel na mwanamke, huwa wana maamuzi ya ajabu sana hawa viumbe!

Kisaikolojia wanasema mwanamke hupenda kumuona adui yake wa kike akiteseka, ila adui yake wa kiume wao hummaliza sababu wanajua hawana nguvu za kimaumbile kupambana nao.
 
kweli dunia kijiji kumbe unamjua
 
Ukishaona dada ana nyonyo kubwaaaa...ni nadra sana kuwa na traaako...

Nilisoma hiyo kwenye katiba ya chama cha mabaharia, kipengele cha picha za selfie za wadada
Naongezea ukishaona dada amepinda mgongo kuja mbele. Namaanisha akitembea kifua kinataka kuonekana mbele kama vile yuko kwenye gwaride. Kama unaenda kwake hakikisha suala la tako sio kipaumbele

Hiki ni kipengele kwenye hicho kifungu cha katiba hiyo
 

Mkuu ni makabe eneo gani hilo?? Maana asbh nimepita hapo sijaona wala kusikia. Nakuja kuona status tu wanazengo wanapost
 
Ndio huyo huyo mkuu. Nadhani changamoto za familia yao zina mchango mkubwa katika wakati mgumu aliokuwa nao huyu dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…